MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Imenibidi niangalie hii habari ni ya mwaka gani, du nikajua ni habari ya miaka mitano nyuma[emoji24][emoji24][emoji24]Kuna kiwanda kiko Pale Keko karibu na ukumbi wa DDC nadhani ni cha cello. Malipo kwa siku ni sh. 3500 kwa siku ilikuwa kwa muda mrefu. Sasa ni sh. 4000, kazi masaa 12 yaani lisaa limoja sh. Mia tatu na centi.
Viwanda vingi malipo ni sh. Elfu 5000 kwa siku, hii maana yake lisaa limoja la kazi ni sh. 400. Viwanda vyenye majina makubwa malipo kwa siku ni sh. 7000 hii maana yake lisaa limoja sh mia 6.
Hata kama ni non skilled labor ni haki Mtanzania alipwe sh. Mia 4 kwa lisaa limoja? Ni utumwa wa wazi uliopata baraka za serikali.
Hawa mabilionea wetu akina Bakhressa na Mo huwabebesha Watanzania viroba vya unga wa ngano kwa sh. 50 au pungufu kwa kiroba kimoja. Ni utumwa.
Nimewahi kufanya kazi siku moja tu kwa wahindi Kariakoo ni zaidi ya utumwa , kula juu yangu, nauli juu yangu malipo 7500 kwa siku na kazi very risk. Kazi ya kupeleka mizigo ghorofa ya 12 kutoka chini. Sikurudi tena.
Hayo mambo ya waiter na walinzi. Huyo muhindi nae fala tuKazi kwenye Duka eti Muhindi anataka usimame asubui hadi unatoka ukikaa kosa
Ndio nimefanya sanaaUmewahi kufanya kazi kwenye ofis mbalimbali?
Ni kushukuru Mungu kwa kweli kwa kutupa izi ajira.Una Bima ya afya,loan unaweza pata pia mahitaji daily ni uhakika japo tunaona ni kidogo.Aisee ndio maana tunatakiwa kumshukuru MUNGU sana kwa kile unachokipata hasa wale waajiriwa wenye mishahara inayoanzia 500k kwenda juu.
Unakuta mtu anafanya kazi ngumu NON STOP.. RISK telee
Kumbuka hapo akijichanganya akaingiza miguu/mikono kwenye mashine hiyo ni juu yake.. Mwajiri kesho analeta PUNDA mwingine apige kazi ww utajuana na ndugu zako huko.
Ngozi nyeusi tuna laana sana chief.Hahaaa, hii nchi hii. Halafu wale wapumbavu wa wizara ya ajira na kazi hizi nazo wanazihesabu kama ajira
Mtu mweusi ni ngedere kabisa.
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Kuna familia ukizaliwa mkuu huna jipya-... Ni mateso mpka kufa! Wanaofanya kazi hizo hapo bugurun wengi wanatoka vijijini wamekuja kusaka life. Wengine wa humuhum na Wana digrii wamekimbia masimango yanayoanzia ngazi ya familia...Vijana wanaokubali kufanya kazi za kitumwa wamefungwa Akili
Nimetembelea hapo kwa bakhressa Buguruni nimekaa na hao vijana
Jibu ni kuwa akili zao zipo locked
Doesn't make sense kijana Energetic akabebe viloba vya ngano morning to evening then umpe elfu nne
Ukifanikiwa kuifunga akili ya MTU unakuwa umetoa uhai tayari.
Tusilaumu wahindi Ila tutoe strategies nini tufanye kuwaokoa vijana
Umehifunza nn hasa kama ulitokea kama mfanyakaz wa ngazi ya chini katika kampuni hizoNdio nimefanya sanaa
Kuna familia ukizaliwa mkuu huna jipya-... Ni mateso mpka kufa! Wanaofanya kazi hizo hapo bugurun wengi wanatoka vijijini wamekuja kusaka life. Wengine wa humuhum na Wana digrii wamekimbia masimango yanayoanzia ngazi ya familia...
