Yamenikuta: Wanawake hii tabia ya kuomba tuwakope na marejesho yakiwasumbua mnataka tumalizane kwa mfikicho si uungwana!

Mama Rwakatare (the late) aliwahi kusema kwenye “Marriage revival “

Mwanamke kama una shida ya hela au chochote usimuombe mume wa mtu, kama kweli una nia njema na kwamba iwapo huna nia ya kutaka huyo Mwanaume akutongoze (kumtega) kamuombe mke wa huyo mume aongee na mume wake akusaidie[emoji108][emoji108]
 
Ulimkopesha ina maana we ni benki ya mikopo?

Ikiwa sivyo achana naye tu hesabu kuwa hiyo hela ulitoa sadaka.

Kumbuka kiendacho kwa mganga hakirudi
Tunaitaga "Madeni mabaya" yakivika siku 30-90..yanakuwa "Madeni chechefu" yakivika 120-360 yanakuwa MADENI SUGU..unatenga tu kuwa ni hasara ..siku yakilipwa yanakuwa KIPATO...
 
me nadai vizuri tu, kama nilikukopesha utalipa labda iwe nilikupa😶
tunaongea tu hapa, mwanaume anamchukulia mwanamke kua dhaifu na mwepesi, mwanamke anamchukulia mwanaume kua ni rahisi kushawishika, ndo maana kwenye kukopeshana zinatokea drama....
 
tunaongea tu hapa, mwanaume anamchukulia mwanamke kua dhaifu na mwepesi, mwanamke anamchukulia mwanaume kua ni rahisi kushawishika, ndo maana kwenye kukopeshana zinatokea drama....
sio na mimi ninavyojua kunyanyasa, kwanza nikikukopesha hua nataka ujicommit mwenyewe utanipa lini saangapi, baada ya hapo kama hujanipa ukubali tu manyanyaso
 
Actually,huenda kweli asikulipe hio pesa kulingana na namna unavyoidai!!!...pima kama ana uwezo na nia ya kukulipa,na kama hana basi samehe au na wew umtafune kupooza machungu japo 250k sio padogo
 
Wewe umesema familia yao ni family friend tangu utotoni na umeona wazi hana uwezo wa kukulipa bado ametumia busara akulipe penzi maana ndicho alichinacho unakataa halafu unakuja kumkashifu hapa! Kama hutaki kulipwa penzi msamehe na mwambie nimekusamehe. Mbona kuna wanaume wanakopa na kushindwa kulipa? Sasa kama biashara ilienda kinyume na matarajio yeye afanyaje?

Wewe uanaume wako sio kamili. Hivi mwanamke kumtaka mwanaume ni ajabu? Mbona mwqnaume kumtaka mwanamke sio ajabu?

Usimnyanyase binti wa watu kwa hiyo hela uliomkopa hata wewe mambo yanaweza kukuendea kombo ukakopa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…