Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Chedema wanajua hawawezi kushinda kwa nafasi ya urais, hivyo lengo lao ni kumtumia mgombea urais kwa ajili ya kuongeza idadi ya wabunge. Kushinda uchaguzi ni kampeni, kampeni ni pesa, mgombea mwenye pesa ndiye anafaa.

Hivyo basi mgombea wa Chadema ni Nyarandu.
 
Acha kupotosha kama issue ni hela huyo Dr slaa aligombeaje 2010

Slaa alikuwa na pesa za wafadhili ni muandishi mzuri wa miradi kwa wafadhili .UNAONA WAKATI yuko Chadema viongozi wengi wa Chadema walikuwa wakifadhiliwa safari nyingi za kwenda ulaya na marekani na Chadema kilikuwa na marafiki kibao wa nje ambao contact person wao alikuwa Slaa

Nyalandu anao wafadhili wa nje kibao tofauti na Lisu .Lisu hela za ndani hana na za nje hana .Hana wafadhili ni mzigo kwa chama.Slaa alijibeba wakati ule,kabla ya hapo Mbowe aligombea uraisi naye 2005 naye alijibeba kwa pesa zake,Akaja Lowasa 2015 akajibeba kwa pesa zake na safari hii Chadema hawezi weka mtu wa kubebwa wataweka anayejibeba kwa pesa zake.Ambaye hatasumbua chama wala wanachama,Kati ya hao wagombea watatu maskini pekee aliyepo kwenye hiyo list ni Tundu Lisu pekee.Huyo mama mumewe ni tajiri wa kufa mtu.

Nyalandu ubunge tu huendesha kampeni kwa helikopta.

Baraza kuu anashinda mapema asubuhi.Akisimama aweza hata asiongee maneno mengi anasema tu nipeni kura zenu anaenda kukaa kampeni alishamaliza kwa wajumbe alipozunguka nchi nzima kusaka wadhamini hapo wanaenda ku tick tu kuwa tunamtaka Nyalandu

kwenye hizo kura Lisu aweza shika nafasi ya tatu wa kwanza akiwa nyalandu wa pili huyo mama wa tatu akawa Lisu

Nyalandu yuko serious kugombea uraisi alikuwa hashindi facebook,twitter ,youtube na jamii forums kama Lisu alikuwa akienda moja kwa moja kwa wajumbe

Mcheki hapo akikata mbuga kutafuta wadhamini hakuchangiwa na mtu anajibeba mwenyewe hasumbui chama wala wanachama kama ambavyo Tundu LIsu hadi pesa ya fomu alitoa namba watu wachangie!!! Hela ya fomu tu hana ya kampeni atatoa wapi na chama hakina pesa

1596429788311.png
 

Attachments

  • 1596429519125.png
    1596429519125.png
    102.7 KB · Views: 1
Kigezo chako ni pesa za kampeni,, vipi Tanzania yetu?

Bara letu litaendelea kuendeshwa na mabara mengine kama tutaendelea na ubinafsi wa aina hii.

Nyalandu au Membe wa Act ni watu ambao watatubakisha kwenye business as usual.

hatutasonga popote,, tutajikuta tunashangilia tena uchumi wa kati kutoka matangazo ya world bank huku hali zetu zikiendelea kuwa duni.
Tuambie miujiza ya lisu itakayotutoa hapa tulipo
 
Yaan hawa viumbe kila wakisikia hili jina hupata kiwewe,mara hawezi rudi amerudi hv sasa hakuna wanachofanya icpokuwa ni hizi ramli chonganishi
Shida ya viongozi wa Chadema si kwenda Ulaya na Marekani, shida yao ni kuwatumikia wananchi.

Jibu ni TAL kama hutaki kunywa sumu.
 
