Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Majimbo ya Ukerewe na Rorya

Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Majimbo ya Ukerewe na Rorya

Hapo ukerewe mnakoenda ndipo hapo mamia ya watu waliokufa kwa ajali ya MV Nyerere wengi wakiwa wapiga kura wenu CHADEMA ila mazishi hamkukanyaga sasa kinawapelela nini hapo?

Ushahidi huu hapa
Mdee anena kuhusu viongozi wa CHADEMA kutohudhuria mazishi ya waliokufa kwenye ajali ya MV Nyerere
Jimbo na Mbunge alikuwa wa CHADEMA na alikuwepo kutuwakilisha lakini wewe mjinga wa CCM unataka mimi pia ningekuwepo na Mh. Lissu angekuwepo huku ukijua na WanaUkerewe wote mnajua wakati ule alikuwa anapigania uhai wake msiojulikana mlipotaka kumuua. Rais wa nchi anayewakilisha wananchi wote, wa Vyama vyote na wa Makabila yote alikuwepo sasa nyie vilaza tatizo liko wapi? Angekosekana Rais ambaye ndo mmiliki wa Kivuko kilichopata ajali ungempigia nani kura yako?
 
Ikiwa Kampeni zimeshika kasi yule Mgombea ambaye nyota yake inang'ara Mh Tundu Lissu , leo anaendelea na kampeni kwenye Majimbo ya kanda ya ziwa ya Ukerewe na Rorya.

Kama kawaida yetu tuko hewani kukuletea kila kinachojiri kwenye mikutano hiyo .

Endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za Uhakika

View attachment 1599573

=======
Hujuma : Huduma ya kivuko kuelekea ukerewe imesitishwa tangu saa 3 asubuhi baada ya Lissu kufika kivukoni na wahudumu wameamrishwa kujivicha , tunaposema ccm imeishiwa huwa hatutanii

View attachment 1599697View attachment 1599698

Atumia Mtumbwi kufika ukerewe baada ya kufanyiwa hujuma za kishamba na Mamlaka

View attachment 1599769View attachment 1599770View attachment 1599771View attachment 1599772

View attachment 1599895


======
Ukerewe noma !

View attachment 1599698View attachment 1599768View attachment 1599936View attachment 1599937View attachment 1599938View attachment 1599939
Tuendelee kumuombea na kuchangia kampeni zake.
 
Ikiwa Kampeni zimeshika kasi yule Mgombea ambaye nyota yake inang'ara Mh Tundu Lissu , leo anaendelea na kampeni kwenye Majimbo ya kanda ya ziwa ya Ukerewe na Rorya.

Kama kawaida yetu tuko hewani kukuletea kila kinachojiri kwenye mikutano hiyo .

Endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za Uhakika

View attachment 1599573

=======
Hujuma : Huduma ya kivuko kuelekea ukerewe imesitishwa tangu saa 3 asubuhi baada ya Lissu kufika kivukoni na wahudumu wameamrishwa kujivicha , tunaposema ccm imeishiwa huwa hatutanii

View attachment 1599697View attachment 1599698

Atumia Mtumbwi kufika ukerewe baada ya kufanyiwa hujuma za kishamba na Mamlaka

View attachment 1599769View attachment 1599770View attachment 1599771View attachment 1599772

View attachment 1599895


======
Ukerewe noma !

View attachment 1599698View attachment 1599768View attachment 1599936View attachment 1599937View attachment 1599938View attachment 1599939
Mafuriko hayazuiwi kwa mikono na maamri kutoka juu
 
Mkuu naona Magufuli kaamua kutupigia makelele na Chopa lake huku Kawe. Ameshapita kwenda Bagamoyo baada ya mkutano wa Tanganyika Packers kudoda ila Chopa lake limebaki kutupigia makelele na kupiga round angani. Yani utoto tuuuu
Hehehe hana cha kuwambia wana darusalamu
 
USHINDI kwa CCM utakuwa wa kishindo nyie endeleeni kupeana moyo.

CCM bado ipo sana katika siasa za Tanzania.

October 28 kura zote ni kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Kati ya Alie wasababshia kifo watu na ambae akwenda msibani yupi Hafai?Siku nilpo ichukia CCM maisha yangu yote nisiku ambayo kivuko cha nyerere kilizama afu kada wachama chamapinduzi ambae ndio kiongozi waulinzi na usalama anasema tusitishe uokoaji adi kesho saa moja asubuh...
Ile ilikuwa kafara ya ccm ndio maana hawakuwa na uchungu na lile tukio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu akili kaziacha nyumbani
Mkuu CCM imefanikiwa kuongoza na kuwatawala Watanzania kwa kuwa 70% ya watanzania ni wajinga Mtaji wa watawala ni elimu mbovu inayozuia mtu kujitambua, kutambua umuhimu wa siasa, uhuru na haki kuwa ndio tunu za taifa lenye maendeleo watanzana huona siasa ni kama ushabiki Simba na Yanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa muda mrefu sasa hivi kivuko cha Kisorya Ukerewe kimekuwa na matatizo ya injini ni nadra sana ikapita wiki bila kuharibika na kufanyiwa matengenezo na hali hii imekuwa ikijitokeza karibu kila wiki nafikiri kinachosubiriwa hapa ni maafa makubwa

Kwa sababu inaelekea kama vile hakuna anayeona au kulipa uzito tatizo hilo la ubovu wa kivuko
 
EkSYL59WoAE52LU.jpeg

hapa ni barabarani Mkuu wa Nchi anapita
 
Lisu yuko njiani kuelekea ukerewe .

Chadema hawakukanyaga kwenye mzishi ya mamia ya wana Ukrerewe waliokufa kwa ajali ya MV Nyerere ila sasa viongozi wataenda kujazana kule kuomba kura wasivyokuwa na haya.Jimbo la Ukerewe kipindi cha ajali hiyo lilikuwa chini ya CHADEMA na mbunge wa CHADEMA...
Tulia wewe konyo mlamba viatu wa wala rambirambi. Hilo unaloletahapa halina mashiko tena rudisheni rambirambi zetu za tetemeko kule muleba
 
Back
Top Bottom