Kayoka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 2,262
- 1,956
Sitta:
"Kuna kundi dogo tena la wav wachache wana malengo ya maksudi wakitaka kuvunja muungano wetu uliodumu takribani kwa miaka 50 sasa, hao hatuna shida nao sana nahaidi TUTAWASHUGHULIKIAtu ili kulinda muungano wetu"
Kauli kama hii ya mh. Sitta imelenga nini haswa kupelekea hatma ya muungano wetu?
"Kuna kundi dogo tena la wav wachache wana malengo ya maksudi wakitaka kuvunja muungano wetu uliodumu takribani kwa miaka 50 sasa, hao hatuna shida nao sana nahaidi TUTAWASHUGHULIKIAtu ili kulinda muungano wetu"
Kauli kama hii ya mh. Sitta imelenga nini haswa kupelekea hatma ya muungano wetu?

