Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Hebu kidogo jaribu kuushirikisha ubongo wako; Leo hii pale mtaani kwenu ametokea babu wa miaka 45 ameoa mtoto wa miaka 9. Huyu babu anaomba apewe uongozi. Hivi kwa mwenye akili timamu unaweza kumpata hata ujumbe wa nyumba kumi kumi kweli! Kwanza utamchukuliaje akili zake. Ni mtu timamu kweli?

Jee pale mtaani kwenu akatokezea binadamu mwanamke akazaa mtoto wa kiume na baada ya siku nane wakaja binadamu na kumtahiri huyu mtoto baadae alipokuwa mkubwa akaitwa mungu mkuu na muokozi wa waliomtahiri??? Baada ya muda kupita huyu mungu akakamatwa akasulubiwa na baadae akafia kwenye msalaba na waliofanya Hays ni wanadamu ambao yeye mwenyewe kawaumba.???

Jee hii ni akili kweli? Na huyu anaesema mungu wake kafa msalabani kwa ajili ya kubeba dhambi zake jee huyu anaakili timamu????
 
Tumuombe Mungu kipindi cha mfungo kikifika name atuchukue wrote tukafungie mbinguni kuepuka majaribu ya kidunia. Kati ya vitu muhimu katika kufunga ni kutimiza azma yako ya kufunga Vila kuingilua mfumo wa maisha ya wengine au kuukwamisha. Kwa nini kushinikizana na kuadhibiana kwa mambo ya hiari? Vipi kwa wenzetu ambao wamejiajiri kwenye huduma ya kuuza vyakula ili halo wao wamefunga? Waache kutoa huduma hiyo? Kisa amefunga! Halafu ayaendesheje maisha yake? Huoni kuwa mtoa huduma huyu 'makafiri' ndiyo nguzo ya maisha yake hapa? Acheni tabia ya kujidhani eti sisi no bira zaidi sababu ya imani yetu. Tuelewe kuwa imani ni swala LA mahusiano Kati ya Mungu na mwanadamu, ni swala LA kiroho.
Sisi Kama wanadam tuna maisha yet ya kuishi huku tukiimarisha upendo, na kuheshimiana na kuvumiliana.
Kinyume na hapo hakuna dunia ya wanadam, Bali in zizi lenye mchanyiko was nyoka, panya, paka, nguruwe, chui, mbuzi n.k

Nafikiri farsafa nzuri ni lile usilolipenda wewe usimfanyie mwenzio. Hapo ninavyojua mimi Znz hakuna chakula kinachouzwa hadhwarani mwezi huu wa Ramadhwani na mahoteli mengi ya wazi yanafunguliwa baada magh'rib.

Nilipo Underline.

Huwezi kuendelea kwa kuvumiliana. BALI SIKU ZOTE TUNASISITIZA MNATAKIWA KUHISHIMIANA NA SIO KUVUMILIANA. Na kama utahishimu mila desturi na sirka za waZnz wakti ukiwa Znz basi wewe utakuwa huru sana na jamii hiyo bali UKITEGEMEA WAKUVUMILIE KWA KUVUNJA MAADILI MILA NA DESTURI ZAO basi cha moto laaaazima ukipate. Kwani penye hishma kunakuwa hakuna maskhara wala mchezo mchezo bali kila kitu kinatendeka kwa uadilifu.


 
Katiba yao ipi hiyo? ibara ya ngapi inasema Zanzibar ni nchi ya kiislamu? usipotoshe watu hapa mkuu.

Kwani kila kitu laazima kiandikwe kwenye katiba?

Kwanini ujiulizi huko Tanganika Mwaka wa Serikali unaanza 1st of July. Jiulize na yale mapambo ya x-mas trees na mengineo mwisho wa mwaka kwa maana December kwenye taasisi na wizara za Serikali ya JmTz yanatoka wapi? na inatumika bajeti kabisa ya Serikali ya JmTz.

 
Hivi kwa nini wafuasi wa gaidi wanashbikia ugaidi? Kweli shatani ana nguvu!

Kwani wewe unajua leo shetani ana nguvu! Huoni akina Gwajima, Kakobe na wengineo wanavyotajirika kwa mahubiri ya shetani???

