hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,890
- 2,795
Una haraka sana ya ye kuzikwa? Unagharamia shughuli za mazishi?Kwa nini hawamziki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una haraka sana ya ye kuzikwa? Unagharamia shughuli za mazishi?Kwa nini hawamziki?
Ha ha [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787]Mjane unahangaika tokea jana subiri mirathi kwanza
Konyagi za weekendasa ndo umeandika nn ?
AsaidiweMwandishi anaonesha kuna kitu alitamani wasomaji tukielewe lakini mtiririko wa mantiki ukamuacha pasi kujua habari inaelea elea.
Pumzika kwa amani JPM.
Akili za vichwa panzi ndo zilivyoNchi ilipokuwa haina ndege tuliponda
Wamenunua tunaponda
Ova
Ndo gharama za kuwa Festi Ledi. When you pray for the rain you gotta deal with the mud tooHivi na mjane wa marehemu wanavyompeleka peleka kila sehemu wanamlipa? Kwanini wasimpeleke Chato asubiri siku ya mazishi?
Utopolo huu.Naomba nitoe ufafanuzi tumepitia Post mbali mbali hapa kwenye jukwaa tumeona watu wengi wakihojii kwanini hatumpumzishi mpendwa wetu...
Tuulize siye tunaoishi maeneo ya ikipinda au Amani ndiyo utaelewa mkuu.leo imetokea kwa mara ya kwanza
Kaa kimya wewe!! Haujawahi kusoma kisa cha Dorcas wa Biblia wewe!!Eeee Mungu tazama hiki kizazi kinavyosifu Msafara wa mtu aliefariki...halafu watu wakifurahi kwa sababu kafa magufuli munawakamata nyie hizi munazofanya sio sifa au sio sherehe kusherehekea watu wamejitokeza kila sehemu kulipotu?
Wampeleke na kwa mh. Sugu.CHADEMA laiti msingesema kuwa mzee huyu hakubaliki angeshafukiwa kitambo!
🤣🤣🤣 JF idumu🤣Una haraka sana ya ye kuzikwa? Unagharamia shughuli za mazishi?
Zanzibar haeayegemei ajira wewe kule asilimia 99 hupenda biashara .Wanaongoza kujiajiri sekta binafsi .Ukiuliza Tanzania nzoma nani wanaongoza kujiajiri sekta binafsi ni wazanzibariUnemployment Zanzibar ni 70% hivi utakosa washangaaji?