Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

sasa bungeni anajadiliwa mbatia na mtikila badala ya ibara ya 1 na ya 6, ni hatari sanaaa
 
Nkumba,
waliokimbia ukumbi wamesubiri posho zimetoka leo ndiyo wametoka ukumbini nkumba anashauri warudisha posho walizobeba.
 
Kaka Zito thanks ! Umeongea kwa Busara na kuonyesha tofauti Mkuu
 
Basi kama hawajiwezi, si wakubaliane na serikali moja? Hao wabunge unaowasikia ni wanafiki tu, na wengi wao hawatarudi 2015 kutokana na hasira walizinazo wananchi wengi wa Zanzibar.
 
UKAWA n wanafik wakubwa wale,wamechukua POSHO leo saa Tano na nusu na wamechukua pesa mpaka tr 31/4..kama walikuwa na lengo la kutoka y wasingetoka jana na kwannn wasiache zile pesa warud kwetu tuwaamin kama wapo kwa ajil ya waTz???ukawa n wahuni wote niseme hvo na wanatarajia sympath yetu wananchi wanashindwa elewa kuwa chaguz ndogo zote zilizopita CCM imewaburuza mbaya wapinzani.maskin upinzan hauna dira


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Hili laweze kuwa wazo la "kijinga" ama la "kipumbavu"....msome 'mpuuzi' huyu anavyosema

......Eeh ndiyo...nilishasema toka mwanzo.... Utaratibu wa kuanzisha Mchakato wa katiba Mpya...ulikuwa ni mkakati madhubuti wa kuwaadhibu 'wakorofi-wapinga wateule wa nafasi nyeti wasiona uwezo'...na hata wale ambao wananyemelea nafasi nyeti za uongozi 2015...kinyume na matakwa ya 'wahusika washikadau'...

Kwanza kagua mwenendo wa jaji Warry toka mchakato wa urais...toka enzi hozi mpaka sasa alikuwa ana muunga mkono nani? je mwenendowake waweza kuhusishwa na alichokifanya kwa kuongoza mchakato wa sasa...na kurushiwa 'madongo'?

Pili, Mr. Mwakky...naye anatuhumiwa kuunga mkono Ukawa (rejea taarifa za runinga leo asubuhi)...eti S3 ndiyo suluhu...kinyume na kundi analotoka...anaadhibiwa tu...asisogelee wadhifa huo 2015...kwani kawaunga mkono ukawa...

Tatu, Mr. S. 6 yeye...mpango umesukwa mchakato huu uvunjikie mikononi mwake...na hii itakuwa imedhalilisha falisafa yake ya "esi esi"...na kumuondolea hadhi ya kuitwa 'mkuu'...eeh si mumeona Mr. Profesa kakimbia kikao na ukawa ...ni hatua za awali kuvunja mchakato.

Nne, Mr. Mambo ya Nje...naye zomea zomea imemkuba leo hasubuhi ...pia hiyo siyo dalili njema..ni dalili za kuadhibiwa..., haujiulizi...lini Mr. Eddy amechangia katika mchakato huu...

Wapo wengi wanaoadhibiwa....ngoja niendele kuwa tajia na nanmna wanavyoadhibiwa...

Agghrrr ....nimeshidwa kumsikiliza mpuuuzi huyu nami nimeondoka zangu...maana kazidi upuuzi.

T

mpuuzi ni wewe uliyeshindwa kuelewa maneno mepesi na rahisi kuya dadavua.
Haiku hitaji miwani kuona wepesi wa kauli rahisi alizo andika mdau pale juu
 
Kulikuwa hakuna sababu kwa kundi la wachache kuendelea kujadili kitu ambacho hakitakuwa na mabadililko yoyote wakati CCM walisha sema kuwa wakikataa serekali 2 ni lazima watakutana nazo kwenye katiba mpya au watazikuta kwenye katiba ya zamani.
 
Leo kimetokea kituko baada ya wale wanafiki wenye lengo baya na Tanzania kutoka nje baada ya kuonyeshwa mkataba wa muungano.

Wanafiki hao walipigwa na butwaa baada ya kuona mkataba huo live bila chenga. Ndipo walipoona wamefilisika kwa hoja na kukimbia.
 
....

.....Udhaifu wa Akili Kichwani...
(UWAKI) ni Hatari kwa Afya ya Taifa letu !!!


attachment.php
 
Back
Top Bottom