Yamenikuta: Wanawake hii tabia ya kuomba tuwakope na marejesho yakiwasumbua mnataka tumalizane kwa mfikicho si uungwana!

Huyo toka anakukopa alishajua hatokulipa yani alishapiga hesabu zake vizuri tu
So uamue ule mzigo upate nusu hasara au umtose na ela usamehe ila hiyo ela hakulipi ng'o!
Yani imeisha hiyo!
 
Mwanamke kuomba Mwanaume akukopeshe au akusaidie shida zako ni kwamba unamtaka huyo Mwanaume kimapenzi na ni tabia ya Umalaya [emoji108]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…