Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Asante mmekitendea HAKI chama na Wanachama, sasa kazi imeanza[emoji123]Kati ya makosa makubwa ambayo CHADEMA wanapaswa kuyaepuka kwa gharama yoyote ni kuacha kumpitisha Lissu.
Muda wa majaribio uliisha kipindi cha Lowassa hivyo makosa ya 2015 yasijirudie tena. Mbali na uwezo wa kifedha Nyalandu hana ushawishi wowote ndani ya Chadema ,kwa kifupi hakuna mtu wa kumpa Nyalandu kura.
Naamini Nyalandu yupo kwa ajili ya kumsafishia Jiwe njia apite bila kipingamizi na mwisho wa siku Nyalandu maslahi yake yanalindwa.
Hivi we kwa akili yako unadhani lissu anaweza kuwa Rais??Hongereni wajumbe wote CDM na wagombea wote...
Kazi sasa inaanza... hakuna kulala..
Nchi inahitaji mabadiliko makubwa... liwalo na liwe--- NEC heshimuni haki sawa kwa wagombea wote wa vyama vyote. wapeni uwanja sawa..hizi habari za kuwaengua watu kwa technicality ziishie huko huko kwenye coridors zenu... Tanzania ni yetu sote, watoto wa nyumba moja - tupendane na tuijenge nchi yetu kwa kadri ya ushindi wa halali..
Wote CCM na CDM Wamefanya kura za wazi- hakuna namna, tuleteeni njia ya uhesabuji wa kura kama wa CCM na CDM- uwazi na Ukweli- namna bora ya kumuenzi mkapa...
Wajumbe 442 wa Baraza Kuu wapiga kura :
Matokeo: Tundu Lissu 405 , Lazaro Samuel Nyalandu 36 na Dr. Mayrose Kavura Majinge 1.
wajumbe wanazidi kutrendUpdates:
3 August 2020
Dar es Salaam, Tanzania
Toka Mlimani City : mkutano wa Baraza Kuu wa Chadema:
Mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA wamepiga kura kupendekeza nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwapigia kura ifuatavyo :
Nimeanza kukupenda kwa misimamo yakoShida ya viongozi wa Chadema si kwenda Ulaya na Marekani, shida yao ni kuwatumikia wananchi.
Jibu ni TAL kama hutaki kunywa sumu.
Sijasema sitaki ila yale siyo matokeo halali.
You are hopeless indeed!
mimi kwa uzalendo wangu naomba hotuba ya Mbowe isisambazwe wala kutafsiriwa kiingereza na kifaransa, itamuaibisha sana mtu flani, pease please kuweni wasiri, mambo ya chumbani msitoe
Hahahaaaa........!
Na ndio maana hadi sasa jimbo lake na Lissu wali kuwa hawaja tangaza wagombea ubunge.. Chadema wako cleverAkagombee ubunge wa ticket ya Chadema huko kwao.
Usinambie Lissu kapita, tunabeba nchi.Wajumbe oyeeeee,ningewashangaa mngempa kura Nyalandu.Kula kwa Nyalandu kura kwa Lissu.
Haya hapa
Shida ya viongozi wa Chadema si kwenda Ulaya na Marekani, shida yao ni kuwatumikia wananchi.
Jibu ni TAL kama hutaki kunywa sumu.
Hz n kama ramli