Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usile Mzigo Kaka,250K Nyingi sana angekuwa Kakulipa 250K imebaki 50K Hapo Labda sawa.Kula mzigo wewe acha ushamba
Mkuu asante kwa kunifungua macho, Ni hivyo maana napitia the same situation though kiasi nilichotoa mimi ni kikubwa kwa classmate wangu wa kike. Ulichoelezea hapa kinareflect mazingira kama yako,Ni miezi miwili iliopita niliweza kumkopa rafiki wa karibu tu tuliewahi kusoma wote na hata familia yao ni family friends.
Sasa alikuja kwangu nimkope laki 3, mwanzoni nilitaka nimruke ila ukizingatia kwa namna alivyoweza kunishawishi pesa inaenda kwenye biashara na ataweza kuirudisha pamoja na kwamba tuna uhusiano mzuri tu nikaona nimpe.
So guys hii pesa aliniambia atanirudishia ndani ya wiki 2, wiki ya tatu namcheki kiswahili, mwezi namcheki kiswahili, wiki ya sita hivyo hivyo tu yani hadi sasa nimeweza kukomboa elf 50 tu.
Kinachoendelea hadi sasa anatumia nguvu kubwa sana kujenga mazingira ya kunitega niingie nae kwenye penzi tena kwa mtego wa kumalizana nae kwa game 2 ama 3.
vituko ni vingi alianza kunichatisha sana whatsapp na akawa ananiambia anapenda aje awe na mwanaume mwenye sifa ambazo akizitaja najiona mimi kabisa ila nilichomoa.
hapo juzi natoka nyumbani na kigari changu naenda shughuli zangu namuona hatua chache mbele ni kama alitega kabisa, basi nikampa lift akawa ananiangalia sana ila mimi nimefocuss na barabara radio nikiwa nimeifungulia nasikiliza habari, alipunguza sauti na kuniambia siku yoyote wiki hii atanipa ila why naona aibu hata kumuangalia, nilimwambia inabidi niwe makini barabarani, story zingine zikaendelea mpaka nilipomshusha.
jioni yake nilitahamaki sana message ndefu kidogo nayoweza kuisummarize kwamba yeye alikuwa ananipenda sana tangu shuleni ila sikuwa rijali kuweza kumu approach, yani huyu mwanamke!!
Nami kwa mbali nilitaka nipime kina nilipima kidogo sana kwa mtego kabisa dah!! akaanza kuniambia "nakuhitaji uwe ndani yangu sijiwezi nguvu sina" kumwambia ndani kivipi akaanza kuniambia "hivi huo uume wako unafanya kazi ?", nilibaki nastaajabu tu kupatwa na kiburi kwamba huyu kanidharau wacha nimnyooshe lakini nikifikiria naona wazi kabisa nikimlamba nae deni limemalizika.
Jamani!! Najua humu kwa wengine hii ni pesa ya chai lakini binafsi hii laki mbili siwezi kuichukulia poa, Nakazia hapa hapa tu, kama ni game naweza kuipata muda wowote ni ishu ya kutuma hela ya nauli tu.
komaa nae tu, yani wanataka kugeuza sex ilipie deni huu ni zaidi ya uhuni tu, binafsi ningekuwa na uchu wa sex ni kitendo cha kuinua simu tu, baby pande zipi nimekuingizia 7k ya chips mayai, soda, vocha na usafiri badae tukutane unitibu..Mkuu
Mkuu asante kwa kunifungua macho, Ni hivyo maana napitia the same situation though kiasi nilichotoa mimi ni kikubwa kwa classmate wangu wa kike. Ulichoelezea hapa kinareflect mazingira kama yako,
Ukitaka amani usikopeshe yoyote. Kama upo vizuri toa kama msaada ila usitarajie utarudishiwa labda kwa wale wastaraabu ndio hurudisha.sii uungwana kabisa kukopesha mwanamke aisee[emoji23]chenga nyingi....
una busara sana shangazi😂Ukitaka amani usikopeshe yoyote. Kama upo vizuri toa kama msaada ila usitarajie utarudishiwa labda kwa wale wastaraabu ndio hurudisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kurudisha pesa inategemea na mtu mwenyewe yupoje. Kuna watu wana kazi mshahara mzuri ila wakipata hela hawalipi madeni.The lady wants to pay you " in kind"
Watu tushapoteza hela nyingi Sana kwa huo ujinga.Wanawake sio watu wazuri wa kukopeshana nao pesa labda awe mwanamke anayejishughulisha haswa.
Kuna watu walishanifundisha. Alafu ni watoto wa kiume hawana hata aibu.una busara sana shangazi[emoji23]
yaani ni bora hata ukopeshe mwanamke mwenzako kuliko ukopeshe mtu wa jinsia tofauti. kukopesha mtu wa jinsia tofauti ni janga tupu.... tunadharaulianaKuna watu walishanifundisha. Alafu ni watoto wa kiume hawana hata aibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
.Laki mbili ni hela nyingi mno. Wewe kaza mpaka upate hela yako. Na usimle, asije akakupa magonjwa au akakutegea mimba. Kaza kaza kaza mpaka upewe hela yako.
Jinsia tofauti si ndio mtakuja na malalamiko kama ya mleta mada [emoji16][emoji16][emoji16]yaani ni bora hata ukopeshe mwanamke mwenzako kuliko ukopeshe mtu wa jinsia tofauti. kukopesha mtu wa jinsia tofauti ni janga tupu.... tunadharauliana