white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Hata sabaya wao ndio walianza kuandika uongo kuwa , atafikishwa mahakamani, na haijatokea hafi leo!!!jamaa waongo sana hawaHon gazet pale Ni waongo waongo Sana Kaz kubuni story tu kila siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sabaya wao ndio walianza kuandika uongo kuwa , atafikishwa mahakamani, na haijatokea hafi leo!!!jamaa waongo sana hawaHon gazet pale Ni waongo waongo Sana Kaz kubuni story tu kila siku
Yooote hiyo, kisa alitaka kukomesha biashara ya madawa ya kulevya, duuHaya Comrade Waziri Nape Mwenyezi Mungu akupe nini na Wewe pitia hapo hapo kuhusu lile Sakata la Kuvamia Clouds Media Group kisha tutawahimiza na Wengine akina Manji nao waje na Mashtaka yao ili mradi huyu Mtu aozee kabisa Jela.
Habari ya Mahakama kuamua Makonda akamatwe upesi ipo katika Gazeti la RAIA MWEMA la Leo ( 19 January, 2022 ) Ukurasa wa Nne ( 4 )
Teh teh ahhhYooote hiyo, kisa alitaka kukomesha biashara ya madawa ya kulevya, duu
Kama ni gazeti ina maana lipo kwa muuza magazeti ulikuwa na uwezo wa kupiga picha ukatuwekea hapa tushabihishe habari yako.Haya Comrade Waziri Nape Mwenyezi Mungu akupe nini na Wewe pitia hapo hapo kuhusu lile Sakata la Kuvamia Clouds Media Group kisha tutawahimiza na Wengine akina Manji nao waje na Mashtaka yao ili mradi huyu Mtu aozee kabisa Jela.
Habari ya Mahakama kuamua Makonda akamatwe upesi ipo katika Gazeti la RAIA MWEMA la Leo ( 19 January, 2022 ) Ukurasa wa Nne ( 4 )
Tuondolee upuuzi wako na matimu yako hayo.Ujinga mtupu gazeti la raia mwema ni timu gaidi
Mbona headline ya gazeti ipo tofauti na ulivyoandika, gazeti limeandikwa ashitakiwe,wewe umeandika akamatwe.Haya Comrade Waziri Nape Mwenyezi Mungu akupe nini na Wewe pitia hapo hapo kuhusu lile Sakata la Kuvamia Clouds Media Group kisha tutawahimiza na Wengine akina Manji nao waje na Mashtaka yao ili mradi huyu Mtu aozee kabisa Jela.
Habari ya Mahakama kuamua Makonda akamatwe upesi ipo katika Gazeti la RAIA MWEMA la Leo ( 19 January, 2022 ) Ukurasa wa Nne ( 4 )
View attachment 2087579
Ile kauli ya "Ununijua mimi nani" tayari imeshashika kasi huku mtaani
Kuna kipindi iliondokaIliondoka lini?
Kuna kipindi iliondoka
Wenzako nchi za mbele wanaovuta bangi ni matajiri na wanavuta km starehe,wewe na umaskini wako unavuta ili usahau taabu zako.....matokeo ndo haya ya kuandika km headless chickenUjinga mtupu gazeti la raia mwema ni timu gaidi
Clip kama hii tangu nilione jua cjawahi kuiona! Tumepigwaaaa!Huyu fisadi anaeagiza kuwa hela za uma zitafunwe atakamatwa upesi lini?
View attachment 2087548