OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Asee unamtukana ndugu yangu bana😂😂Takataka babako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asee unamtukana ndugu yangu bana😂😂Takataka babako
Ccm tutaweza kuifuta kweli??? Lissu amekiri ni kazi ngumu.Tunaelekea sumbawanga jioni hii patakuwa hapatoshi ni kuifuta kabisa CCM
Shikamoo Tundu LissuMh kapeni si lelemamama zinazeesha haraka[emoji116]View attachment 1572522
Ni kazi ngumu yes lakini hajasema kuwa haiwezekaniCcm tutaweza kuifuta kweli??? Lissu amekiri ni kazi ngumu.
Ndugu yako hajielewiAsee unamtukana ndugu yangu bana[emoji23][emoji23]
Magufuli aache uwongo. Maeneo yote wanamtaka Magufuli! Mbona sisi huku Njombe, wengi hatumtaki.
Amtake nani dikteta huyu??
17 September 2020
Sumbawanga, Rukwa
Tanzania
Tundu Lissu - Kuna haja ya kushinda kwa namna ya kipekee
Sumbawanga hii yote lazima ijitokeze kwa kimbunga hiki maana umma utakuwa amesema. Kimbunga hiki kilinde kura na vyombo vyote vitakuwa upande wetu kutokana na kimbunga hiki.
Tundu Lissu anasisitiza Uhuru, Haki na Maendekeo ya Watu ndiyo agenda yetu Kuu. Waandishi wa habari, mapolisi, waalimu, manesi n.k hawawezi kudai Haki yao kwa kuwa hawapo Huru kuweza kudai haki yao. Mkoa wa mpakani kama Rukwa, Kagera, Songwe , Mbeya
c.c Erythrocyte
c.c koyola
Niambie PUNGA ,marinda vipi yapo tight au??🤣🤣🤣🤣 naona unasikilizia mautamu ya HOGO la Jang'ombe 😂😂🤣🤣🤣😃😃Embu toa hiyo takataka hapa
Na Sumbawanga mmefikia hali hii?