Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Kamala sio mweusi ni Muhindi
Mpaka saiv n trump ana 247 harrs ana 214 utofauti n 33 mchuano bdo n mkaliTrump anachua nchi na republicans wanachua seneti,sasa trump anaweza kupitisha sera atakazo
baba yake ni mweusi mama mhindiHuyo Kamala sio mweusi ni Muhindi
Sasa wewe mbona umeamua kumwita Obama 'black' wakati ni mchanganyiko wa mweupe na mweusi?Kwaninwamarekani wenyewe wanamuitaje. Black, white, hispanic, indian? Au ushawai sikia wanamuita mtu half cast mkuu🤣
Mwamba anaingia Ikulu mapema sanawanapoteza muda wampe chake dingi trump aanze kuichangamsha dunia.
Is she indian or black? - trump 2024baba yake ni mweusi mama mhindi
hivyo ni mweusi.
🤣BanianWanamchelewesha tu kumtangaza kisha shinda na pia huko Wisconsin kuna EC 10 zitakuwa 246+10=256 Yuko mbioni pia kushinda na huko Michigan mpaa mda hu anaongoza lakini bado sana kujuwa mshindi hapo kuna 15 EC sidhani hicho kibaniani kitashinda. Akishinda Michigan wachana na Arizona pia anaongoza atakuwa ana 256+15=271 Yule baniani hana chance ya kushinda na Arizona 11 EC itakuwa 282 na bado kwingine huyo banianiani ataishia kwenye chini ya 248 EC haendi zaidi ya hapo.
mambo ya siasa kwani huyaelewi. hapo alikua anamzingua kwa sababu ni half-caste. baba yake alikua gwiji wa uchumi na mama mwanasayansi. wote wakiwa wahamiaji.Is she indian or black? - trump 2024
Namuita black kwasababu wamarekani wenzake wanamuita black, hata yeye mwenyewe kakubaliana na hilo "african america"Sasa wewe mbona umeamua kumwita Obama 'black' wakati ni mchanganyiko wa mweupe na mweusi?
Au kwa vile wewe ni mweusi ukaamua kujipakulia minyama!😅
Trump mungu akupe nguvu.
Achague upande wa kudumu, hata huku kwetu wengi makabila tunachukua kwa mzeemambo ya siasa kwani huyaelewi. hapo alikua anamzingua kwa sababu ni half-caste. baba yake alikua gwiji wa uchumi na mama mwanasayansi. wote wakiwa wahamiaji.
Tushapiga kura sn mkuuNyie wapiga kura wenyewe hamjitokezi.
Then mnategemea chaguzi za raha!!
Dah!...huyu Babu kapata Urais kwa kuwashinda wanawake tu...Duuuh! Trump mtu mbad
Kamala Harris - 216
Donald Trump - 267
Bado tatu tu, updates za 9:21 am