Umeona wapi viwete feki, misukule feki ikawaharibu watu akili hadi wakakubali kuwa hawa mashetani wanauwezo wa kufufua misukule na kuponya viwete??? Mbona mitaani tunao viwete wengi ambao tunawajuwa lakini hatuoni kuponywa!!!! Au ndio ule msemo wa wajinga ndio waliwao?
 
Kanisa haliendi mitaani na kuzuia watu kuvaa vimini. Msomi kama wewe mbona hili unalijua sana?

Mkienda Ulaya au USA na Ramadhani zenu, mnaona mabaya zaidi ya hayo ya Tanzania. Summer kama hii, watu wanakunywa pombe nje nje na hamlalamiki, Vimini nje nje na Vi-Tishrt vya kuchokoza. Mkifika tu Tanzania, mnajifanya mmekuwa watu wa dini. Mbona nchi kama Mali, Guinea, Senegal nk kwenye Waislaam wengi sana, hii kulazimishana haipo? Waliletewa sharia watu wa Mali, wakaipinga kwa nguvu zote. Wakadai kabisa, wao dini hakuna kulazimishana.

Fedha za mafuta zinasumbua watu. Nasubiri na sisi tuanze kuchimba na tuwe kama Angola - Misikiti (na Makanisa, Sinagogi ......) ni marufuku Tanzania. Halafu tutaona huyo Mungu, Jehovah, Budhah, Allah nk nk kama kweli atakufa. Mie naamini kuwa, yeye ana nguvu zaidi ha hahitaji kutetewa na kibinadamu alichokiumba mwenyewe na kukipa pumzi na leo kinajifanya eti kinaweza kumpigania Allh.

Mwana Tabora mwenzangu jitahidi sana kujiongeza na kufikiria nje ya box. WASOMI TUNA FARSAFA MOJA NAYO NI '' KUHISHIMIANA NA SIO KUVUMILIANA''.

Unapokwenda kwa mtu yoyote unatakiwa kuhishimu mila desturi na sirka zake lakin si kuzifuata kama zinakwenda kinyume na zako.

Kwa mantiki hiyo ukiwa kwa watu wasio wa iimani yako basi hishimu mila desturi na sirka zao hata kama zinakuwa kinyume na wewe LAKIN USIZIFUATE.

Hizo ni busara za bure mkuu.

 
Tusi hapa liko wapi? Eti waislam wenzangu, mtume mohamad hakumposa bi aisha akiwa na umri wa miaka SITA? (Je hili ni tusi?). Je hakumwingilia akiwa na miaka TISA? (Je tusi liko wapi hapa?).

mi mwenyewe sioni tusi kabisa ni sawa na mungu kuvaa boxer au nepi na kutundikwa juu na binaadam aliowaumba na kuanza kumlilia mungu wa ukweli na kumwambia mbona umeniacha?
 
Waialam na wakristo wana haki ya kula mchana nje kama waislam walivyo na haki ya kufuturu nje kama sheria zinafuatwa tanzania. Alie chapwa anaweza kwenda maakamani kuishitaki serekali kwa hili

Labda ufanye hivyo huko Dar Moro au Arusha lakin ukivuka bahr na kwenda unguja au Pemba cha moto utakiona. Kumbuka kuwa Znz ni nchi kamili kabisa na wananchi wake wana mila Desturi na Sirka zao..

Na siku zote Katiba za nchi haziwezi kwenda kinyume cha mila desturi na sirka za raia wa nchi hiyo.

Pole sana

 
Nimestushwa na kuogopa tena nikalazimika kuisoma Katiba ya Zanzibar mara mbili.

Leo Waislamu wa Zanzibar wanawavamia na kuwapiga vibaya Wazanzibar wenzao ambao sio Waislamu kwakuwa tu wanakula kwa mama lishe mchana mda ambao wale waislamu wanakuwa wamefunga,

Vipigo vimeenea kila kona ya mji wa Zanzibar na uhasama unakua kila kukicha, serikali ipo kwenye mfungo mtukufu, Wakristo hawa Wazanzibar hawana msaada, nani awaokoe vijana wa kikikristu ambao hawajao wanaotegemea kwa mama lishe na migahawani kupata mlo wao? Nao wafunge???

Nini tutarajie majibu ya wahanga hawa kama sio gharika? Serikali inasubiri kuunda tume baada ya mauaji??

