babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Wavaa kobaz wanabondwa bondwa huko km kuku sa hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Distance ndio inafanya hawapigani,Israel hawezi kuwapiga iran sema nguvu kifua inachojivunia nchi za magharibi!
Toka lini mashoga wakawa na uchungu na watoto watoto wakifa nyie mnaona sawa sababu hata mkitafunwa hamzai.Wavaa kobaz wanabondwa bondwa huko km kuku sa hii
Huku wavaa visodo wakishangiliaWavaa kobaz wanabondwa bondwa huko km kuku sa hii
Shambulio la juzi unajua makombora yalitokea ndege vita gan?Si apeleke hizo F-35 Iran?
1)Iran-Iraq war 1980-1988.Iran ilishinda vita ipi?
hahaha. bibi yako hivi sasa kama kafa akiwa sio muislam anakiyaona haya maneno yako anakuonea huruma. halafu mod anaweza kuniban mimi kwa comment hiiMkuu hi dunia alah ndye anayeharibu.huyo alah anatakiwa apingwe au auawe ni mharibifu
Tumeona video waziri wa Ulinzi wa Isreal akipata jali ndogo anahema anatetemeka wote huku akionekana kama amezimia kwa mshtuko. inaonekana kachanganyikiwa baada kigari kidogo kugeuza njia na klala upande mmoja . haikutegemea jasiri kama yule kigari kimtie presha namna ile.
Huku yeye akimarisha makombora na mizinga kwa watoto wa kipalestina. Hili ni funzo kwamba Allah anaadhibu hata kwa sisimizi kuktumia kukuathibu. Liwe funzo kwa viongozi wengine duniani kwamba Allah ni mkubwa na binaadam hakuna mbabe mbele ya mwengine