Yametimia, Mahakama Kuu yaamuru Paul Makonda ashtakiwe

Yametimia, Mahakama Kuu yaamuru Paul Makonda ashtakiwe

Sielewi ni sheria ipi inaruhusu mtu binafsi kumfungulia mashtaka ya jinai mtu binafsi.
 
Haya Comrade Waziri Nape Mwenyezi Mungu akupe nini na Wewe pitia hapo hapo kuhusu lile Sakata la Kuvamia Clouds Media Group kisha tutawahimiza na Wengine akina Manji nao waje na Mashtaka yao ili mradi huyu Mtu aozee kabisa Jela.

Habari ya Mahakama kuamua Makonda akamatwe upesi ipo katika Gazeti la RAIA MWEMA la Leo ( 19 January, 2022 ) Ukurasa wa Nne ( 4 )

tangu kipindi cha magu mlikuwa wapi mnakumbuka shuka kumekucha.
 
Kuna hotuba Moja aliwahi Toa Mama Maria Nyerere mjane wa Baba wa taifa.. aliomba rai Kwa viongizi wetu kwamba hii nchi isije kuwa kama Mexico.. Nchi ambayo Mafia Cartel ikiongizwa na mkuu wao Sinaloa Cartel miaka ya 1980s walikuwa na nguvu kiasi ambacho waliweza kuchagua MTU wa kuwa madarakani..

Vilevile haikuwa tabu wao kukuondoa ukiwa umeenda kinyume na mipango Yao au ukionekana kuwa kizuizi..

Makonda pamoja na kuwa na mapungufu yake alijutoa sana kupambana na madawa ya kulevya.. hapa alitangaza vita Kwa hawa watu, kama Kweli hii serikali ni ya Haki inatakiwa uendelee kumuwekea kinga na sio vinginevyo.

Tofauti na hapo itakuwa haina tofauti na Ile ya Mexico..
Makonda hajawahi kupambana na madawa ya kulevya. Alikuwa akitengeneza namna ya kumfurahisha aliyemteua Kwa kuhakikisha anawabambikia kesi ya madawa ya kulevya wale wote waliokuwa Wapinzani wa Mtukufu Jiwe.

Kingine alikuwa akiwatisha Wale Madealers wa ukweli ili atakapohitaji mpunga kwao kusiwepo na kizuizi na alifanya hivyo kwa hawa Jamaa.
 
Hon gazet pale Ni waongo waongo Sana Kaz kubuni story tu kila siku

Kwa sabaya mlianzaga hivi hivi. Anyway hakuna mwenye ako na audacity ya kureport story kama hii kama sio investigative journalist ama NP. Wengine wanaosubiir habari mezani wataunga ikishachanganya, refer mambo ya Sabaya gazeti gani au nani alianza kureport na nini kilifuatia baada?
 
Back
Top Bottom