LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
MIMI HUWA TU NAWACHUKIA MAYAHUDI ILA NIKIKAA MWENYEWE NAWAPA TANO. HAWA JAMAA WAKOJE? WAMEZUNGUKWA NA MAADUI LUKUKI. NA POPULATION YAO NI NDOGO. BUT WABISHI KINYAMA.

MAARABU YANAWACHUKIA SANA MAYAHUDI. SISI MAAFRIKA NDO NADHANI TUPO NYUTRO. NIKIKUMBUKA 6 DAY WAR. NACHOKA KABISA.

SASA ANGALIA TAKWIMU HIZI UONE HAWA JAMAA WANASTAAJABISHA KABISA. NA BADO WANAENDA KUPIGA NDANI YA IRANI. HEEEEH? NYIE HAMUOGOPI? UBAYA UBWELA.

TUKISEMA MAYAHUDI WANASAIDIWA NA MAMAREKANI TUNASAHAU NA MAARABU YANASAIDIWA NA URUSI NA CHINA. LAKINI JE MATANZANIA HATA TUKISAIDIWA NA MAMAREKANI TUNGEMUDU KUWACHABANGA MAADUI WAWILI TU KAMA TUNGEKUWA NAO? NI NGUMU.

Screenshot_2024-09-10-21-20-30-587_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-09-10-21-20-36-338_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2024-09-10-21-20-41-127_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2024-09-10-21-20-46-323_com.twitter.android.jpg
 
Shetani katika ubora wake, wafuasi wake ni kila aneshangilia, na hapa ndio utawajua ma JFLGBT either wakisema au wakikaa kimya, leteni habari. naamini wata opt kukaa kimya.
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=m6hMiuq4nYI


Kwa msioelewa "Un'gen'ge" hapo Mwamba Netanyahu anawaambia mukubali Ushoga(LGBT) yaani mukubali "Kupakwa Mafuta"

Dadeki.....

Mkuu; Andika Ung'eng'e sio hii inayosomeka unigenige(un'gen'ge).

Lakini pia sio jambo zuri au jema kuipotosha Taarifa au maneno aliyokuwa akiongea mzee Neta katika clip hiyo kwa hao unaosema wasioelewa kiingereza(Ung'eng'e).

Nawaomba (kama kweli wapo)wasioelewa lugha hiyo ya kiingereza(English language) waitupilie mbali hiyo Tafsiri yako iliyotolewa hapo juu eti Neta anasema mukubali "kupakwa mafuta".

Tafsiri hiyo ni batili na Sio sahihi hata kidogo - imepotoshwa makusudi ili ionekane ni Taarifa mbaya, mbovu na ni kitu kisichokubalika kwenye Jamii.
 
Marekani IMESEMA kuwa iran inajiandaa KUISHAMBULIA ISRAEL leo usiku kama kulipa kisasi Cha kuuwawa Kwa kiongozi mkuu wa Hezbollah nasrallah apo juzi.

Tayari taaruki imetanda Huko TEL Aviv katika mji mkuu wa Israel watu wameanza kukimbilia kwenye maandaki,
Marekani inadai Iran uenda akatumia makombora ya ballastic zaidi ya 500 hadi 700
 
Back
Top Bottom