Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Kwahiyo waislamu ni asilimia ngapi ya wanaijeria?Waislamu ni wengi na wako zaidi kaskazini. Wakristo wachache na wapo zaidi kusini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo waislamu ni asilimia ngapi ya wanaijeria?Waislamu ni wengi na wako zaidi kaskazini. Wakristo wachache na wapo zaidi kusini.
Hiyo utafute mwenyewe ila ndiyo wengi zaidi.Kwahiyo waislamu ni asilimia ngapi ya wanaijeria?
Waislam ni zaidi ya nusuDini ipi ni wengi?
Obi Mkristo angeshinda magaidi wangefanya mashambulizi mengi kwa miaka ya kwanza ila wangepigwa. Tinubu Mwislamu akikubaliwa kuwa Rais magaidi hawatofanya mashambulizi kupitiliza na serikali haitoshughulika nao. Nigeria inakuwaga hivyo, Goodluck Jonathan alivyoondoka tu Boko Haram wakaacha kuteka wanafunzi.Rais mpya ajaye ana kibarua kizito cha kukabiliana na hali mbaya ya ukosefu wa usalama....magenge ya uhalifu (bandits) na kigaidi (Iswap) yamejikita kwenye majimbo mengi na kuleta mateso kwa raia.
Obi Mkristo angeshinda magaidi wangefanya mashambulizi mengi kwa miaka ya kwanza ila wangepigwa. Tinubu Mwislamu akikubaliwa kuwa Rais magaidi hawatofanya mashambulizi kupitiliza na serikali haitoshughulika nao. Nigeria inakuwaga hivyo, Goodluck Jonathan alivyoondoka tu Boko Haram wakaacha kuteka wanafunzi.
Huyu Buhari alikuwa anawachekea Boko Haram ambao ni kabila lake, nao hawakuwa wanafanya matukio sana. Baadae ISWAP walivyoanza kupambana na Boko Haram na kufanya matukio na wananchi wakachukia to the maximum ndipo Nigeria ikanunua silaha na kufanya missions kali kabla ya uchaguzi. Uchaguzi ukiisha hutoona operations za kuwapiga waasi endapo chama tawala kitaendelea. Ila silaha za jeshi la Nigeria zimenunuliwa nyingi kwa gharama kubwa miaka miwili hii.
BAT hata uwezo wa kusimama vizuri hana, elimu yake haijulikani, umri wake kadanganya miaka zaidi ya kumi kwa sababu mwanamama mmoja aliyekuwa deputy wake na mdogo kiumri alishastaafu miaka kibao nyuma uko. Na classmates wa Tinubu elimu za kwanza walishastaafu na kusahaulika ila wa elimu za juu hawajulikani kwani hakufika uko. Then ni muuza madawa ya kulevya mstaafu.
Hawezi ongea bila kusoma speech mzee wa agbado. Ukijichaganya ukamuuliza maswali anasahau alichojibu.
Obi na obidients wake ni kama woke community. Ni jamii fulani king'ang'anizi ambayo haipendi kuambiwa ukweli kwamba kushinda kwa mazingira ya Nigeria hakupo, na ni jamii ya vijana wanaotumia sana media na hype kufanya kampeni. Obi ametumia makanisa na wachungaji wamempigia kampeni mno. Yeye binafsi nina imani anajua haya ila mashabiki zake hawataki kuelewa. Obidients watakuwa wapinzani wazuri na ni basis nzuri ya uchaguzi ujao kama Obi atabaki relevant. Maana najua lazima Tinubu awe kilaza kupindukia, we uliona wapi mgombea hata jimbo aliloongoza na alikozaliwa linamkataa wakati Nigeria ni nchi ya ubaguzi wa majimbo?
Yani Samia agombee alafu Unguja alikozaliwa wasimpigie kura.
Obi ndio ana unafuu kati ya wagombea wote ila hana connection kubwa na uzoefu. Akikaa calm hivihivi uchaguzi ujao atawakimbiza. Hata hivyo kaleta sense ya uwajibikaji kwa viongozi, Nigeria wanaoamua Rais awe nani na kakundi kadogo tu wala hakana kelele machoni mwa watu. Marais walikuwa wanafanya lolote as long as kale kakundi kanatimiza malengo mwananchi anadharauliwa ndio maana hiyo nchi huwa ina mambo ya ajabu sana yanatokea.
53.5. IslamKwahiyo waislamu ni asilimia ngapi ya wanaijeria?
Ukishakuwa na educated fools hilo ndo utegemee....Rais mpya ajaye ana kibarua kizito cha kukabiliana na hali mbaya ya ukosefu wa usalama....magenge ya uhalifu (bandits) na kigaidi (Iswap) yamejikita kwenye majimbo mengi na kuleta mateso kwa raia.
Heading na content haviendani. Anyway kwani ni lazima kutwiti kumpongeza?Vyama Tawala Barani Afrika having'olewi hovyo hovyo bali kwa Mikakati thabiti na Uthubutu bila ya kuwa Muoga wa Kufa au Kufungwa Jela.
