Yanayofanyika viwandani Tanzania ni utumwa. Kazi ngumu, maslahi duni. Serikali haina mpango na wananchi wake, inachoangalia ni kodi tu

Yanayofanyika viwandani Tanzania ni utumwa. Kazi ngumu, maslahi duni. Serikali haina mpango na wananchi wake, inachoangalia ni kodi tu

Kuna kiwanda kiko Pale Keko karibu na ukumbi wa DDC nadhani ni cha cello. Malipo kwa siku ni sh. 3500 kwa siku ilikuwa kwa muda mrefu. Sasa ni sh. 4000, kazi masaa 12 yaani lisaa limoja sh. Mia tatu na centi.

Viwanda vingi malipo ni sh. Elfu 5000 kwa siku, hii maana yake lisaa limoja la kazi ni sh. 400. Viwanda vyenye majina makubwa malipo kwa siku ni sh. 7000 hii maana yake lisaa limoja sh mia 6.

Hata kama ni non skilled labor ni haki Mtanzania alipwe sh. Mia 4 kwa lisaa limoja? Ni utumwa wa wazi uliopata baraka za serikali.

Hawa mabilionea wetu akina Bakhressa na Mo huwabebesha Watanzania viroba vya unga wa ngano kwa sh. 50 au pungufu kwa kiroba kimoja. Ni utumwa.

Nimewahi kufanya kazi siku moja tu kwa wahindi Kariakoo ni zaidi ya utumwa , kula juu yangu, nauli juu yangu malipo 7500 kwa siku na kazi very risk. Kazi ya kupeleka mizigo ghorofa ya 12 kutoka chini. Sikurudi tena.
4000×30=120000
 
Mkuu hiv vitu haviend kwa hisia, vinaenda kwa hesabu tena kali sana,
Ukisema kina Mo walipe vibarua 20K per day, means energy drinks za bongo zitauzwa 2k, unga wa ngano unaweza fika hata 3.5k per kg, ili kufidia gharama za kuzalisha,

Unajua nn kitafuata sokoni ? Bidhaa za nje zitaingia kwa kuwa kwao ni cheap kutengeneza, bidhaa za ndani zitakosa soko, viwanda vitakufa, mwisho hata hio 5000 per day hatutapata, unemployment itakuwa juu sana, vijana watajiingiza kwenye magenge ya uhalifu, then boom Tanzania inakuwa kama Haiti

Uchumi hautaki siasa, unahitaji namba
Mkuu unawatetea kuumiza na kuwauwa nduguzetu sasa 400 kwa saa hii hela watanunuwa nini?? Na mbona Zanziber tu hapo hakuna hayambambo.. hivi huoni kama watu wetu wanaangamia, kazi ngumu bila kura vizuri au kulala pazuri?? Serikali inawajib wa kuangalia watu wake,hebu njoo Mkuranga viwandani ujionee utumwa uliokithiri,jifanye mfanyakazi kama Huna kitambi uone uonevu. Ni watu wetu hawa. Hiyo energy drink ipande bei kwa kuwalipa 20,000 kwasiku?? Ingekuwa hivi viwanda vinatoka Europe, wananch wa huko ndio wangekuwa mstari wa mbele kuliongelea hili. 400 au 350 kwa saa ??? No no noo kunaulazima wa watuwetu kujitambua na kutupia mabom ya petrol kwenye hivi viwanda sasa.
 
Wanaowaajiri watu hao

Kwenye kampuni yangu

1. Housemaid Mshahara wa chini ni Tsh 100,000/= kwa mwezi, wakulala hapohapo na mwenye elimu ya kawaida yaani kidato cha nne kurudi chini.

