Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Kilimanjaro na Tanga

Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Kilimanjaro na Tanga

"Takwimu zao zinaonyesha hakuna dalili yoyote kwa Mgombea wa Chama cha Meko full kupata hata asilimia 40 ya kura. Chama cha Meko full wameshakata tamaa na ushindi. Kwa msingi huo wamepangwa kumtangaza Mgombea wa Chama Cha Meko full usiku wa manane.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naskia Mwigulu kaacha kufanya kampeni haoni future yake. Analala na kushinda kwa Mkurugenzi kuona Kete ya ushindi huko. Je itamsaidia?
 
Kamanda pole na majukumu...Sasa ningependa kujua kwa Tanga mjini Mh:atakua viwanja vyawapi au gani maana nimesikia tangazo likisema atakuwepo yeye pamoja na MaalimSeif ila kwenye viwanja watakavyokua sikuweza kusikia vizri...naomba kujua tafadali kupitia kwako au kwa mdau yoyote yule mwenye taarifa hizi sahihi za Rais Lissu kuwepo Tanga kesho ili mapema tu Mimi na familia tuweze kusogea hapo
 
Huko tume walijifanya ujinga,uchaguzi utatekelezwa baada ya uchaguzi huu na wahusika watatambua sababu ya kufanya upumbavu huu wote
 
Kuhusu nini?
Khs hii.
EkORYQlXsAElaoC.jpg
 
Sindano za Sumu za CCM zimeanza kitambo sana sasa huyu mpwa wa Umoja wa Interhamwe wa CCM anakuja kujifanya kuwa yeye ndio anajua kuwauwa Watanzania wenye fikra mbadala
 
Back
Top Bottom