Nimeisoma na kuipekua katiba ya Zanzibar kuona kama kuna kifungu kinachowapa haki waislamu kudhibiti uhuru wa watu wengine,

Zaidi nilitaja kujua kama Zanzibar ni nchi ya kidini au ni nchi inayotawaliwa kwakufuata sharia.

Sehemu mhimu ya katiba ya Zanzibar ni hii hapa, jioneeni kama ni haramu kula chakula hadharani nchini Zanzibar.



SURA YA KWANZA- ZANZIBAR
Sehemu ya Kwanza

1.Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

2. Zanzibar ni miongoni mwa Nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 2A. Kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli za Serikali, Rais aweza kuigawa Zanzibar katika Mikoa, Wilaya na maeneo mengineyo kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.
3.(1) Kutakuwa na Muhuri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambao alama yake itakuwa kama itavyokubaliwa na sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.

(2) Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itakuwa na uwezo wa kuweka kitu chochote kitachokuwa kielelezo cha Serikali kama itavyokubaliwa na sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.
4. Katiba hii ni Katiba ya Zanzibar na itakuwa na nguvu za kisheria nchini kote na isipokuwa kutokana na kifungu 80 ikiwa sheria yoyote inatofautiana na Katiba hii, basi Katiba hii ndiyo itayokuwa na nguvu na sheria hiyo itakuwa batili kwa kiwango kile ambacho kinahitilafiana.

5. Zanzibar itafuata mfumo wa Kidemokrasia wa Vyama Vingi vya Siasa wenye kuheshimu utawala wa sheria, haki za binaadamu, usawa, amani, haki na uadilifu.

5A.(1) Zanzibar itafuata mfumo wa mgawanyo wa madaraka kati ya mamlaka tatu, Mamlaka ya Utendaji, Mamlaka ya Kutunga Sheria na Kusimamia Utekelezaji wa Shughuli za Umma na Mamlaka ya Kutekeleza Utoaji Haki.

(2) Mamlaka ya Utendaji ni Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mamlaka ya kutunga Sheria na Kusimamia Utekelezaji wa Shughuli za Umma ni Baraza la Wawakilishi na Mamlaka ya Kutekeleza Utoaji Haki ni Mahkama.

(3) Hakuna mamlaka itakayoingilia Mamlaka nyengine isipokuwa kama na kwa kadri ilivyoelezwa katika Katiba hii.

yerico once again ! hivi wewe aliyekwambia mkristo kavamiwa na kupigwa ni nani? je huko znz wakikuta muslim anakula mchana wa ramadhani tena nje huwa wanamfanyaje?
 
Kunatofauti kubwa sana kati ya kunyimwa kuingia kwenye kanisa(private place) ukiwa umevaa kimini na kuzuiwa kula kwa mamamtilie (public place) na kuwa assaulted kwa kuchapwa viboko. Shirikisha ubongo we mburula

Lakin wote wana nia moja tu iwe private au public. Je unaijua dhumini la zuio hilo ni nini?

 
Nimestushwa na kuogopa tena nikalazimika kuisoma Katiba ya Zanzibar mara mbili.

Leo Waislamu wa Zanzibar wanawavamia na kuwapiga vibaya Wazanzibar wenzao ambao sio Waislamu kwakuwa tu wanakula kwa mama lishe mchana mda ambao wale waislamu wanakuwa wamefunga,

Vipigo vimeenea kila kona ya mji wa Zanzibar na uhasama unakua kila kukicha, serikali ipo kwenye mfungo mtukufu, Wakristo hawa Wazanzibar hawana msaada, nani awaokoe vijana wa kikikristu ambao hawajao wanaotegemea kwa mama lishe na migahawani kupata mlo wao? Nao wafunge???

Nini tutarajie majibu ya wahanga hawa kama sio gharika? Serikali inasubiri kuunda tume baada ya mauaji??

Nimeisoma na kuipekua katiba ya Zanzibar kuona kama kuna kifungu kinachowapa haki waislamu kudhibiti uhuru wa watu wengine,

Zaidi nilitaja kujua kama Zanzibar ni nchi ya kidini au ni nchi inayotawaliwa kwakufuata sharia.

Sehemu mhimu ya katiba ya Zanzibar ni hii hapa, jioneeni kama ni haramu kula chakula hadharani nchini Zanzibar.



