Yametimia: TANESCO yakiri uhaba wa umeme. Kutoa 'Taarifa' watu wapange kazi zao

Taifa lenye miaka 60 jua likiwaka tu miezi mitatu capacity ya uzalishaji inashuka by 21% ? Tulikuwa na kipindi cha masika cha kutosha tu, zimechelewa mvua za vuli halafu unasema tukubali tu mgao uendelee kabisa? This is mediocrity of the highest order
 
Sasa walikuwa wanaficha Nini?
Na waziri wao akaamua kutudanganya?
 
Pesa ya ndege ingetumika kujenga mitambo ya gesi asilia. Maana gesi haiishi leo na haiathiriwi na mabadiliko ya tabia nchi.


Pia mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutegemea jua ingejengwa
 
Tanesco waongo.
Waziri Mkuu Jana tu amesema wawekezaji wake tu umeme ni wauhakika na himilivu.

Tuache utani,Luna mianya ya uzembe imerudi kwa kasi kubwa sana.Ofisi za Tanesco sasa hivi nifoleni kufungiwa mita
Ngoja nikuulize...

Unaamini kwamba kuna ukame, au unakataa?!

Secondly, hivi unafahamu wakati hamna ukame, umeme wa maji ni wastani wa % ngapi ukilinganisha na vyanzo vingine?!
 
Tanesco waongo.
Waziri Mkuu Jana tu amesema wawekezaji wake tu umeme ni wauhakika na himilivu.

Tuache utani,Luna mianya ya uzembe imerudi kwa kasi kubwa sana.Ofisi za Tanesco sasa hivi nifoleni kufungiwa mita
Mambo shagarabagara tu! Full mazuzu kila moja linabweka kivyake unasikiaga ngoja liende!
 
 
Miaka yote baada ya uhuru bado tunakuwa na tatizo ambalo ni reapeated - upungufu wa kina cha maji! Hapo tunakosea sana. Tulitakiwa tuwe na options in case kina cha maji kimepungua. Moja ya option yenye uhakika ni umeme wa gas. Tunge invest vya kutosha kiasi kwamba kukatika kwa umeme ingekuwa historia. Kuhusu waziri sidhani anastahili kubeba lawama as an individual, anatakiwa kuzibeba kama serikali. Naamini hata angekuwa Kalemani au mtangulizi wake tatizo la upungufu wa umeme lingetokea kama sababu ni kupungua kwa kina cha mito na mabwawa kutokana na ukame. Kuanzia sasa tujifunze kuwa na mikakati mbadala linapotokea tatizo la namna hii.
 
Bwawa la Nyerere ni upotevu wa hela,,umeme wa maji sio wa kutegemea.
 


Kwa nini hayo hayakufanyika wakati umeme upo? Kila kitu ni crisis management
 
Mkuu wangu kweli miaka 60 ndio imetupeleka kujenga bwawa la umeme mwalimu Nyerere litakalozalisha megawati 2215.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…