Yametimia, Mahakama Kuu yaamuru Paul Makonda ashtakiwe

Yametimia, Mahakama Kuu yaamuru Paul Makonda ashtakiwe

Makonda akisulibiwa basi kuna uwezekano mkubwa wa kukamatwa na Yule Jamaa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani. Unyama wa Makonda ulishamiri Sana wakati wa Uwaziri wa huyo Jamaa.

Na Jamaa mwenyewe ni yule aliyewahi kumgonga punda akiwa njiani toka kwao Singida. Ingawa sasa hivi kaota tena mapembe.
 
Haya Comrade Waziri Nape Mwenyezi Mungu akupe nini na Wewe pitia hapo hapo kuhusu lile Sakata la Kuvamia Clouds Media Group kisha tutawahimiza na Wengine akina Manji nao waje na Mashtaka yao ili mradi huyu Mtu aozee kabisa Jela.

Habari ya Mahakama kuamua Makonda akamatwe upesi ipo katika Gazeti la RAIA MWEMA la Leo ( 19 January, 2022 ) Ukurasa wa Nne ( 4 )

View attachment 2087579
Hiyo ni ruhusa ya kushitakiwa na si kukamatwa, mambo mawili haya ni tofauti.
 
Hata ijumaa na kiu nayo Yana vibali vya kufanya kazi (kuchapishwa)
kwanini mnapenda kujishushua HADHI ZENU kwa habari za udaku?
Jamii forum inaonekana ni genge la wahuni sababu ya hizi habari.
Ni kweli mnapenda makonda akamatwe Ila jaribuni kutafuta "CHANZO KINACHOAMINIKA"
Pumbavu.
 
Kama ni gazeti ina maana lipo kwa muuza magazeti ulikuwa na uwezo wa kupiga picha ukatuwekea hapa tushabihishe habari yako.

Maana nowdays umekuwa unapika majungu sana na kuwatakia wengine mabaya as ile tabia yetu ya ovyo ya kiafrika.
Pumbavu.
 
Hata ijumaa na kiu nayo Yana vibali vya kufanya kazi (kuchapishwa)
kwanini mnapenda kujishushua HADHI ZENU kwa habari za udaku?
Jamii forum inaonekana ni genge la wahuni sababu ya hizi habari.
Ni kweli mnapenda makonda akamatwe Ila jaribuni kutafuta "CHANZO KINACHOAMINIKA"
[emoji769]Kama hazijakamilika izi Taarifa. Mr. Paul Makonda ajitokeze na kulishitaki ili gazeti, mahakamani, ili gazeti lifungiwe au mnaonaje? Wadau
 
Makonda amekuwa mkimya sana.tangu pale mwanzo Hilo gazeti waliposema atapandishwa mahakamani tarehe 3 mwezi wa 12 mwaka jana.anaona wanapiga kelele tu.hawezi kujikaanga kwa mafuta yake.
[emoji769]Kama hazijakamilika izi Taarifa. Mr. Paul Makonda ajitoleze na kulishitaki ili gazeti, mahakamani, ili gazeti lifungiwe au mnaonaje? Wadau
 
Makonda akisulibiwa basi kuna uwezekano mkubwa wa kukamatwa na Yule Jamaa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani. Unyama wa Makonda ulishamiri Sana wakati wa Uwaziri wa huyo Jamaa.

Na Jamaa mwenyewe ni yule aliyewahi kumgonga punda akiwa njiani toka kwao Singida. Ingawa sasa hivi kaota tena mapembe.
[emoji769]✓Jamaa gani huyo
 
Back
Top Bottom