SURA YA KWANZA- ZANZIBAR
Sehemu ya Kwanza

1.Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

2. Zanzibar ni miongoni mwa Nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 2A. Kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli za Serikali, Rais aweza kuigawa Zanzibar katika Mikoa, Wilaya na maeneo mengineyo kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.
3.(1) Kutakuwa na Muhuri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambao alama yake itakuwa kama itavyokubaliwa na sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.

(2) Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itakuwa na uwezo wa kuweka kitu chochote kitachokuwa kielelezo cha Serikali kama itavyokubaliwa na sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.
4. Katiba hii ni Katiba ya Zanzibar na itakuwa na nguvu za kisheria nchini kote na isipokuwa kutokana na kifungu 80 ikiwa sheria yoyote inatofautiana na Katiba hii, basi Katiba hii ndiyo itayokuwa na nguvu na sheria hiyo itakuwa batili kwa kiwango kile ambacho kinahitilafiana.

5. Zanzibar itafuata mfumo wa Kidemokrasia wa Vyama Vingi vya Siasa wenye kuheshimu utawala wa sheria, haki za binaadamu, usawa, amani, haki na uadilifu.

5A.(1) Zanzibar itafuata mfumo wa mgawanyo wa madaraka kati ya mamlaka tatu, Mamlaka ya Utendaji, Mamlaka ya Kutunga Sheria na Kusimamia Utekelezaji wa Shughuli za Umma na Mamlaka ya Kutekeleza Utoaji Haki.

(2) Mamlaka ya Utendaji ni Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mamlaka ya kutunga Sheria na Kusimamia Utekelezaji wa Shughuli za Umma ni Baraza la Wawakilishi na Mamlaka ya Kutekeleza Utoaji Haki ni Mahkama.

(3) Hakuna mamlaka itakayoingilia Mamlaka nyengine isipokuwa kama na kwa kadri ilivyoelezwa katika Katiba hii.
Kama kuna mpuuzi na mdini humu jamvini wewe unaongoza.Always unaAttack Muslims tu.Ramadhan imeanza kufungwa leo znz?Usiwe kama mkasi hukati mpaka ushikwe nyuma wee.
 
Ipo sheria ya kutokula hadharani wakati wa Mwezi wa Ramadhani, na unapokamatwa ukifanya hivyo, adhabu yake ni kwenda jela kwa mwaka mmoja. Hii ya kuchapa makobe bakora ni mpya na inabidi kukemewa kwa nguvu zote!
 
Kunatofauti kubwa sana kati ya kunyimwa kuingia kwenye kanisa(private place) ukiwa umevaa kimini na kuzuiwa kula kwa mamamtilie (public place) na kuwa assaulted kwa kuchapwa viboko. Shirikisha ubongo we mburula
Hapa wewe ndio mburula, toka lini kanisa likawa private place?
 
busara itumike katika hili hekima na maarifa pia kwa muono Wang kufunga ni hiyar ya mtu na kuwapiga wanakula si sahihi wrote tuko chini ya sheria so suala la kufunga ni MTU na I man yake so kisa mtu kafunga awadhibu wengne hyo siyo iman Bali kushinda njaa
 
Mimi nashangaa hivi mwenzako kama imani yako si yake kwanini usimwache ?? Ina maana atakapokufa na kwenda motoni wewe unaumia nini au hasara kwa nani kama si yeye.yeye mfano hana dini utamlazimisha akuamini wewe,ifike mahali waislam mjitambue acheni chuki,mungu aliyeumba kafiri ndiyo kakuumba wewe kama alikuwa hampendi kafiri asingemuumba ,kingine mnalazimisha dini yenu kwa nguvu ndiyo maana mnakata watu koromeo,mfano mwingine yule mama Sudan kaamua aolewe mkristo yaani kiliwauma mnatamani na kujinyonga,wakristo wangapi wanaslim na kuolewa na magaidi mbona sijaona wkristo wakichukia ???
 
Nimestushwa na kuogopa tena nikalazimika kuisoma Katiba ya Zanzibar mara mbili.

