Yametimia, Mahakama Kuu yaamuru Paul Makonda ashtakiwe

Yametimia, Mahakama Kuu yaamuru Paul Makonda ashtakiwe

Anahangaika kutaka Kuiuza Hoteli yake Kubwa, ya Kifahari na ya Kifisadi Mkoani Mwanza ili ajipange Kukimbia nchi baaada ya Kumaliza Masomo yake ( Masters Degree ) anayoifanya sasa katika nchi Moja Rafiki mno na Tanzania iliyoko ukanda wa SADC.
Hotel ipi iyo mkuu inaitwaje namie Niko hapa hapa mwanza.
Kuna moja ya jengo alikuwa analijenga kapri point
 
Haya Comrade Waziri Nape Mwenyezi Mungu akupe nini na Wewe pitia hapo hapo kuhusu lile Sakata la Kuvamia Clouds Media Group kisha tutawahimiza na Wengine akina Manji nao waje na Mashtaka yao ili mradi huyu Mtu aozee kabisa Jela.

Habari ya Mahakama kuamua Makonda akamatwe upesi ipo katika Gazeti la RAIA MWEMA la Leo ( 19 January, 2022 ) Ukurasa wa Nne ( 4 )

Kuna hotuba Moja aliwahi Toa Mama Maria Nyerere mjane wa Baba wa taifa.. aliomba rai Kwa viongizi wetu kwamba hii nchi isije kuwa kama Mexico.. Nchi ambayo Mafia Cartel ikiongizwa na mkuu wao Sinaloa Cartel miaka ya 1980s walikuwa na nguvu kiasi ambacho waliweza kuchagua MTU wa kuwa madarakani..

Vilevile haikuwa tabu wao kukuondoa ukiwa umeenda kinyume na mipango Yao au ukionekana kuwa kizuizi..

Makonda pamoja na kuwa na mapungufu yake alijutoa sana kupambana na madawa ya kulevya.. hapa alitangaza vita Kwa hawa watu, kama Kweli hii serikali ni ya Haki inatakiwa uendelee kumuwekea kinga na sio vinginevyo.

Tofauti na hapo itakuwa haina tofauti na Ile ya Mexico..
 
Kuna hotuba Moja aliwahi Toa Mama Maria Nyerere mjane wa Baba wa taifa.. aliomba rai Kwa viongizi wetu kwamba hii nchi isije kuwa kama Mexico.. Nchi ambayo Mafia Cartel ikiongizwa na mkuu wao Sinaloa Cartel miaka ya 1980s walikuwa na nguvu kiasi ambacho waliweza kuchagua MTU wa kuwa madarakani..

Vilevile haikuwa tabu wao kukuondoa ukiwa umeenda kinyume na mipango Yao au ukionekana kuwa kizuizi..

Makonda pamoja na kuwa na mapungufu yake alijutoa sana kupambana na madawa ya kulevya.. hapa alitangaza vita Kwa hawa watu, kama Kweli hii serikali ni ya Haki inatakiwa uendelee kumuwekea kinga na sio vinginevyo.

Tofauti na hapo itakuwa haina tofauti na Ile ya Mexico..
Comment ya kipuuzi kabisa.

Jambazi liwekewe kinga na serikali? Uko serious?
 
Mahakama Kuu, masijala kuu ya Dar es Salaam, imetoa ruhusa kufunguliwa kwa kesi ya jinai dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Naibu Msajili wa Mahakama Kuu, Joseph Luambano ametoa ruhusa hiyo kwa maandishi leo kujibu hoja ya aliyekua Mbunge wa Ubungo, Saeed Kubenea.

Awali, Kubenea alifungua kesi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni lakini ikaondolewa kutokana na mapungufu kadhaa ya kisheria. Mahakama kuu ilitakiwa kutoa mwongozo ikiwa mtu binafsi anaweza kufungua kesi ya jinai dhidi ya Makonda. Kufuatia maamuzi hayo ya mahakama kuu sasa Kubenea amepewa haki ya kufungua shauri la kesi ya jinai dhidi ya Makonda.

Makonda anatuhumiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo kukiuka haki za binadamu, matumizi mabaya ya madaraka, na kuvamia kituo cha habari cha Clouds. Pia anatuhumiwa kwa kudhulumu haki ya kuishi ya watu mbalimbali, madai ambayo yalitolewa na serikali ya Marekani, na kumuweka katika orodha ya watu wasioruhusiwa kuingia nchini humo.

