Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Nani atashinda uchaguzi USA November 5, 2024?

  • Republicans (Donald Trump)

  • Democrats (Kamala Harris)


Results are only viewable after voting.
Nafuu ipi mkuu.... kumbuka lengo la Biden ilikuwa kuizuia Urusi isishinde na kujitanua zaidi....kwa Sasa kuna uwezekano Ukraine ikalazimishwa kukubali kuachia sehemu ya ardhi yake Ili amani iwepo.
Mkuu hata kama Haris angeshinda Ukraine tiyari imesha zidiwa kwenye uwanja wa mapambano .
 
Kabla ya mgogoro wake na Russia, Ukraine ilikuwa na kiwango gani cha silaha? Na kijeshi barani ulaya ilikuwa ya ngapi?
Sifahamu mkuu ila kama unakumbuka wakati inaporwa Crimea ilionekana dhaifu mno ndio maana haikutoa upinzani wowote kipindi kile.
 
Donald Trump ameshashinda tayari kinacho subiriwa ni official statement kumtangaza
 
Capture 2.PNG
 
ALIFANYA NINI KWA AFRIKA LAST TIME NA ASA ATAFANYA NINI?
Sio bure unaitwaa nyani...yaan unataka trump akufanyie kitu wewe? Yaan marekani ikufanyie kitu! Hv hiz akil za kiafrica ni za wapi mazee? Ulale kwako mbezi kwa msuguri utake teump akufanyir kitu..takataka kabisaaa
 
Sifahamu mkuu ila kama unakumbuka wakati inaporwa Crimea ilionekana dhaifu mno ndio maana haikutoa upinzani wowote kipindi kile.
Ukraine kabla ya mgogoro wake na Russia kwa military strength ilikuwa inashika namba 3 mara nyengine 4.

Tutumie logic kufikiri, kwa silaha alizokuwa nazo kumzuia Russia kutoingia maeneo yake alishindwa wapi?
 
Ukraine kabla ya mgogoro wake na Russia kwa military strength ilikuwa inashika namba 3 mara nyengine 4.

Tutumie logic kufikiri, kwa silaha alizokuwa nazo kumzuia Russia kutoingia maeneo yake alishindwa wapi?
Alizidiwa tu man power na silaha.....ingekuwa Ukraine yupo namba 3 au 4 ,Urusi angepata wakati mgumu mno kuliko hivi sasa.

Huenda Urais wa Trump utasaidia vita vifike mwisho.

T14 Armata
 
Alizidiwa tu man power na silaha.....ingekuwa Ukraine yupo namba 3 au 4 ,Urusi angepata wakati mgumu mno kuliko hivi sasa.

Huenda Urais wa Trump utasaidia vita vifike mwisho.

T14 Armata
Data zipo wazi unaweza ukasafu mtandaoni nguvu ya Ukraine kijeshi barani Ulaya ilikuwa ya ngapi 2022/2021

Case ya manpower-Russia aliingiza wanajeshi 300k tu awali!

Ukraine ilikuwa na wanajeshi 2 million. Ilifeli wapi kuizuia Russia isiingie ndani zaidi na kuchukua maeneo?
 
Back
Top Bottom