Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tundu Mungu akubariki sana BabaWakuu natanguliza salamu , Kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA zinaendelea leo tena Mkoani Songwe na Rukwa .
Endelea kubaki hapahapa JF kwa habari za uhakika
=======
Kumekucha Momba
Hakika !Tunaelekea sumbawanga jioni hii patakuwa hapatoshi ni kuifuta kabisa CCM
Mpite na Kwa Ali kule Namanyere kwa wachawi.Tunaelekea sumbawanga jioni hii patakuwa hapatoshi ni kuifuta kabisa CCM
Ending phase of denial and self fake motivation
Embu toa hiyo takataka hapa
Naona walinzi wake wanatimiza wajibu wao sawa sawa,wa kuhakikisha hashikani mikono na waliofurika kumsikiliza.Ni jambo jema na la muhimu sana.Wakuu natanguliza salamu , Kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA zinaendelea leo tena Mkoani Songwe na Rukwa .
Endelea kubaki hapahapa JF kwa habari za uhakika
=======
Kumekucha Momba
Achana naye aliyepaniki huyoUna washwa eeh !!!?.
Tunduma , sikiliza kwa makini
Mbona hapo hamuonyeshi kama mlivyo onyesha tunduma?Momba
na Waongeze nguvu kabisa maana Lissu ni Wanted by the evil forces dead and liveNaona walinzi wake wanatimiza wajibu wao sawa sawa,wa kuhakikisha hashikani mikono na waliofurika kumsikiliza.Ni jambo jema na la muhimu sana.
Nashukuru sana kwa kulielewa hilo.Na waonge
na Waongeze nguvu kabisa maana Lissu ni Wanted by the evil forces dead and live
mpiga bao?Mbona hapo hamuonyeshi kama mlivyo onyesha tunduma?
Au kamera za juu mliziacha huko tunduma?
Mungu aendelee kukulinda na kukupa kibali mbele ya watesi wako, Tuko pamoja Mh Tundu Lissu endelea kuwafungua Watanzania juu ya adui yetu mkuu CCMWakuu natanguliza salamu , Kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA zinaendelea leo tena Mkoani Songwe na Rukwa .
Endelea kubaki hapahapa JF kwa habari za uhakika
=======
Kumekucha Momba
Alipoingia tunduma tuliwaona watu wengi kila media ilionyesha, ila hapo momba naona kamera zimegoma kutoa picha za kuonyesha nyomi.Naona walinzi wake wanatimiza wajibu wao sawa sawa,wa kuhakikisha hashikani mikono na waliofurika kumsikiliza.Ni jambo jema na la muhimu sana.