Endelea kufanya utafiti uone kama ana option nyibgine. Hii iqe quantitative na methodology yako ibebe assumption ya kupima plight condition ya familia wanazotoka na life economic opportunities they can opt
Mbona hiyo Hela kubwa, Kuna vingine elfu mbili kwa siku
Huwezi kufanisha ujinga unafanyika Tanzania na China. Nakubali kuwa hizi kazi za vibarua ni umiza kichwa, lakini kwa Tanzania ni zaidi. CCM ni shetani.Mkuu hio upo dunia nzima, unaposikia Wazungu wanakimbilia china kwa ajiili ya cheap labor ndio kama hao, saizi wanatoka china wanaenda India kwa ajiili ya watu kana hao,
Unskilled labor dunia nzima mishahara yao ni mbuzi tu, mana wanakuwa hawana mikataba, day worker tu,
Kwa kusema hivyo tuhimizane ndugu zangu kusoma sanaa
Huyo supervisor alaniwe..Halafu mchawi mwingine ni mtanzania mwenzako(supervisor). Muhindi anakupiga kwa kukulipa 5000 per day, halafu msimamizi wako nae anakupiga kwakukulipa 4000 au 4500 per day.Maisha ya viwandani ni magum sana hapa tz
Elimu ya Tanzania haina viwango kabisa. Mtu na mashters degree ya Mlimani lakini kichwani ni mtupu.Hapa ni kama unatwanga maji kwenye kinu. Matajiri wao wanaangalia watabaki na nini baada ya kutoa gharama za uzalishaji, kodi, usafiri, mishahara. Wanataka wabaki na kikubwa kwahiyo sehemu pekee ya kunyonya (kufidia) ni kupitia vibarua: kwasababu wengi wao hawana options nyingi kwenye maisha za kuwaingizia kipato hawana budi kufanya hizo kazi.
Kwasasa Dunia inahama, viwandani inabidi zibaki mashine tu na Engineers. Tulipofikia ni Akili zaidi inayoweza kukupa pesa ya kukidhi mahitaji yako, na hiyo Akili inaenda sambamba na maarifa (elimu). Sasa turudi kwenye nchi yetu: Je, serikali yetu baada ya miaka 60+ toka uhuru imeweza kuwapatia elimu bora watanzania kwa asilimia ngapi? Wenye elimu tu wanalalamika mishahara midogo, hapa ni kila mtu kupambana na hali yake tu.
Una hoja mkuu, huko viwandani wafanyakazi wanapitia magumu sana.Kuna kiwanda kiko Pale Keko karibu na ukumbi wa DDC nadhani ni cha cello. Malipo kwa siku ni sh. 3500 kwa siku ilikuwa kwa muda mrefu. Sasa ni sh. 4000, kazi masaa 12 yaani lisaa limoja sh. Mia tatu na centi.
Viwanda vingi malipo ni sh. Elfu 5000 kwa siku, hii maana yake lisaa limoja la kazi ni sh. 400. Viwanda vyenye majina makubwa malipo kwa siku ni sh. 7000 hii maana yake lisaa limoja sh mia 6.
Hata kama ni non skilled labor ni haki Mtanzania alipwe sh. Mia 4 kwa lisaa limoja? Ni utumwa wa wazi uliopata baraka za serikali.
Hawa mabilionea wetu akina Bakhressa na Mo huwabebesha Watanzania viroba vya unga wa ngano kwa sh. 50 au pungufu kwa kiroba kimoja. Ni utumwa.
Nimewahi kufanya kazi siku moja tu kwa wahindi Kariakoo ni zaidi ya utumwa , kula juu yangu, nauli juu yangu malipo 7500 kwa siku na kazi very risk. Kazi ya kupeleka mizigo ghorofa ya 12 kutoka chini. Sikurudi tena.
Uko sahihi. Haya mambo bila kuwa na hizo groups ni bure. Serikali ndiyo ilaumiwe kwa sababu imewafanya watanzania wasijue ni nini maana ya vyama vya wafanyakazi.Kuna siku niliongelea humu swala la civil society (workers civil groups) umuhimu wake. Ila nikagundua Wafanyakazi wengi hawajui hili swala. Na sio kutokujua tu. Hata wale ambao wamejiunga huwa wanatumia vyama hivi kipindi cha shida tu tena kwa uchache. Acha watu waumie. Waendelee kugoma na vyama vya siasa wakati kuna vyama unaweza peleka tatizo elekezi kwao.
Sure mzee.Vijana wanaokubali kufanya kazi za kitumwa wamefungwa Akili
Nimetembelea hapo kwa bakhressa Buguruni nimekaa na hao vijana
Jibu ni kuwa akili zao zipo locked
Doesn't make sense kijana Energetic akabebe viloba vya ngano morning to evening then umpe elfu nne
Ukifanikiwa kuifunga akili ya MTU unakuwa umetoa uhai tayari.
Tusilaumu wahindi Ila tutoe strategies nini tufanye kuwaokoa vijana
Hii sio sababu ya kumefanya mtu akatae hiyo kazi. Mkuu hali ya maisha inatofautiana sana. Kuna watu wankimbia masimango na kuishi maisha yoyote bila kujali self investing Wala nguvu anayotumiaKuna njia nyingi za kuishi
Maana hata ukabeba viloba miaka 100 huwezi kuikamata hata mil 1
Kuna namna za kuishi mjini , hiyo kugeuzwa msukule inaonesha something wrong on ur mind.
Self-investment ni muhimu in this life.