Imeshapenya hiyo.....!!!!!!Heading na content haviendani. Anyway kwani ni lazima kutwiti kumpongeza?
Eti mwamsheni....., ni lugha isiyokuwa na staha. All in all umeandika rubbish ndugu, ungempongeza huyo mnaijeria bila kuandika vitu visivyo na ulazima. Purely talented my foot!
Ila Buhari kajitahidi sana kuwapiga Bokoharam kwa ushirikiano na nchi jirani za kieneo Chad na Cameroon sidhani kama kuna kundi la kigaidi lililofanya mauaji makubwa ya watu wengi Africa hii kama bokoharam.Huyu Buhari alikuwa anawachekea Boko Haram ambao ni kabila lake, nao hawakuwa wanafanya matukio sana. Baadae ISWAP walivyoanza kupambana na Boko Haram na kufanya matukio na wananchi wakachukia to the maximum ndipo Nigeria ikanunua silaha na kufanya missions kali kabla ya uchaguzi. Uchaguzi ukiisha hutoona operations za kuwapiga waasi endapo chama tawala kitaendelea. Ila silaha za jeshi la Nigeria zimenunuliwa nyingi kwa gharama kubwa miaka miwili hii.
Eti rais mwenyewe sa100 ...ni ujinga ujinga tuUkishakuwa na educated fools hilo ndo utegemee....
Hata Tanzania hayo mambo yatatokea tu to ni swala la muda
Tinubu hakutakiwa kushindwa majimbo mawili hayo. Kwanza ni kiongozi wa Lagos mstaafu, alitumia muda wote kusema alivyofanya transformation ya Lagos kisha leo anashindwa hilo jimbo tena wameiba kura aonekane ameshindwa kidogo. Pamoja na kwamba Lagos ni muunganiko wa jamii nyingi na ni wasomi na wanaopitia machungu yote ya Nigeria ila mgombea kukataliwa na jimbo aliloongoza sio sign nzuri.Tinubu alibase Lagos ndio maana huko Osun kiasili ambako ndio nyumbani kwake amepoteza( i might be wrong on this) na Lagos nako kashindwa ila ninadhani kwa Nature ya Nigeria na siasa zake Lagos ni sehemu ngumu sana (kuna factor nyingi hapa kwanza Lagos ina'refclect' whole population of Nigeria with it's whole diversity kushinda Duh hapa pagumu sana )
Watu hawawezi kuelewa hili.Vyama Tawala Barani Afrika having'olewi hovyo hovyo bali kwa Mikakati thabiti na Uthubutu bila ya kuwa Muoga wa Kufa au Kufungwa Jela.
Kwahiyo waislamu ni asilimia ngapi ya wanaijeria?
Population wanadanganya wahuni hao hamna kitu. That's why they killed Dr. Obadiah50% muslim North
40% Christian South
10% no dini
Waislam wa North ambao ni Hausa na Fulan ndiyo wametawala sana siasa za Nigeria,wengi wa Rais wao wanatoka huko Kaskazin
Gen Yakoub Gowon
Gen Murtala Mohamed
Gen San Abacha
Gen Abdulsalam Abubakr
Gen Babangida
Gen Buhar
Democratic elected from North
Umar Mussa ya’dur
Shehu Shagar
Sasa ni Bola Ahmed Tunubu
Kwangu mimi Buhari ni failed president kwa muda mrefu. Ukianza kumfuatilia Buhari miaka miwili hii kabla ya uchaguzi ambapo yeye na genge lake walishtuka wanaweza poteza urais ndio utaona anafaa ila ni hafai kabisa.Ila Buhari kajitahidi sana kuwapiga Bokoharam kwa ushirikiano na nchi jirani za kieneo Chad na Cameroon sidhani kama kuna kundi la kigaidi lililofanya mauaji makubwa ya watu wengi Africa hii kama bokoharam.
kuuawa kwa Shekau na magaidi hasimu wa "Iswap" baada ya mzozo na mgawanyiko baina yao kumesaidia mno kutuliza hali japo kidogo, maana kwa sasa bokoharam haina nguvu kubwa isipokuwa tu "Iswap" ndio imechukua nafasi yao.
ila magenge ya utekaji (bandits) wanaoendesha utekaji na kudai fidia kubwa ndio yameshika hatamu mpaka kulazimu baadhi ya serikali za majimbo kuhamisha au kusitisha shughuli zake, hapa Rais ajaye ana kazi ngumu sana...............hata kwenye kupambana na ufisadi Buhari kajitahidi mno japo bado sio rahisi kushinda.
Ila matatizo ya Nigeria yana mizizi mirefu mno kuna wanaosema "Nigeria ni nchi tu ila sio taifa" hivyo mizozo mingi inayowakumba inatokana na hilo.
Matokeo ya mabunge yamefanyiwa collation Electronically ila ya Urais wanataka yafanyike manually naona na Obasanjo katoka na speech