Mbowe hawezi kukubali mgombea urais masikini kama Lisu, Chadema misingi yake ni ubepari kutafuta pesa lazima Nyalandu apitishwe, Nyalandu ni tajiri
Mlituaminisha kuwa mbowe kamuuzia chama lowasa. Swali je, lowasa alirudishiwa pesa zake kabla ya kurudi ccm au bado ni mmiliki wa chama? kama ndiye mmiliki wa chama iweje useme kuwa mbowe hawezi mkubali tundu lissu wakati yeye mbowe sio mmiliki wa chama.
 
Kwa wajumbe kwa jinsi Nyalandu alivyofanya kampeni na kugawa pesa basi kishashinda. Ila kwenye Urais wa JMT CCM watafurahi sana maana watapita nae kama upepo. Nyalandu hawezi hata kumshinda Membe. Magufuli ndo kabisa,huyu Nyalandu arudishe kwanza Twiga wetu.
 
Shida ya viongozi wa Chadema si kwenda Ulaya na Marekani, shida yao ni kuwatumikia wananchi.

Jibu ni TAL kama hutaki kunywa sumu.
Kukubalika na mataifa makubwa muhimu .Sasa kama ni kutumikia watanzania Lisu alikuwa akienda kubweka nje ya Tanzania ulaya na marekani mambo ya Tanzania kwani ulaya na marekani ni watanzania?

Wewe jiandae kunywa sumu shock utakayopata leo baada ya mgombea kupitishwa

Tundu LISU atashika nafasi ya Tatu .Sababu kwenye hilo kundi wagombea wote matajiri kasoro Lisu ,Nyalandu na yule mama wana pesa

Kura zikipigwa nyalandu ataongoza akifuatiwa na yule mama sababu kuna movement ya akina mama kali mno ndani ya CHadema ya kutaka akina mama washike nafasi ndio maana akina wengi wamewabwaga wanaume kura za maoni za ubunge na leo akina mama wengi chadema kura zao watazielekeza kwa mwanamke mwenzao

Hivyo mnyukano mkubwa upo kwa mwenye pesa nyalandu na mwanamke mwenye kundi la akina mama wa chadema nyuma

Tundu Kwenye huo mnyukano yuko out of the equation hivyo ataambulia kura chache sana.Uwezekano mkubwa atashika nafasi ya tatu
Jana tu Kamati kuu uilipoamua majina yote matatu yaende baraza kuu Tundu Lissu alikuwa mnyonge sana.

Hakuamini kilichotokea.Alidhani kama ilivyotokea kwa Lowassa atateuliwa na kamati kuu kuwa mgombea pekee!!!! Alikuwa shocked!! Kamati kuu ikasema tunaachia demokrasia ifanye kazi.Majina yote yaende baraza kuu kupigiwa kura
 
Mpaka hapo Nyalandu kashinda, Lisu hana uwezo wa kupambana na Nyalandu, Nyalandu ana pesa za kampeni wakati Lisu kapuku hana kitu
Wewe jamaa kw hyo sifa ya ushindi kwa Hao watatu ni kuwa na pesa tu?kwa hyo CCM walivompitisha mgombea wao kigezo kilikua pesa? Mbongo zilizojaa kamasi hizi zinatema kamasi humu!!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Slaa alikuwa na pesa za wafadhili ni muandishi mzuri wa miradi kwa wafadhili .UNAONA WAKATI yuko Chadema viongozi wengi wa Chadema walikuwa wakifadhiliwa safari nyingi za kwenda ulaya na marekani na Chadema kilikuwa na marafiki kibao wa nje ambao contact person wao alikuwa Slaa

Nyalandu anao wafadhili wa nje kibao tofauti na Lisu .Lisu hela za ndani hana na za nje hana .Hana wafadhili ni mzigo kwa chama.Slaa alijibeba wakati ule,kabla ya hapo Mbowe aligombea uraisi naye 2005 naye alijibeba kwa pesa zake,Akaja Lowasa 2015 akajibeba kwa pesa zake na safari hii Chadema hawezi weka mtu wa kubebwa wataweka anayejibeba kwa pesa zake.Ambaye hatasumbua chama wala wanachama,Kati ya hao wagombea watatu maskini pekee aliyepo kwenye hiyo list ni Tundu Lisu pekee.Huyo mama mumewe ni tajiri wa kufa mtu.

