Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Kukubalika na mataifa makubwa muhimu .Sasa kama ni kutumikia watanzania Lisu alikuwa akienda kubweka nje ya Tanzania ulaya na marekani mambo ya Tanzania kwani ulaya na marekani ni watanzania?

Wewe jiandae kunywa sumu shock utakayopata leo baada ya mgombea kupitishwa

Tundu LISU atashika nafasi ya Tatu .Sababu kwenye hilo kundi wagombea wote matajiri kasoro Lisu ,Nyalandu na yule mama wana pesa

Kura zikipigwa nyalandu ataongoza akifuatiwa na yule mama sababu kuna movement ya akina mama kali mno ndani ya CHadema ya kutaka akina mama washike nafasi ndio maana akina wengi wamewabwaga wanaume kura za maoni za ubunge na leo akina mama wengi chadema kura zao watazielekeza kwa mwanamke mwenzao

Hivyo mnyukano mkubwa upo kwa mwenye pesa nyalandu na mwanamke mwenye kundi la akina mama wa chadema nyuma

Tundu Kwenye huo mnyukano yuko out of the equation hivyo ataambulia kura chache sana.Uwezekano mkubwa atashika nafasi ya tatu
Jana tu Kamati kuu uilipoamua majina yote matatu yaende baraza kuu Tundu Lissu alikuwa mnyonge sana.

Hakuamini kilichotokea.Alidhani kama ilivyotokea kwa Lowassa atateuliwa na kamati kuu kuwa mgombea pekee!!!! Alikuwa shocked!! Kamati kuu ikasema tunaachia demokrasia ifanye kazi.Majina yote yaende baraza kuu kupigiwa kura
wewe jamaa mbona issue za lisu unazishadadia sana mzee? kuna nini
 
Basi kama vyama vya upinzani vinashindwa kuweka ilani inayoweza kushawishi wapigakura hawafai kuchukua nafasi ya uongozi
Acha upuuzi, kama unatangaza ilani na unashinda kisha CCM wanapora ushindi wewe kwa akili yako utaendelea kutangaza ilani au utapambania ushindi wako?
Lissu kajikita kuwaaminisha wafuasi wake kuwa wakiibiwa ushindi patachimbika.
That's how to deal with CCM and particularly Magufuli.
 
Hii ni Kweli?? 👇👇

*Matokeo ya kura Baraza Kuu:*

1. Tundu Lissu kura 415

2. Lazaro Nyalandu kura 36

3. Dk. Mayrose Majinge kura 1
 
Kati ya makosa makubwa ambayo CHADEMA wanapaswa kuyaepuka kwa gharama yoyote ni kuacha kumpitisha Lissu.

Muda wa majaribio uliisha kipindi cha Lowassa hivyo makosa ya 2015 yasijirudie tena. Mbali na uwezo wa kifedha Nyalandu hana ushawishi wowote ndani ya Chadema ,kwa kifupi hakuna mtu wa kumpa Nyalandu kura.

Naamini Nyalandu yupo kwa ajili ya kumsafishia Jiwe njia apite bila kipingamizi na mwisho wa siku Nyalandu maslahi yake yanalindwa.
Ukweli kwa 100%.
 
Magu atakuwa anacheka inhiiii[emoji3][emoji3],mmejipinda kutuchagulia " muhanga".yoyote tu aje...tunaburuza vibayaaa[emoji119][emoji119].CCM mbele kwa mbeleee[emoji928][emoji928]
 
Maswali ya kamati kuu yatakuwa

Lissu una sh ngapi za campaign? 15,000Tsh

Nyalandu una ngapi? 15bnTsh

Nyalandu atapewa tu

And that 15bn italiwa vizuri na mzee wa KIA na Nyagi
MATAGA hadi humu umo, hupitwi na pilau la CHADEMA?
WEwe wa kwenu si amejipitisha bila kupingwa baada ya kuchapisha fomu moja tu ya kugombea na yule aliyeomba hata soft copy aka-print akafukuzwa chama?
 
Back
Top Bottom