Ayatollah anawaza na kuwawazua maana watoto wa Yakobo kumvua mtu dera ni sekunde tu....Iran hadi sasa anasubiri nini?
Hona hoja kaa pembeni.Huwa sibishanii taarifa za vijiweni.
Acha waisomeKuna mlipuko mkubwa Tehran
πππ
Ukianza vita jipange fikiria mara 10
UongoKuna mlipuko mkubwa Tehran
πππ
Ukianza vita jipange fikiria mara 10
Source: Mwakaleli blog tvKuna mlipuko mkubwa Tehran
πππ
Ukianza vita jipange fikiria mara 10
vita ni Iran Vs Israel lakini US kahakikisha anamuunga mkono Israel.Kuna kitu bado sijaelewa, vita ni Iran dhidi ya Israel, sasa hizi nchi za Jordan, Syria, Iraq zinajihushaje tena?