Yaliyotokea kwa ACT Wazalendo kwenye chaguzi Ujiji kwa Polisi kuilinda CCM kuiba kura, 2024/25 yanawasubiri CHADEMA, mtafanya nini yakitokea?

apotee mara ngapi na ameshapotea
Atarudishwa bungeni !
So atakuwa bado hajapotea !
Na kama alikuwa na madeni yatakuwa solved !
Nusu mkate ! Politics is a game of chance !
Mimi ndio nilipotezwa !! πŸ™πŸ™πŸ™
 
Solution ya Uchaguzi huru ni kuruhusu mgombea binafsi
 
Hakuna Mgombea yoyote wa Chadema wa kuogopewa na CCM huku Tanganyika Labda wale wagombea wa ACT wazalendo Kule Pemba
 
mimi nawaachia wananchi, wakisema "bado" sawa tu, wakisema "muda ni sasa" sawa tu
 
R.I.P and welcome back again,
utakapo pata relief ya magubu na muhemko, na kua na uwezo wa kuishi katika free mind on spheres of Resilience, Reconciliation, Reforms, Rebuilding....
 
It’s enough for the people to know there was an election ! !
 
Hivi katiba ikipatikana CCM ndiyo wataacha kuiba kura?
Mbona kipindi cha mwendazake katiba haikufuatwa na hakuna hatua zozote alizochukuliwa.
Tatizo mnafikiri ni jukumu la Chadema kudai katiba hivi kama wananchi hawaitaji katiba chadema wafanye nini?
Nchi yetu bado inatakiwa kuendelea na mfumo wa chama kimoja mpaka wananchi tutakapoamka
 
Huyo anaedai ataingia msituni Nampa tahadhari

Atatoa mavi kwa koromeo kama wale Magaidi wenzie wa kibiti
Ninauhakika wewe shoga huwezi kupiga hata push ups 3 achilia mbali kurusha hata ngumi.

Umeandika ulichoandika kwasabababu wewe binafsi huwezi lolote unachowaza kwenye bichwa lako polisi wenye silaha ndiyo watatumiwa kudhihiti chadema.

Bisha niweke picha zako ukiliwa 0.
 
Mpumbavu wa middle class unayejiona upo bora kisa mtoto wako anasoma English medium school,ccm ni political party sio dola!!,unathibitisha hapa kuwa ccm bila polisi ni wepesi
 
Shida kubwa ya bwana kabwe( licha ya kuondoka Kwa mchongo) ni msalti wenzake wanaongoza mapambano ya kuhakikisha mambo yanawekwa sawa yeye na watu wake wanakwamisha..
Note: kwenye siasa hakuna urafiki zito na viongozi wake walijue hili..
Anasema anafanya siasa kama ulaya.
 
Pengine ungetaja Chama cha watu wenye akili. CHADEMA wamepewa hela ya kuutukana uchaguzi wa 2020 kwa ahadi ya Nusu Mkate. Kinana kawadanganya eti uchaguzi utakuwa shwari ili Samia ashindwe na wao wanakenua meno.

Salama ya CHADEMA ni Mbowe kukaa pembeni
 
Mpumbavu wa middle class unayejiona upo bora kisa mtoto wako anasoma English medium school,ccm ni political party sio dola!!,unathibitisha hapa kuwa ccm bila polisi ni wepesi
relax bas na utoe hoja taratibu na kwa staha...

nachokiona ni muhemko na ghadhabu tu....

kua muungwana tu kama binadamu kwamba vitu fulani huna...
 
Wakiamini watajilinda au watalindwa na wapiga kura wao,
Hakuna mpiga kura mpumbavu wa kukubali kupigwa, kufungwa, kujeruhiwa ama kuuawa kwa sababu ya mbunge ama diwani ambaye akibanwa ama akishawishiwa na ccm anaunga mkono juhudi.

Kwa ulaghai wa huyu mama tutarajie chadema kupata wabunge 2 tu kwa hisani ya ccm wenyewe.
 
Hakuna Mgombea yoyote wa Chadema wa kuogopewa na CCM huku Tanganyika Labda wale wagombea wa ACT wazalendo Kule Pemba
John, huwa huna akili hata kidogo. Uchawa umekuzidi....... If that is the case, kwanini mnakataa ume huru? Washeikh, Maaskofu NGOs na woooooooooooooooooooooooote wamependekeza tume huru, ni nyinyi tu mnaikataa, WHY? KAMA SIYO WOGA WA KUNGATULIWA MADARAKANI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…