Malisa GJ
 
On behalf of American I stand here to say to all people who were mistreated by Paul Makonda to prepare their evidences before submitting to the court.

We as American we want to remind the world that we will follow this case step by step,word to word as the self evidence that we are all created equal and no one endorsed to violent the other's rights.

As the fundamental right to live,speak and walk to the forgotten corner of the world and other parts of the world matters more than anything else.

Different stories recorded everyday and everywhere about violating human rights. We have responsibility to protect the world from all threats, suppressing, oppression and evil acts. Thank you
 
Mahakama Kuu, masijala kuu ya Dar es Salaam, imetoa ruhusa kufunguliwa kwa kesi ya jinai dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Naibu Msajili wa Mahakama Kuu, Joseph Luambano ametoa ruhusa hiyo kwa maandishi leo kujibu hoja ya aliyekua Mbunge wa Ubungo, Saeed Kubenea.

Awali, Kubenea alifungua kesi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni lakini ikaondolewa kutokana na mapungufu kadhaa ya kisheria. Mahakama kuu ilitakiwa kutoa mwongozo ikiwa mtu binafsi anaweza kufungua kesi ya jinai dhidi ya Makonda. Kufuatia maamuzi hayo ya mahakama kuu sasa Kubenea amepewa haki ya kufungua shauri la kesi ya jinai dhidi ya Makonda.

Makonda anatuhumiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo kukiuka haki za binadamu, matumizi mabaya ya madaraka, na kuvamia kituo cha habari cha Clouds. Pia anatuhumiwa kwa kudhulumu haki ya kuishi ya watu mbalimbali, madai ambayo yalitolewa na serikali ya Marekani, na kumuweka katika orodha ya watu wasioruhusiwa kuingia nchini humo.

Malisa GJ
Ni lini kesi ya makonda itasikilizwa,tunasubiri kwà shauku kubwa sana, Mungu wake amekwisha tangulia mbele ya haki
 
Comment ya kipuuzi kabisa.

Jambazi liwekewe kinga na serikali? Uko serious?
Mambazi ni jopo la watu wanaouza madawa unao wakingia kifua hapa..

Yule hakuwa jambazi wakati huo.. alikuwa ni mkuu wa majeshi yote Dar-es-salaam Kwa kifupi alikuwa ndie msimamizi wa Ulinzi hapo mjini Dar-es-salaam kutembea na wanajeshi wakiwa na silaha ni sahihi..

Vita aliyoianzisha na watu wa madawa ilifaa alindwe tuu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
On behalf of American I stand here to say to all people who were mistreated by Paul Makonda to prepare their evidences before submitting to the court. We as American we want to remind the world that we will follow this case step by step,word to word as the self evidence that we are all created equal and no one endorsed to violent the other's rights. As the fundamental right to live,speak and walk to the forgotten corner of the world and other parts of the world matters more than anything else.
Different stories recorded everyday and everywhere about violating human rights. We have responsibility to protect the world from all threats, suppressing, oppression and evil acts. Thank you
Broken english, haiwezi kutoka kwa mwakilishi yeyote wa Marekani.
"On behalf of American"-english ya watoto.
Utajiuliza, American what? -an uncomplete adjective!
 
Makonda alitingisha mjini bana

Akiingia sehemu akisema zima mziki

Lazima uzimwe

Ova
 
Ila wakati huo alikuwa raisi wa Dar akimsaidia mkuu wa nchi. Mashtaka ya nini?
 
Hao wanaofungua hiyo kesi wana uhakika wa kupata ushirikiano kutoka kwa wahanga wa matendo ya kikatili aliyofanya Makonda?

Clouds walishajitoa na ushahidi wao uliokuwa hauachi shaka, sijui nani wengine watakaokuja na ushahidi kama ule.

Hii kesi naona kama inalazimishwa zaidi na third parties for their own interest zaidi ya wahanga wenyewe.
 
Broken english, haiwezi kutoka kwa mwakilishi yeyote wa Marekani.
"On behalf of American"-english ya watoto.
Utajiuliza, American what? -an uncomplete adjective!
Since it grew strength from the young people who rejected the myth of their generation's apathy. Who left their homes and their families for the jobs that offered little pay and less sleep. It drew strength from not so young people who braved the bitter cold and scorching heat to knock on doors of perfect strangers,and from the millions of American who volunteered and organised and proved that more than two centuries later a government of the people,by the people and for the people has not perished from the earth. This is Samia Saluhu's VICTORY.
 
Back
Top Bottom