Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Mh Tundu Lissu Mkoani Songwe na Rukwa

Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Mh Tundu Lissu Mkoani Songwe na Rukwa

17 September 2020
Sumbawanga, Tanzania

Wananchi wafikisha kilio chao kwa Tundu Lissu



Kwa imani kubwa wananchi wameamua kufikisha vilio vyao kwa Tundu Lissu mgombea wa Urais kupitia CHADEMA baada ya kukosa imani na serikali ya CCM Mpya na mgombea wake John Magufuli.
 
Songwe, Tanzania

One Love Reggae ya Bob Marley ktk kampeni ya CHADEMA 2020



TUNDUMA ni kufuru mafuriko yajitokeza kumlaki LISU Furaha ya mzidia acheza nyimbo ya BOB MARLEY..
 
17 September 2020
Sumbawanga, Rukwa
Tanzania

Mapokezi ya kihistoria kwa Tundu Lissu na kwa CHADEMA hakika ni kimbunga



Hata kama ni mimi ndio ningekuwa Mkuu wa Nchi kwa haya lazima ninge ogopa sana ,Asanteni sana Watanzania wenzangu kwa kufikisha Ujumbe sahihi na kwa wakati sahihi..
 
MAREKANI YAIONYA TANZANIA KUFANYA UCHAGUZI WA HAKI/KILIO CHA BAKI KWA WALIOKATWA NA NEC.....Balozi wa Marekani nchini Tanzania Mh. Balozi Donald Wright atoa rai hiyo alipokutana na waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Prof. Palamagamba Kabudi

 
MAREKANI YAIONYA TANZANIA KUFANYA UCHAGUZI WA HAKI/KILIO CHA BAKI KWA WALIOKATWA NA NEC.....Balozi wa Marekani nchini Tanzania Mh. Balozi Donald Wright atoa rai hiyo alipokutana na waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Prof. Palamagamba Kabudi


Mungu wabariki Wazungu
 
tuache utani LISSU ni habari nyingine,ninachokiona kuna mtu anasubiri ibara 41(7) ya Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania tu.Huu ndio utakua muarobaini wake lakini kwa sanduku la kura ni ngumu kusema ila Lissu habari nyingine
 
tuache utani LISSU ni habari nyingine,ninachokiona kuna mtu anasubiri ibara 41(7) ya Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania tu.Huu ndio utakua muarobaini wake lakini kwa sanduku la kura ni ngumu kusema ila Lissu habari nyingine
Hiyo ibara ni uhuni mtupu. Hivi watu huwa wanatoa wapi akili kubwa hivi ya fitna lakini ya kupeleka mambo ya msingi mbele hakuna?
 
tuache utani LISSU ni habari nyingine,ninachokiona kuna mtu anasubiri ibara 41(7) ya Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania tu.Huu ndio utakua muarobaini wake lakini kwa sanduku la kura ni ngumu kusema ila Lissu habari nyingine
Kivipi ndugu
 
nashangaa wanaopoteza mda wakati tunawaza kumpa awmu ya tatu, china wenyewe washasema raisi wao ni wa milele, russia the same,

Utakuwa unawaza mwenyewe Mkuu ,hakuna Mtu mwenye Akili timamu anaweza kuuwaza Ujinga huo.
 
Utakuwa unawaza mwenyewe Mkuu ,hakuna Mtu mwenye Akili timamu anaweza kuuwaza Ujinga huo.


itakua ni ajab sana uko tanzania na huna habari na hii movement, anyway nchi nyingi za africa znajua kabisa magufuli is here for more than a life term: The rise of Africa’s ‘old men’ and how to stop it

unaweza soma zaidi apo kwenye hio link, nashangaa nyie bado mnaongelea uchaguzi anaeshinda anajulikana
 
Back
Top Bottom