Mkuu hiv vitu haviend kwa hisia, vinaenda kwa hesabu tena kali sana,
Ukisema kina Mo walipe vibarua 20K per day, means energy drinks za bongo zitauzwa 2k, unga wa ngano unaweza fika hata 3.5k per kg, ili kufidia gharama za kuzalisha,
Unajua nn kitafuata sokoni ? Bidhaa za nje zitaingia kwa kuwa kwao ni cheap kutengeneza, bidhaa za ndani zitakosa soko, viwanda vitakufa, mwisho hata hio 5000 per day hatutapata, unemployment itakuwa juu sana, vijana watajiingiza kwenye magenge ya uhalifu, then boom Tanzania inakuwa kama Haiti
Uchumi hautaki siasa, unahitaji namba