Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
You are too emotional!Tulia.Waache kumpendelea TL uchaguzi uwe huru na haki kwa wote
Kwahiyo alimhonga nani hizo pesa ?Wewe acha izo mambo bhana kwani CHADEMA walikuwa hawana mgombea urais hadi wasubiri lowasa akwate ndio aje kugombea akili zake zikishakuwa za kibavicha huwa unaburuzwa tu sio shauri lako ni wale vijana wa ufipa kina mmawia wamekurukiza upofu.
Upo na Lijiha-Likali?! Mpe pole ya kura zote 7!Too Sad Lissu atashindwa kwa wajumbe.Wajumbe wa Chadema kutwa kusifia wajumbe wa CCM kuwatema wageni..Cha kuchangaza wao wanapigia kura wageni. Ndo maana Newton akajisemea for every action,there is an equal and opposite reaction.
ona lofa hili katika uzombi wake wa lumumba. wewe mambo ya CHADEMA yanakuhusu.. au ndo kuwashwawashwa kama alivosema babayenu MEKOMpaka hapo Nyalandu kashinda, Lisu hana uwezo wa kupambana na Nyalandu, Nyalandu ana pesa za kampeni wakati Lisu kapuku hana kitu
Ili SHOGA Laki Si Pesa la lumumba ndo mana linatafunwa sababu ya kupenda pesa.Utajiri wa Lissu ni watu no amount of money can buy that.
[emoji23][emoji1787][emoji2960]Maswali ya kamati kuu yatakuwa
Lissu una sh ngapi za campaign? 15,000Tsh
Nyalandu una ngapi? 15bnTsh
Nyalandu atapewa tu
And that 15bn italiwa vizuri na mzee wa KIA na Nyagi
Wewe ndiye umeonyesha upunguani wa hali ya juu sana. Anaechaguliwa na cdm atakuwa mgombea urais wa Tanzania na akishinda atakuwa raisi wa JMT. Iweje useme mambo ya chadema hayamhusu?ona lofa hili katika uzombi wake wa lumumba. wewe mambo ya CHADEMA yanakuhusu.. au ndo kuwashwawashwa kama alivosema babayenu MEKO
Chadema wawe makini sana kwenye kuchagua muwakilishi wao.Ninasikia Jaji Kaijage anasubiri kulima jina la Lissu kwakua alivuliwa ubunge. Haya yanafanyika kwa maelekezo kutoka juu.
nenda kanyonye dushe la mumeo umbwa wee. mambo ya lumumba yamewashinda mnafatilia mambo ya CHAMA MAKINI CHADEMA mmeishiwa nyie.Wewe ndiye umeonyesha upunguani wa hali ya juu sana. Anaechaguliwa na cdm atakuwa mgombea urais wa Tanzania na akishinda atakuwa raisi wa JMT. Iweje useme mambo ya chadema hayamhusu?
Kwani raisi huyo atawaongoza wanachama wa cdm peke yao? Akili zenu zimehalibiwa sana na viloba. Serikali isingezuia viroba asilimia kubwa ya vijana wa cdm mngekuwa vichaa.
Mbowe hawezi kukubali mgombea urais masikini kama Lisu, Chadema misingi yake ni ubepari kutafuta pesa lazima Nyalandu apitishwe, Nyalandu ni tajiri