Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Mwenye habari kamili ya huo ukurasa wa nne atusaidie, tuone ni mashtaka gani hayo ambayo mahakama imeyataja...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kineuman
Kineuman
Hiyo ni ruhusa ya kushitakiwa na si kukamatwa, mambo mawili haya ni tofauti.Haya Comrade Waziri Nape Mwenyezi Mungu akupe nini na Wewe pitia hapo hapo kuhusu lile Sakata la Kuvamia Clouds Media Group kisha tutawahimiza na Wengine akina Manji nao waje na Mashtaka yao ili mradi huyu Mtu aozee kabisa Jela.
Habari ya Mahakama kuamua Makonda akamatwe upesi ipo katika Gazeti la RAIA MWEMA la Leo ( 19 January, 2022 ) Ukurasa wa Nne ( 4 )
View attachment 2087579
Pumbavu.Hata ijumaa na kiu nayo Yana vibali vya kufanya kazi (kuchapishwa)
kwanini mnapenda kujishushua HADHI ZENU kwa habari za udaku?
Jamii forum inaonekana ni genge la wahuni sababu ya hizi habari.
Ni kweli mnapenda makonda akamatwe Ila jaribuni kutafuta "CHANZO KINACHOAMINIKA"
Ila utamzalia Mtoto mwaka huu au?Tuwekeane hata dau. Makonda hatashikwa mwaka huu.
Acha Unafiki tafadhali sawa? Be careful!Alifanya nini Mkuu Gentamycine tuweke wazi matukio yote ambayo alikwishawahi shiriki huyu kijana mcha Mungu
Utakachokipata hutaamini usifikiri upo JF basi upo sawaHuyu fisadi anaeagiza kuwa hela za uma zitafunwe atakamatwa upesi lini?
View attachment 2087548
Ana Dhambi ambazo hazivumiliki nchini.Unamchukia sana makonda kakufanya nini sijui acha hasira mwanaume wewe
Mkuu achana na hilo Jinga ( Dunduna )Hata sabaya wao ndio walianza kuandika uongo kuwa , atafikishwa mahakamani, na haijatokea hafi leo!!!jamaa waongo sana hawa
Pumbavu.Kama ni gazeti ina maana lipo kwa muuza magazeti ulikuwa na uwezo wa kupiga picha ukatuwekea hapa tushabihishe habari yako.
Maana nowdays umekuwa unapika majungu sana na kuwatakia wengine mabaya as ile tabia yetu ya ovyo ya kiafrika.
Acha Kutisha Watu JF Wewe. Be careful.Utakachokipata hutaamini usifikiri upo JF basi upo sawa
[emoji769]Kama hazijakamilika izi Taarifa. Mr. Paul Makonda ajitokeze na kulishitaki ili gazeti, mahakamani, ili gazeti lifungiwe au mnaonaje? WadauHata ijumaa na kiu nayo Yana vibali vya kufanya kazi (kuchapishwa)
kwanini mnapenda kujishushua HADHI ZENU kwa habari za udaku?
Jamii forum inaonekana ni genge la wahuni sababu ya hizi habari.
Ni kweli mnapenda makonda akamatwe Ila jaribuni kutafuta "CHANZO KINACHOAMINIKA"
[emoji769]Kama hazijakamilika izi Taarifa. Mr. Paul Makonda ajitoleze na kulishitaki ili gazeti, mahakamani, ili gazeti lifungiwe au mnaonaje? Wadau
Unafiki upo wapi hapo? Ama kosa yeye kuwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kwa Dar ndio sababu?Acha Unafiki tafadhali sawa? Be careful!
[emoji769]✓Jamaa gani huyoMakonda akisulibiwa basi kuna uwezekano mkubwa wa kukamatwa na Yule Jamaa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani. Unyama wa Makonda ulishamiri Sana wakati wa Uwaziri wa huyo Jamaa.
Na Jamaa mwenyewe ni yule aliyewahi kumgonga punda akiwa njiani toka kwao Singida. Ingawa sasa hivi kaota tena mapembe.