Yametimia, Mahakama Kuu yaamuru Paul Makonda ashtakiwe

Sielewi ni sheria ipi inaruhusu mtu binafsi kumfungulia mashtaka ya jinai mtu binafsi.
 
tangu kipindi cha magu mlikuwa wapi mnakumbuka shuka kumekucha.
 
Makonda hajawahi kupambana na madawa ya kulevya. Alikuwa akitengeneza namna ya kumfurahisha aliyemteua Kwa kuhakikisha anawabambikia kesi ya madawa ya kulevya wale wote waliokuwa Wapinzani wa Mtukufu Jiwe.

Kingine alikuwa akiwatisha Wale Madealers wa ukweli ili atakapohitaji mpunga kwao kusiwepo na kizuizi na alifanya hivyo kwa hawa Jamaa.
 
Hon gazet pale Ni waongo waongo Sana Kaz kubuni story tu kila siku

Kwa sabaya mlianzaga hivi hivi. Anyway hakuna mwenye ako na audacity ya kureport story kama hii kama sio investigative journalist ama NP. Wengine wanaosubiir habari mezani wataunga ikishachanganya, refer mambo ya Sabaya gazeti gani au nani alianza kureport na nini kilifuatia baada?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…