Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Majimbo ya Ukerewe na Rorya

Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Majimbo ya Ukerewe na Rorya

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ikiwa Kampeni zimeshika kasi yule Mgombea ambaye nyota yake inang'ara Mh Tundu Lissu , leo anaendelea na kampeni kwenye Majimbo ya kanda ya ziwa ya Ukerewe na Rorya.

Kama kawaida yetu tuko hewani kukuletea kila kinachojiri kwenye mikutano hiyo .

Endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za Uhakika

Ratiba ya Mgombea Urais Oktoba 14, 2020 ( 640 X 640 ).jpg


=======
Hujuma : Huduma ya kivuko kuelekea ukerewe imesitishwa tangu saa 3 asubuhi baada ya Lissu kufika kivukoni na wahudumu wameamrishwa kujivicha , tunaposema ccm imeishiwa huwa hatutanii

FB_IMG_1602664458213.jpg
FB_IMG_1602664449846.jpg


Atumia Mtumbwi kufika ukerewe baada ya kufanyiwa hujuma za kishamba na Mamlaka

Subpost 8 - Nyie NGOGWE WA CCM how do u feel_ Mmezuia kivuko, makamanda wameleta ( 426 X 640 ).jpg
Subpost 6 - Nyie NGOGWE WA CCM how do u feel_ Mmezuia kivuko, makamanda wameleta ( 426 X 640 ).jpg
Subpost 4 - Nyie NGOGWE WA CCM how do u feel_ Mmezuia kivuko, makamanda wameleta ( 426 X 640 ).jpg
Subpost 1 - Nyie NGOGWE WA CCM how do u feel_ Mmezuia kivuko, makamanda wameleta ( 475 X 640 ).jpg





======
Ukerewe noma !

2589516_EkSYL59WoAE52LU.jpeg


FB_IMG_1602664449846.jpg
Subpost 3 - Nyie NGOGWE WA CCM how do u feel_ Mmezuia kivuko, makamanda wameleta ( 426 X 640 ).jpg
Subpost 4 - UKEREWE Mpooooooooooooooo!!   Mmeeleweka sana leo MAKAMANDA wa UKERE ( 426 X 640 ).jpg
Subpost 3 - UKEREWE Mpooooooooooooooo!!   Mmeeleweka sana leo MAKAMANDA wa UKERE ( 426 X 640 ).jpg
Subpost 2 - UKEREWE Mpooooooooooooooo!!   Mmeeleweka sana leo MAKAMANDA wa UKERE ( 426 X 640 ).jpg
Subpost 1 - UKEREWE Mpooooooooooooooo!!   Mmeeleweka sana leo MAKAMANDA wa UKERE ( 426 X 640 ).jpg


Rorya Usipime !
 

Attachments

  • Subpost 4 - UKEREWE Mpooooooooooooooo!!   Mmeeleweka sana leo MAKAMANDA wa UKERE ( 426 X 640 ).jpg
    Subpost 4 - UKEREWE Mpooooooooooooooo!! Mmeeleweka sana leo MAKAMANDA wa UKERE ( 426 X 640 ).jpg
    36.2 KB · Views: 1
  • Subpost 1 - Sisi tumewaelewa sana wanaRORYA. Leo mmetuma UJUMBE mkubwa na muhim ( 352 X 640 ).mp4
    7.9 MB
  • Subpost 2 - Sisi tumewaelewa sana wanaRORYA. Leo mmetuma UJUMBE mkubwa na muhim ( 352 X 640 ).mp4
    7.9 MB
Lisu yuko njiani kuelekea ukerewe .

Chadema hawakukanyaga kwenye mzishi ya mamia ya wana Ukrerewe waliokufa kwa ajali ya MV Nyerere ila sasa viongozi wataenda kujazana kule kuomba kura wasivyokuwa na haya.Jimbo la Ukerewe kipindi cha ajali hiyo lilikuwa chini ya CHADEMA na mbunge wa CHADEMA.

Baada tu ya mazishi alianchia ngazi kwa uchungu wa kuona chadema taifa hawakukanyaga kwenye mazishi ya mamia ya watu wa ukerewe wakati alipokufa Ndesamburo walifurika na kuitisha michango kibao na hata mbwa wa Nassari alipokufa uongozi wa Chadema ULIHUDHURIA MAZISHI Lakini Mazishi ya WANA ukerewe wapiga kura wao hawakwenda
 
Lisu yuko njiani kuelekea ukerewe .
Chadema hawakukanyaga kwenye mzishi ya mamia ya wana Ukrerewe waliokufa kwa ajali ya MV Nyerere ila sasa viongozi wataenda kujazana kule kuomba kura wasivyokuwa na haya.Jimbo la Ukerewe kipindi cha ajali hiyo lilikuwa chini ya CHADEMA na mbunge wa CHADEMA .Baada tu ya mazishi alianchia ngazi kwa uchungu wa kuona chadema taifa hawakukanyaga kwenye mazishi ya mamia ya watu wa ukerewe wakati alipokufa Ndesamburo walifurika na kuitisha michango kibao na hata mbwa wa Nassari alipokufa uongozi wa Chadema ULIHUDHURIA MAZISHI Lakini Mazishi ya WANA ukerewe wapiga kura wao hawakwenda


View attachment 1599647
unachangia kwenye uzi huu au umepotea jukwaa?
 
Mkuu naona Magufuli kaamua kutupigia makelele na Chopa lake huku Kawe. Ameshapita kwenda Bagamoyo baada ya mkutano wa Tanganyika Packers kudoda ila Chopa lake limebaki kutupigia makelele na kupiga round angani. Yani utoto tuuuu
 
Mkuu naona Magufuli kaamua kutupigia makelele na Chopa lake huku Kawe. Ameshapita kwenda Bagamoyo baada ya mkutano wa Tanganyika Packers kudoda ila Chopa lake limebaki kutupigia makelele na kupiga round angani. Yani utoto tuuuu
mkutano wa kawe huu hapa LIve acha kudanganya
 
Back
Top Bottom