Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
UCHAGUZI KENYA: Maafisa wa Tume wameitisha Kikao cha Dharura baada ya sintofahamu kutokea katika Ukumbi wa kuhakiki kura za Urais, baada ya Kompyuta kuingizwa ukumbini kinyume na Taratibu



Soma LIVE - Yanayojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: Ruto na Odinga wanaendelea kuchuana vikali katika matokeo ya awali

#KenyaDecides2022

Uchaguzi ulifanyika 09/08/2022, hakuna uchaguzi uliofanyika hiyo tarehe uliyoitaja, labda huo ulikuwa uchaguzi wa kiongozi wa wagsnga wa kienyeji!
 
Daaaaah kenya wako vizuri japo wana ufisadi mkuubwa sana lakini nimependa jinsi walivyo, mpaka sasa hata wakenya hawajui raisi Wao ni nani, huku bongo tunajua mpaka chama kitakachoongoza mpaka 2095, tunajua raisi wa 2025 ni nani.
Kuna mpuuzi anasema raisi ataongoza mpaka achoke

Ndiyo raha ya kila nchi kuwa na katiba na utaratibu wake! Ukienda Afrika Kusini nako utasema umeupenda, Marekani utasema umeupenda, Burundi utasema umeupenda, fusta yaliyoko kwako maana ungejua saa hizi huko yanarindima mabomu usingesema kuwa umeupenda!
 
Daaaaah kenya wako vizuri japo wana ufisadi mkuubwa sana lakini nimependa jinsi walivyo, mpaka sasa hata wakenya hawajui raisi Wao ni nani, huku bongo tunajua mpaka chama kitakachoongoza mpaka 2095, tunajua raisi wa 2025 ni nani.
Kuna mpuuzi anasema raisi ataongoza mpaka achoke
Lissu alijaribu kabadilisha hali,lakini Watanzania hawakumpa mtikio.
 
Daaaaah kenya wako vizuri japo wana ufisadi mkuubwa sana lakini nimependa jinsi walivyo, mpaka sasa hata wakenya hawajui raisi Wao ni nani, huku bongo tunajua mpaka chama kitakachoongoza mpaka 2095, tunajua raisi wa 2025 ni nani.
Kuna mpuuzi anasema raisi ataongoza mpaka achoke
Umenifanya nicheke sana!
 
Daaaaah kenya wako vizuri japo wana ufisadi mkuubwa sana lakini nimependa jinsi walivyo, mpaka sasa hata wakenya hawajui raisi Wao ni nani, huku bongo tunajua mpaka chama kitakachoongoza mpaka 2095, tunajua raisi wa 2025 ni nani.
Kuna mpuuzi anasema raisi ataongoza mpaka achoke
Yaani acha tu.Tanzania bado sana.
 
kisumu walishamaliza jana mkuu, ulikua wapi?

Kura nchini zipo Mount Kenya, huko ndiko kwenye wapiga kura walioshiba Kenya. Kwa kawaida anayeshinda Mt Kenya, ndiye anayekuwa amefunga kazi ya uraisi nchini Kenya! Hapo Ruto lazima atatangazwa dakika 6 zijazo! Let us wait! Hakuna sehemu yenye population kubwa Kenya kama kwa Wakikuyu!
 
Back
Top Bottom