Ukerewe ni Chadema na Chadema ni ukerewe,Mwaka 2010 Chadema walipata mbunge hapo,mwaka 2015 tena Chadema walipata mbunge kabla hajaunga Juhudi. na wamekuwa watu wa upinzani bila hata viongozi wa Chadema taifa kwenda kufanya kampeni huko.Chadema Wameongoza halimashauri ya ukerewe kwa awamu pili sasa.