Weka chanzo chako...Mesopotamia ni utawala kabla ya utawala wa uajemi. Wewe unaongelea utawala mimi naongelea kabila.
Tunaongelea Chaldeans mwanagu. Ibrahim ni Chaldean. Soma historia ya Chaldean.
Ni waajemi pekee walikuwa wanaabudu Mungu mmoja. Ndiko Ibrahimu alitoa imani yake.
Weka chanzo chako...
Hicho ndio chanzo chako kuwa Ibrahim alitokea kwa Waajemi ?....Genesis 15
6
Abram believed the LORD, and he credited it to him as righteousness.
7
He also said to him, "I am the LORD, who brought you out of Ur of the Chaldeans to give you this land to take possession of it."
8
But Abram said, "O Sovereign LORD, how can I know that I will gain possession of it?"
Hicho ndicho chazo cha Ibrahimu cha kabila lake la Ukaldayo. Unajua asili ya wakaldayo?Hicho ndio chanzo chako kuwa Ibrahim alitokea kwa Waajemi ?....
may beKwahiyo tusitegemee/tarajie Israel kuingia katika direct war dhidi ya Iran!?
Hakuna cha may be hapa. Israel hana huo ubavu.may be
mzee kutangaza vita sio rahisi kama mke wako anavokuambia naenda sokoni, vita ni suala lingine kabisa mzee, wenzako wanaangalia uchumi zaidi, pia anaangalia je hayo mashambulizi yamemuathiri kitu gani? kama makombora karibu yote yametungiliwa hayajafika hata anga la israel sasa je kipi kimpeleke vitani? ila kama akiona kuna umuhimu wa kuingia vitani ataingia tuu.. sababu israel yupo hapo middle east ki nguvu kama isingekua nguvu asingekua hapoHakuna cha may be hapa. Israel hana huo ubavu.
"We Are Not War Seekers" - Israel President Tells Sky News
Isaac Herzog told the British channel that Israel will not rush into a response to Sunday's drone and missile attacks from Iran and Iran's allies.
Israel kazabuliwa 🤣 🤣 🤣 🤣 👇👇 Kimbelembele kwisha. Waajemi siyo waarabu mzee.mzee kutangaza vita sio rahisi kama mke wako anavokuambia naenda sokoni, vita ni suala lingine kabisa mzee, wenzako wanaangalia uchumi zaidi, pia anaangalia je hayo mashambulizi yamemuathiri kitu gani? kama makombora karibu yote yametungiliwa hayajafika hata anga la israel sasa je kipi kimpeleke vitani? ila kama akiona kuna umuhimu wa kuingia vitani ataingia tuu.. sababu israel yupo hapo middle east ki nguvu kama isingekua nguvu asingekua hapo