Leo Waislamu wa Zanzibar wanawavamia na kuwapiga vibaya Wazanzibar wenzao ambao sio Waislamu kwakuwa tu wanakula kwa mama lishe mchana mda ambao wale waislamu wanakuwa wamefunga,

Vipigo vimeenea kila kona ya mji wa Zanzibar na uhasama unakua kila kukicha, serikali ipo kwenye mfungo mtukufu, Wakristo hawa Wazanzibar hawana msaada, nani awaokoe vijana wa kikikristu ambao hawajao wanaotegemea kwa mama lishe na migahawani kupata mlo wao? Nao wafunge???

Nini tutarajie majibu ya wahanga hawa kama sio gharika? Serikali inasubiri kuunda tume baada ya mauaji??

Nimeisoma na kuipekua katiba ya Zanzibar kuona kama kuna kifungu kinachowapa haki waislamu kudhibiti uhuru wa watu wengine,

Zaidi nilitaja kujua kama Zanzibar ni nchi ya kidini au ni nchi inayotawaliwa kwakufuata sharia.

Sehemu mhimu ya katiba ya Zanzibar ni hii hapa, jioneeni kama ni haramu kula chakula hadharani nchini Zanzibar.



SURA YA KWANZA- ZANZIBAR
Sehemu ya Kwanza

1.Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

2. Zanzibar ni miongoni mwa Nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 2A. Kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli za Serikali, Rais aweza kuigawa Zanzibar katika Mikoa, Wilaya na maeneo mengineyo kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.
3.(1) Kutakuwa na Muhuri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambao alama yake itakuwa kama itavyokubaliwa na sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.

(2) Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itakuwa na uwezo wa kuweka kitu chochote kitachokuwa kielelezo cha Serikali kama itavyokubaliwa na sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.
4. Katiba hii ni Katiba ya Zanzibar na itakuwa na nguvu za kisheria nchini kote na isipokuwa kutokana na kifungu 80 ikiwa sheria yoyote inatofautiana na Katiba hii, basi Katiba hii ndiyo itayokuwa na nguvu na sheria hiyo itakuwa batili kwa kiwango kile ambacho kinahitilafiana.

5. Zanzibar itafuata mfumo wa Kidemokrasia wa Vyama Vingi vya Siasa wenye kuheshimu utawala wa sheria, haki za binaadamu, usawa, amani, haki na uadilifu.

5A.(1) Zanzibar itafuata mfumo wa mgawanyo wa madaraka kati ya mamlaka tatu, Mamlaka ya Utendaji, Mamlaka ya Kutunga Sheria na Kusimamia Utekelezaji wa Shughuli za Umma na Mamlaka ya Kutekeleza Utoaji Haki.

(2) Mamlaka ya Utendaji ni Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mamlaka ya kutunga Sheria na Kusimamia Utekelezaji wa Shughuli za Umma ni Baraza la Wawakilishi na Mamlaka ya Kutekeleza Utoaji Haki ni Mahkama.

(3) Hakuna mamlaka itakayoingilia Mamlaka nyengine isipokuwa kama na kwa kadri ilivyoelezwa katika Katiba hii.
Wewe jamaa mnafiki sana tuambie hao wakirsto waliopigwa ni kina na wamepigwa maeneo gani.
 
Zanzibar ni nchi ya kiislamu ingawa haisemwi wazi! Ndo maana lukuvi alikataa mfumo wa serikali 3 ili waislamu wasiwe huru zaidi! Bila muungano ulioridhiwa na wananchi wengi, wakristo zanzibar wataendelea kunyanyaswa zaidi!
 
Hapa wewe ndio mburula, toka lini kanisa likawa private place?

Kwaiyo mtu akikuuliza sehemu gani public mukutane? Utamjibu kanisani au msikitini. Mburula kabisa. Ka-google public place image uone kama utaona kanisa au msikiti. Mburula kabisa
 
nachokizungumzia sheria za nchi zinazoruhusu kupiga mtu katika muungano huuu uliopo suala la Zanzibar ni nchi ya iman flan hilo halijawekwa that's Tanganyika pia haijazungumziwa Kuwa ni iman ya watu flan nachokiona katika hili ni kukosa moyo wa mafundisho sahihi na kujitwalia sheria mikononi narudia post yangu ukifunga wewe ustufanye kula kisa umefunga hii ni iman yako tusilazimishane
 
Aisee haya mashetani yakikufumania guest na ushungi girl si yatakata gongeo haya!
 
Back
Top Bottom