2. Housemaid mwenye taaluma mshahara kila cha chini Tsh 200,000/= Form six diploma na kuendelea.

3. Live-out Housemaid Mshahara Tsh 200,000/= huyo ni wakawaida.
Mwenye taaluma kuanzia Tsh 300,000/=

4. Wafanya Usafi (Housekeeping) kwenyw maofisi, Malls n.k Mshahara kima cha chini 250,000/=

5. Walinzi, Kima cha chini ni Tsh 250,000/= inategemea na mahali anapolinda, CV yake na majukumu.

6. Babysitter ( Yaya) wakukaa ni Tsh 160,000/= watoto wasiozidi wawili.
Babysitter wa kingereza chini kabisa 250,000/=

Mishahara hiyo ni zaidi ya mara mbili ya mishahara ya rate iliyowekwa na serikali.
Karibu
 
Kwenye kampuni yangu

1. Housemaid Mshahara wa chini ni Tsh 100,000/= kwa mwezi, wakulala hapohapo na mwenye elimu ya kawaida yaani kidato cha nne kurudi chini.

2. Housemaid mwenye taaluma mshahara kila cha chini Tsh 200,000/= Form six diploma na kuendelea.

3. Live-out Housemaid Mshahara Tsh 200,000/= huyo ni wakawaida.
Mwenye taaluma kuanzia Tsh 300,000/=

4. Wafanya Usafi (Housekeeping) kwenyw maofisi, Malls n.k Mshahara kima cha chini 250,000/=

5. Walinzi, Kima cha chini ni Tsh 250,000/= inategemea na mahali anapolinda, CV yake na majukumu.

6. Babysitter ( Yaya) wakukaa ni Tsh 160,000/= watoto wasiozidi wawili.
Babysitter wa kingereza chini kabisa 250,000/=

Mishahara hiyo ni zaidi ya mara mbili ya mishahara ya rate iliyowekwa na serikali.
Karibu
Bado pesa ndogo sana hio unayowalipa
 
Kwenye kampuni yangu

1. Housemaid Mshahara wa chini ni Tsh 100,000/= kwa mwezi, wakulala hapohapo na mwenye elimu ya kawaida yaani kidato cha nne kurudi chini.

2. Housemaid mwenye taaluma mshahara kila cha chini Tsh 200,000/= Form six diploma na kuendelea.

3. Live-out Housemaid Mshahara Tsh 200,000/= huyo ni wakawaida.
Mwenye taaluma kuanzia Tsh 300,000/=

4. Wafanya Usafi (Housekeeping) kwenyw maofisi, Malls n.k Mshahara kima cha chini 250,000/=

5. Walinzi, Kima cha chini ni Tsh 250,000/= inategemea na mahali anapolinda, CV yake na majukumu.

6. Babysitter ( Yaya) wakukaa ni Tsh 160,000/= watoto wasiozidi wawili.
Babysitter wa kingereza chini kabisa 250,000/=

Mishahara hiyo ni zaidi ya mara mbili ya mishahara ya rate iliyowekwa na serikali.
Karibu
Rate za serikali kima cha chini ni 250,000.00, hiyo zaidi ya mara mbili unayosema ni ipi?
 
Rate za serikali kima cha chini ni 250,000.00, hiyo zaidi ya mara mbili unayosema ni ipi?

Mshahara wa Maid wa kukaa ni 70,000/= kwa Mujibu wa serikali.
Maid wa kwenda na kurudi ni Tsh 120,000/=
Maid anayefanya kazi kwa wafanya biashara wakubwa ni 160,000/=
Maid anayefanya kazi kwa mabalozi, viongozi wa serikali ni Tsh 250,000/=

Viwandani rate yake ukisikia unaweza ukakimbia
 
Watakuja kushtuka ni watt wenu nyie mshafungwa mi nashangaa elf tano kwa siku watu wanaishije na anafamilia dahh hii sio fear kabisa, ilitakiwa min iwe angalau 10k per day, kuna watu waafaya kazi ktk viwanda hatarishi kwa afya yani akitoka apo ni tb au kansa dah inatia huruma sana
 
Watakuja kushtuka ni watt wenu nyie mshafungwa mi nashangaa elf tano kwa siku watu wanaishije na anafamilia dahh hii sio fear kabisa, ilitakiwa min iwe angalau 10k per day, kuna watu waafaya kazi ktk viwanda hatarishi kwa afya yani akitoka apo ni tb au kansa dah inatia huruma sana
Kuna kiwanda cha sulphur ABC Temeke Tazara. Wanakufa na sumu ujira 10000 na kupata kazi mpaka utoe rushwa au chupi
 
Back
Top Bottom