Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Uchaguzi huu MUNGU alitaka kuonesha ukuu wake,

Kituo alichopigia kura Raila kwa mbwembwe sana,
Ruto ameongoza kwa kura,

Kituo alichopigia kura mgombea mwenza wa Raila Martha Karua, Ruto ameongoza kwa kura,

Kituo alichopigia kura Rais Uhuru Kenyatta, Ruto ameongoza kwa kura,

Kituo alichopigia kura mke wa Rais Uhuru Kenyatta, Margaret Kenyatta, Ruto ameongoza kwa kura,

Kituo alichopigia kura mama yake Rais Uhuru Kenyatta, Mama wa Taifa la Kenya, Ruto ameongoza kwa kura!

MUNGU amelipa dharau, uonevu, manyanyaso na dhulma alizofanyiwa Mh. William Samoei Ruto!

Uchaguzi huu ni
MUNGU Vs shetani

Na inakulikana kuwa MUNGU hashindwi!

The chosen one

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wewe dini imeshakuharibu Mkuu, mbona yule alieshika nafasi ya mwisho ni mchungaji na hajafikisha kura 50,000 kazidiwa na yule anaehubiri bangi kila siku?....

Kwanini Mungu asimame na RUTO ambae amefanya issue nyingi mbovumbovu Kama mauaji ashindwe kusimama na Mchungaji wake?

Kwahiyo Mungu yeye anashughulika na RUTO NA ODINGA , lakini hana mda na mtumishi wake?..

Mungu amesimama na RUTO mbona hajashinda uchaguzi sasa kwa kishindo? Mbona inaonekana Kama uchaguzi utarudiwa.
Ety MUNGU VS SHETANI.....Mimi naona ni 49% vs 49% kwahiyo Mungu anapelekeshwa na shetani akishinda odinga Mungu ameshindwa?

Ufikirie wakati mwingine ukiwa unaandika
 
jamani hali ya Babu inaendeleaje?
kazinduka? maana nasikia alizimia na kupoteza kabisa fahamu!!
jamani hali ya Babu inaendeleaje?
kazinduka? maana nasikia alizimia na kupoteza kabisa fahamu!!
Ww umemjua odinga mwaka huu? Tena kati ya mtu ambae hana pressure ni yeye, kapita vigingi vizito yeye na atwol mmiliki wa citizen walifungwa na daniel arap moi kipindi flani, yee hawezi pata stress na vitu Kama hivyo
 
Kwanini azimie na wanasema kashinda uchaguzi?
IEBC bado ndo wako 57% lakini Odinga kazidiwa palefu kidogo kitu ambacho sikukiona kwenye tarry system za vyombo vya habari
Screenshot_2022-08-12-07-34-49-47_680d03679600f7af0b4c700c6b270fe7.jpg
 
Uchaguzi huu MUNGU alitaka kuonesha ukuu wake,

Kituo alichopigia kura Raila kwa mbwembwe sana,
Ruto ameongoza kwa kura,

Kituo alichopigia kura mgombea mwenza wa Raila Martha Karua, Ruto ameongoza kwa kura,

Kituo alichopigia kura Rais Uhuru Kenyatta, Ruto ameongoza kwa kura,

Kituo alichopigia kura mke wa Rais Uhuru Kenyatta, Margaret Kenyatta, Ruto ameongoza kwa kura,

Kituo alichopigia kura mama yake Rais Uhuru Kenyatta, Mama wa Taifa la Kenya, Ruto ameongoza kwa kura!

MUNGU amelipa dharau, uonevu, manyanyaso na dhulma alizofanyiwa Mh. William Samoei Ruto!

Uchaguzi huu ni
MUNGU Vs shetani

Na inakulikana kuwa MUNGU hashindwi!

The chosen one

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nonsense
 
jamani hali ya Babu inaendeleaje?
kazinduka? maana nasikia alizimia na kupoteza kabisa fahamu!!
Kwa kifupi labda nikwambie ww na watu wengine wabishi kama ww. Security Details za Raila Odinga zimeongezeka watu wa usalama tayari wapo nae kumlinda Mr president ambao wanabisha Raila sio next president wapo nyuma sana kwa kukosa taarifa
 
Back
Top Bottom