Live coverage on JamiiForums
Halafu itafute palestina uone ukubwa wake sio ya kuchukua miezi kwa eneo kama kigogo!

Hamna nchi inaitwa Palestina na haijawahi kuwepo.....
Rudia hii ramani mpate aibu kwenye dini yenu nyote

 
Huh??

UK, US, Jordan, na Saudi Arabia zilisaidia kutungua makom bora ya Iran na ndege zao zisizo na rubani!

Huo mfumo wa Israel ndo hizo nchi?

Walisaidia kutungua baadhi na tunashukuru sana kwa huo ushirikiano, ila Israel ilipiga chini asilimia kubwa ya hayo makombora, kimsingi ni dhihirisho tosha kwa Iran kwamba hayo madude yake ni magobore tu yasiyo na umuhimu wowote.
 
What if bajeti ni kubwa kulingana na kwamba silaha zote muhimu ananunua, na huku mwenzake silaha zote muhimu anatengeneza mwenyewe, kuwa na bajeti kubwa kimatumizi si tatizo
 
Wavaa vipedo, misuli na makobazi bhana. Hata wakifeli kwenye missions zao wanashangilia🤔
Hii drone yao imekwama kwenye nyaya za umeme nchini Iraq 🤔
One of the Iranian drones got stuck in electric pole wires in Iraq.

View: https://t.me/hnaftali/8893
 
Mpaka Sasa mafanikio ya Drones na missiles zilizorushwa na Iran kushambulia Israeli 🤔
....
Iran’s achievements in the attack against Israel:

1. Wounded Muslim girl.
2. Three missiles fell in Jordan.
3. At least one rocket fell in Iraq.
 
sasa bibi, iran anasema anaweza nini sasa wakati makombora zaidi ya 300 amerusha yamedakwa na israel haijaathirika kabisa. hayo 300 yangerushwa kuelekea iran ingeyadaka? netanyahu amesema within 48 hours anarusha ya kwake ngoja tuone itakuwaje.
Netapaka hawezi kurusha hata jiwe pale Iran bila bwana wake kumsaidia.

Israel ni Burundi iliyochangamka.
 
unajuaje kama iran yupo kwenye kufanya analysis ya muda mrefu na akaunda chombo chake kupitia madhaifu ya hivi vvyombo vya wamerekani n.k?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…