Yamenikuta: Wanawake hii tabia ya kuomba tuwakope na marejesho yakiwasumbua mnataka tumalizane kwa mfikicho si uungwana!

Yamenikuta: Wanawake hii tabia ya kuomba tuwakope na marejesho yakiwasumbua mnataka tumalizane kwa mfikicho si uungwana!

Kula mzigo wewe acha ushamba
Usile Mzigo Kaka,250K Nyingi sana angekuwa Kakulipa 250K imebaki 50K Hapo Labda sawa.
Mchane Makavu Mwambie "Dada angu Kama Unafikiri nitakusamehe Deni Kwa Kuchakata Mbususu Umefeli,Mbususu Yako sichakati Pesa yangu Nilipe"
Kariri Hiyo Line niliyoquote Kama Ilivyo Mkuu Ukamwambie.

Mkuu Nakazia Hiyo 250K Yeye Kasema atakupa Game 2 mpaka 3 Lakin Kiuhalisi
250K Unaweza pata Game 20 au zaidi Sinza.
Game 50 Mwananyamala,Manzese.
Game mpaka 60 Kimboka
Kataa Kabisa Mbususu Haina Gharama Hivyo,Pesa yako Ina Thamani Kubwa,
Tena Ukimpa Demu wako hyo 250K Ni simu Moja tu Kila siku Inaileta
 
Pole sana utaamua kupoteza kabisa au kulipwa mbususu.
Hata na hivyo unaweza kuisusa na kuamua kumpotezea kuna kitu atajifunza,assume umepoteza hiyo hela
 
Mkuu
Ni miezi miwili iliopita niliweza kumkopa rafiki wa karibu tu tuliewahi kusoma wote na hata familia yao ni family friends.

Sasa alikuja kwangu nimkope laki 3, mwanzoni nilitaka nimruke ila ukizingatia kwa namna alivyoweza kunishawishi pesa inaenda kwenye biashara na ataweza kuirudisha pamoja na kwamba tuna uhusiano mzuri tu nikaona nimpe.

So guys hii pesa aliniambia atanirudishia ndani ya wiki 2, wiki ya tatu namcheki kiswahili, mwezi namcheki kiswahili, wiki ya sita hivyo hivyo tu yani hadi sasa nimeweza kukomboa elf 50 tu.

Kinachoendelea hadi sasa anatumia nguvu kubwa sana kujenga mazingira ya kunitega niingie nae kwenye penzi tena kwa mtego wa kumalizana nae kwa game 2 ama 3.

vituko ni vingi alianza kunichatisha sana whatsapp na akawa ananiambia anapenda aje awe na mwanaume mwenye sifa ambazo akizitaja najiona mimi kabisa ila nilichomoa.

hapo juzi natoka nyumbani na kigari changu naenda shughuli zangu namuona hatua chache mbele ni kama alitega kabisa, basi nikampa lift akawa ananiangalia sana ila mimi nimefocuss na barabara radio nikiwa nimeifungulia nasikiliza habari, alipunguza sauti na kuniambia siku yoyote wiki hii atanipa ila why naona aibu hata kumuangalia, nilimwambia inabidi niwe makini barabarani, story zingine zikaendelea mpaka nilipomshusha.

jioni yake nilitahamaki sana message ndefu kidogo nayoweza kuisummarize kwamba yeye alikuwa ananipenda sana tangu shuleni ila sikuwa rijali kuweza kumu approach, yani huyu mwanamke!!

Nami kwa mbali nilitaka nipime kina nilipima kidogo sana kwa mtego kabisa dah!! akaanza kuniambia "nakuhitaji uwe ndani yangu sijiwezi nguvu sina" kumwambia ndani kivipi akaanza kuniambia "hivi huo uume wako unafanya kazi ?", nilibaki nastaajabu tu kupatwa na kiburi kwamba huyu kanidharau wacha nimnyooshe lakini nikifikiria naona wazi kabisa nikimlamba nae deni limemalizika.

Jamani!! Najua humu kwa wengine hii ni pesa ya chai lakini binafsi hii laki mbili siwezi kuichukulia poa, Nakazia hapa hapa tu, kama ni game naweza kuipata muda wowote ni ishu ya kutuma hela ya nauli tu.
Mkuu asante kwa kunifungua macho, Ni hivyo maana napitia the same situation though kiasi nilichotoa mimi ni kikubwa kwa classmate wangu wa kike. Ulichoelezea hapa kinareflect mazingira kama yako,
 
ukila tuu mzigo na deni ndio limeishia hapo,labda uandae mkataba utumie mbususu kwa sh 1000 kwa siku hadi deni liishe
 
Mkuu

Mkuu asante kwa kunifungua macho, Ni hivyo maana napitia the same situation though kiasi nilichotoa mimi ni kikubwa kwa classmate wangu wa kike. Ulichoelezea hapa kinareflect mazingira kama yako,
komaa nae tu, yani wanataka kugeuza sex ilipie deni huu ni zaidi ya uhuni tu, binafsi ningekuwa na uchu wa sex ni kitendo cha kuinua simu tu, baby pande zipi nimekuingizia 7k ya chips mayai, soda, vocha na usafiri badae tukutane unitibu..
 
ukosefu wa semina elekezi ktk biashara na urejeshaji deni

Kama hutojali nitumie namba yake ,nakwambia sikutatu nyingi Yako yote inarudi na hutaamini (nimpe semina elekezi mana kesho atakosa pakukimbilia) ni PM .
 
Una mja ni demu wa jamaa yangu nilimpa 100k,akataka kuleta hizo pigo nikamtolea nje
 
Sheee kiendacho Kwa mganga hakirudi apparently mababu hawakutuambia kuwa mwanamke ndio mganga,Sasa chukua hii,usijenge chuki na manzi hata siku Moja ni mikosi,we kubali akupe,na hakikisha umeitindua haswa hadi itoe vumbi,ukiweza kula na 0713 Ile kiroho mbaya,halafu leta mrejesho hapa
 
The lady wants to pay you " in kind"
Watu tushapoteza hela nyingi Sana kwa huo ujinga.Wanawake sio watu wazuri wa kukopeshana nao pesa labda awe mwanamke anayejishughulisha haswa.
 
The lady wants to pay you " in kind"
Watu tushapoteza hela nyingi Sana kwa huo ujinga.Wanawake sio watu wazuri wa kukopeshana nao pesa labda awe mwanamke anayejishughulisha haswa.
Kurudisha pesa inategemea na mtu mwenyewe yupoje. Kuna watu wana kazi mshahara mzuri ila wakipata hela hawalipi madeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
Ukimkopesha hela mtu unayemfahallmu anaweza asirudishe, utapoteza urafiki na pesa zako.
.
Lakini ukimnyima hela hata akikukasirikia na urafiki ukaisha, at least pesa yako umebaki nayo.
.
Next time kopesha kiasi cha pesa ambacho hata usipolipwa haitaathiri urafiki wenu.
 
Back
Top Bottom