Yamenikuta wakuu, nimetongozwa kwenye daladala

Mbona kama unalalamika mkuu?fursa haziji mara mbili yaan hapo umejipga gundu,you should've eaten that gazelle!#lion mode
Ahahaha hapana chief. Silalamiki, am grateful. Sio kila mahala pa kuchovya chovya magonjwa mengi now days
 
Usimshangae kama anaonesha hisia zake kwako. Kama huridhiki nae mwambie huhitaji mapenzi unataka urafiki tu atakuelewa
 
Kwakweli, halafu unakuta wenyewe hawajali
 
Kuna mijitu yenye tamaa ya fisi humu itakutolea maneno mbovu... Lakini nakwambia kama una imani katika Mungu.... Nenda kashukuru...maana shetani kakushawishi na ungelainika tu... Tungekupoteza..... Hilo ni shambulio kabisa la kiroho za majini ama mapepo
 
Kwakweli, halafu unakuta wenyewe hawajali
Wengi wao ni watu wa hali za chini sana ku afford expensive cosmetics ambazo angalau zinaondoa aibu ndogo ndogo.
So wanakomaa ni mikorogo ya uswazi , visabuni vya kupima vya manzese πŸ˜… angalau nao wasibaki nyuma
 
Aisee jamaa unalala kwenye daladala mpaka unaota ndoto,we endeleaga tu kulala tu kwenye daladala kuna siku utanzinduka huna hata mia wahuni wamekwala mpaka leso
 
Wengi wao ni watu wa hali za chini sana ku afford expensive cosmetics ambazo angalau zinaondoa aibu ndogo ndogo.
So wanakomaa ni mikorogo ya uswazi , visabuni vya kupima vya manzese πŸ˜… angalau nao wasibaki nyuma
Hili nalo tatizo
 
Ahsante chief, inaweza kuwa sahihi maana kuna vitu critical sana ambavyo hakuna namna ningeandika hapa ambavyo ndio vilikua lengo la hii safari. Na hii safar nimekua nikighairi week nzima bila sababu za msingi na ku ghairi kukawa kuna zidi kuniweka pabaya kikazi ila tu kila nikipanga nika rescue situation najikuta nahirisha safar bila sababu.

Jana nikasema acha niende tu, ndio nikakutana na kituko hicho ambacho almanuauru niishie safar njian nikatishe kona ya lodge.

Na baada ya kumaliza lililonipeleka huko, likafungua mlango mkubwa sana niliokua nautafua, na nikiwa huko huyu mtoto alikua akipiga sana simu maana niliahid ningemtafuta after 1 hour. Piga sana simu, "uko wap , uko wapi, nakusubiri mahali flan"πŸ˜‚.

Nikaamua kumpotezea tu nifanye ya msingi.

So unaweza ukawa na point mkuu
 
Ahsante chief, inaweza kuwa sahihi maana kuna vitu critical sana ambavyo hakuna namna ningeandika hapa ambavyo ndio vilikua lengo la hii safari. Na hii safar nimekua nikighairi week nzima bila sababu za msingi na ku ghairi kukawa kuna zidi kuniweka pabaya kikazi ila tu kila nikipanga nika rescue situation najikuta nahirisha safar bila sababu.

Jana nikasema acha niende tu, ndio nikakutana na kituko hicho ambacho almanuauru niishie safar njian nikatishe kona ya lodge.

Na baada ya kumaliza lililonipeleka huko, likafungua mlango mkubwa sana niliokua nautafua, na nikiwa huko huyu mtoto alikua akipiga sana simu maana niliahid ningemtafuta after 1 hour. Piga sana simu, "uko wap , uko wapi, nakusubiri mahali flan"πŸ˜‚.

Nikaamua kumpotezea tu nifanye ya msingi.

So unaweza ukawa na point
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…