Yametimia, Mahakama Kuu yaamuru Paul Makonda ashtakiwe

Yametimia, Mahakama Kuu yaamuru Paul Makonda ashtakiwe

Haya Comrade Waziri Nape Mwenyezi Mungu akupe nini na Wewe pitia hapo hapo kuhusu lile Sakata la Kuvamia Clouds Media Group kisha tutawahimiza na Wengine akina Manji nao waje na Mashtaka yao ili mradi huyu Mtu aozee kabisa Jela.

Habari ya Mahakama kuamua Makonda akamatwe upesi ipo katika Gazeti la RAIA MWEMA la Leo ( 19 January, 2022 ) Ukurasa wa Nne ( 4 )
Yooote hiyo, kisa alitaka kukomesha biashara ya madawa ya kulevya, duu
 
16425710349330.jpg
 
Haya Comrade Waziri Nape Mwenyezi Mungu akupe nini na Wewe pitia hapo hapo kuhusu lile Sakata la Kuvamia Clouds Media Group kisha tutawahimiza na Wengine akina Manji nao waje na Mashtaka yao ili mradi huyu Mtu aozee kabisa Jela.

Habari ya Mahakama kuamua Makonda akamatwe upesi ipo katika Gazeti la RAIA MWEMA la Leo ( 19 January, 2022 ) Ukurasa wa Nne ( 4 )
Kama ni gazeti ina maana lipo kwa muuza magazeti ulikuwa na uwezo wa kupiga picha ukatuwekea hapa tushabihishe habari yako.

Maana nowdays umekuwa unapika majungu sana na kuwatakia wengine mabaya as ile tabia yetu ya ovyo ya kiafrika.
 
Aburuzwe mahakamani ili iwe fundisho kwa vijana wanaopata madaraka makubwa ya uongozi wayatumie vizuri na kuacha kuongoza kizandiki na ulimbukeni kufurahisha wanaowateua,
 
Haya Comrade Waziri Nape Mwenyezi Mungu akupe nini na Wewe pitia hapo hapo kuhusu lile Sakata la Kuvamia Clouds Media Group kisha tutawahimiza na Wengine akina Manji nao waje na Mashtaka yao ili mradi huyu Mtu aozee kabisa Jela.

Habari ya Mahakama kuamua Makonda akamatwe upesi ipo katika Gazeti la RAIA MWEMA la Leo ( 19 January, 2022 ) Ukurasa wa Nne ( 4 )

View attachment 2087579
Mbona headline ya gazeti ipo tofauti na ulivyoandika, gazeti limeandikwa ashitakiwe,wewe umeandika akamatwe.
 
Wengine tuliliona hili tangu liteuliwe lile lyehu kwenye wizara,

Hakuna jipya.
 
Back
Top Bottom