Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Mh Tundu Lissu Mkoani Songwe na Rukwa

Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Mh Tundu Lissu Mkoani Songwe na Rukwa

Kuna Mtu leo amejihakikishia kushinda kwa kishindo ..

View attachment 1572290
mzee anaomba kura kibabe tunamsubiri nyanda za juu kusuni alete huo ubabe wake kama hajabaki mwenyewe mkutanoni, maana Njombe tulichagua wote wa CCM na maendeleo hatuajpata ukilinganisha na sehemu zenye upinzani.Mwaka huu asitudanganye kama 2015.
 
Ally sidhani kama atarejea bungeni Aida Kenan kamshika sana
Siku zake zinahesabika, nasikia kesho mko Namanyere na mkutano mkubwa unawasubiri Kirando mwambao wa ziwa Tanganyika. Ningekuwa na nafasi ningekwenda kushuhudia mwisho wa Ally Mabodi.
 
Siku zake zinahesabika, nasikia kesho mko Namanyere na mkutano mkubwa unawasubiri Kirando mwambao wa ziwa Tanganyika. Ningekuwa na nafasi ningekwenda kushuhudia mwisho wa Ally Mabodi.
Nikweli leo tumepigwa kwela mji mdogo wa Laela tunaelekea Sumbu wanga
 
kwani shida nini mpaka mnashindwa kuwa live kwenye mikutano yenu? na hata mkiwa live hamna ubora kuanzia sauti mpk picha?
Wakiona watu wengi wanaweka live wakiona wachache hawaweki
 
Back
Top Bottom