Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Majimbo ya Ukerewe na Rorya

Mkuu shukrani sana
 
Nafikiri umegundua kumbe Yale mnayokaa pale Lumumba na kujilisha upepo na Dr Bashiru na Polepole na tofauti sana na uelewa was RAIA kwa sasa huku mtaani.

Tanzania ya Tundu Lissu sio ile ya Lowassa au Slaa, hii in tofauti kabisa.
Hadanganyiki mgombea wala hawadanganyiki wapiga kura. Umeona hata Chato, wananchi hawajali propaganda zenu zaidi ya AIBU ya kuleta vijana wavuta bange 10 au 15 eti wafanye fujo.
 
Wakazi wa ukerewe msiniangushe kama ni shida kupatikana basi mkayatafute kwenye vifusi kama kunanyumba ilibomolewa mnayajaza kwenye viroba mnasogea nayo karibu.
Kama wafuasi mna akili hizi basi tuna safari ndefu mno
 
Kweli kabisa mkuu hata matendo wanayofanya Polisi ni ya kichonganishi. Taahira yeye anafikri wako upande wake! Wanavyopiga raia ovyo ovyo wanaichafua serikali ili wananchi wachukue!
Ila watz tumekua mazuzu... Labda tunasubiri October 28 lkn ccm imeonyesha matendo yote ya kigaidi na kishetani na hii ni serikali ya kishetani kabisa lkn tuko kimya...
 
Mtu aliyeshindwa uongozi kutosha kwake ni kupi ?
Nani ameshindwa uongozi..Nyie lienilieni tuu maana hamna jinsi na mwaka huu CCM itawafundisha siasa za kimaendeleo na kuachana na uanaharakati.

October 28 kura zote ni kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Ila watz tumekua mazuzu... Labda tunasubiri October 28 lkn ccm imeonyesha matendo yote ya kigaidi na kishetani na hii ni serikali ya kishetani kabisa lkn tuko kimya...
Kwa kweli watz tumedharauliwa sana na hawa maccm. Ona walivyomfanyia roho mbaya Lissu kwenye kivuko sisi tuko kimya tu! Wanarusha mawe wananchi tuko kimya tu!
 
Nani ameshindwa uongozi..Nyie lienilieni tuu maana hamna jinsi na mwaka huu CCM itawafundisha siasa za kimaendeleo na kuachana na uanaharakati.

October 28 kura zote ni kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Siasa za kipumbavu mwaka huu hazina nafasi!
 
Kwa kweli watz tumedharauliwa sana na hawa maccm. Ona walivyomfanyia roho mbaya Lissu kwenye kivuko sisi tuko kimya tu! Wanarusha mawe wananchi tuko kimya tu!
This is so sad. Maccm yanalazimisha kwa nguvu watz wapigane. Tutafika tu huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…