Nyalandu ubunge tu huendesha kampeni kwa helikopta.

Baraza kuu anashinda mapema asubuhi.Akisimama aweza hata asiongee maneno mengi anasema tu nipeni kura zenu anaenda kukaa kampeni alishamaliza kwa wajumbe alipozunguka nchi nzima kusaka wadhamini hapo wanaenda ku tick tu kuwa tunamtaka Nyalandu

kwenye hizo kura Lisu aweza shika nafasi ya tatu wa kwanza akiwa nyalandu wa pili huyo mama wa tatu akawa Lisu

Nyalandu yuko serious kugombea uraisi alikuwa hashindi facebook,twitter ,youtube na jamii forums kama Lisu alikuwa akienda moja kwa moja kwa wajumbe

Mcheki hapo akikata mbuga kutafuta wadhamini hakuchangiwa na mtu anajibeba mwenyewe hasumbui chama wala wanachama kama ambavyo Tundu LIsu hadi pesa ya fomu alitoa namba watu wachangie!!! Hela ya fomu tu hana ya kampeni atatoa wapi na chama hakina pesa

View attachment 1525564
Humu kuna watu wanandk utafikili wanadhani wasomaj wengi ni vilaza. Hivyo wanajitahidi kuonyesha udhaifu wao wa uelewa...hapa kwenye andishi lako umeonyesha Hilo. Tafakur kuhusu nyakat tulizonazo tafakar kuhusu uelewa wa wananchi wengi.!!acha uvyama ongelea uhalisia wa hali ilivyo!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
unaijua CHADEMA wewe? muadilifu dr. slaa alitupwa pembeni akateuliwa fisadi lowasa kugombea urais. CHADEMA wanachotaka ni pesa, hayo mambo ya kupendwa na watu sio kipaumbele chao!
Huyo Lowassa mnaye wenyewe huku mkimtusi kama fisadi na mtoa rushwa?Kama ni fisadi,je hilo limehalalishwa huko CCM Mpya?
Ningekuona wa maana kama utamripoti Lowassa TAKUKURU kwa ufisadi.Kama hilo haliwezekani,waache CDM wafanye yao.Huna hoja nyingine ya kumpunguzia Mh.Lissu credit?
 
Nyalandu ana uwezo mkubwa wa kufight na Jiwe japo hawez kumshinda, ana uwezo wa kujenga hoja ,Lissu hawezi aisee ,mpak sasa kuna makundi mawili yenye mtazamo tofaut kwa Lissu , kundi moja linamuona kama msaliti ( miyeyusho) , kundi jingine linamkubali , mi vigumu kwa Lissu kuliaminisha kundi linalomponda ambali ndo wengi .....maoni yangu Lissu na nyalandu watengeneze umoja , wapige kampeni ya kibabe , angalau wanaweza kumtikisa Jiwe pakubwa , ila kumng'oa hiyo haipo
 
Nyalandu ana uwezo mkubwa wa kufight na Jiwe japo hawez kumshinda, ana uwezo wa kujenga hoja ,Lissu hawezi aisee ,mpak sasa kuna makundi mawili yenye mtazamo tofaut kwa Lissu , kundi moja linamuona kama msaliti ( miyeyusho) , kundi jingine linamkubali , mi vigumu kwa Lissu kuliaminisha kundi linalomponda ambali ndo wengi .....maoni yangu Lissu na nyalandu watengeneze umoja , wapige kampeni ya kibabe , angalau wanaweza kumtikisa Jiwe pakubwa , ila kumng'oa hiyo haipo
Hatuhitaji mgombea mwenye historia na u ccm , tunamuhitaji Lisu tu, hata useme wamuweke Mbowe hatukubali na CDM wakitaka chama kife wasimpitishe Lisu awamu hii wataona. Heri tushindwe tukiwa na Lisu kuliko takataka yeyote.
 
Back
Top Bottom