Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Nigeria 2023. Bola Tinubu atangazwa mshindi, upinzani wakacha kuhudhuria sherehe za utangazaji matokeo

ilikuwaje Goodluck Jonathan alishinda kwenye mazingira kama hayo?

Jomba kwenye siasa kuna kitu Infrastructure and/or Chama

Nigeria Igbo sana sana ndio wanapiga kura kiukabila ila maeneo mengine wanapiga kwa chama

Goodluck Jonathan alichomolewa na kabila la Yoruba mind you hawa Yoruba ni kabila kubwa sana Nigeria ni kabila namba mbili pale Nigeria around kama robo hivi ya Population ya Nigeria

Wa Yoruba wanasema aliwasahau ndio maana wakammaliza kwenye sanduku la kura
 
President SHONEKAN ambaye alikaa kwa miezi michache akaja BABU yangu mimi SANI ABACHA ambaye ndio kiongozi aliyeipa maendeleo zaidi NIGERIA ingawa pia alikuwa katili sana.
Babu yako tunamjua ni Magufuli sio Abacha.
 
Ila kwa huyu Tinubu, Buhari ataonekana alikuwa bora sana, kwa huku Africa kuwa rais kwa umri huo wa Tinubu hasa kwa nchi kama Nigeria yenye matatizo lukuki ni vigumu mno kuwa na matokeo mazuri.....Muda utakuwa shahidi mzuri.

kama hatakuwa na suluhisho la tatizo la ukosefu wa usalama, Buhari atakumbukwa na kuonekana afadhali.
 
Vyama Tawala Barani Afrika having'olewi hovyo hovyo bali kwa Mikakati thabiti na Uthubutu bila ya kuwa Muoga wa Kufa au Kufungwa Jela.
Imeshapenya hiyo.....!!!!!!
Moderators wametumia busara kuunganisha iwe ni kama comment. Hapo sawa, comment iko vizuri maana haiwezi kuwa thread hiyo ni komenti tu..

Unaanzishaje uzi wa vimistari viwili tu utafikiri ni chitchat, halafu unaandika kichwa cha habari kimejaa ujinga mtupu.. eti mwamsheni sijui nani...

Huyo ni raisi wa nchi na pia ni kama mama yako, huwa hatuwakosei adabu mama zetu we mjinga unayejitanabaisha kwamba una akili, get that in your empty head!
 
Ana kura million 6 mshindi ana 8 million unasemaje hawezi kuwa mshindi chaguzi zijazo??

Naamini kama uchaguzi ukiwa huru na haki matokeo yangeshangaza wengi. Ila hizi analysis ilihali uchaguzi una kasoro haziwezi kuwa objective.

Mfano kama wangeungana Obi na Atiku unadhani chances za BAT kushinda zingekuwepo?
 
Dah!...kati ya wapiga kura million 93 mshindi kapata kura million 8.8 tu yaani asilimia 37...na bado hitilafu za uchaguzi zipo za kutosha huu mtindo wa mshindi kukomba kila kitu peke yake hata kama ushindi ni tofauti kiduchu hauna afya...

Africa ina maajabu yake.
 
Hicho kikundi ni akina nani mkuu
 

BOLA TINUBU Business to politics​

Tinubu was born in Lagos in 1952, to a Muslim family from the Yoruba ethnic group, the majority in southwest Nigeria.

In the 1970s, he studied in the United States while working as a dishwasher, taxi driver and night guard to fund his education. He graduated from Chicago State University in 1979 with a degree in business administration.

After working for US consultancy firms, he returned to Nigeria in the 1980s and worked for the Mobil oil company as an auditor.

He first got involved in politics in the 1990s and was elected governor of Lagos when military rule ended in 1999.

Sometimes referred to as the political "godfather", Tinubu has been known for exerting power from behind the scenes and using his extensive network to back candidates for office.
source: DW
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…