Muda umefika sasa hawa Iran Waache kutuma maskrepa yao ya mabomba ya mabati, angalau waanze kutuma Majini. Wakishidwa waje bongo mashehe wenye utaalam wa kutuma majini ni wengi mno.N
Nilijua tu Kuna jibu kama hili baadae 😀😀
Katika nchi wapumbavu waliobaki karne hii ni IranNajiuliza Iran kufadhili Ugaidi duniani mfano vikundi vya kigaidi kama Hamas, Hezbollah na Houthi. Wananufaikaje?
Wana mda wa kusoma historia?Hivi unajua mwasisi, mfadhili mkuu wa ugaidi duniani ni taifa Gani? Ungelijua hilo usingeleta mada Yako.
Gaidi wa middle east anajulikana, hio settlers colonial state inayojiita Israel, military base ya U.SAkifanya US sawa wakifanya wengine aaah kuna faida gan, we unadhani Iran bila hao jamaa atakaa kwa kutulia? Sasa saivi ndio itakua mbaya putin nae ataungana na iran kufadhili ugaidi munaousema
Ingekuwa vizuri ungeeleza ninii Maana ya UGAIDI. Alafu tuangalie nani ni gaidiNajiuliza Iran kufadhili Ugaidi duniani mfano vikundi vya kigaidi kama Hamas, Hezbollah na Houthi. Wananufaikaje?
Ishu ni kuwa Iran inatafuta namna ya kuweka vibaraka wao kwenye mataifa ya middle east.Najiuliza Iran kufadhili Ugaidi duniani mfano vikundi vya kigaidi kama Hamas, Hezbollah na Houthi. Wananufaikaje?
Wakiristo wa jf propaganda zinakusaidieni nini?Najiuliza Iran kufadhili Ugaidi duniani mfano vikundi vya kigaidi kama Hamas, Hezbollah na Houthi. Wananufaikaje?
Kwa mtazamo wa Iran, hivyo ni vikundi halali kabisa vitakavyoisàidia Iran kuifuta Israel. Fahamu kuwa Iran mpaka leo haitambui uwepo wa Israel kama taifa. Na israel ikifutwa, Iran inafikiri itazidi kukubalika pale middle-east especially kwa wasunni walio wengi ambao mpaka sasa wanaiangalia Iran na ushia wake kimachale machale.Najiuliza Iran kufadhili Ugaidi duniani mfano vikundi vya kigaidi kama Hamas, Hezbollah na Houthi. Wananufaikaje?
Mmeshaaza kutia huruma na kulialia, tulieni mle dozi, wakishambulia Waisrael mnasema wanapiga magaidi, wakishambuliwa wao, mnasema Iran wanafadhili Magaidi.Najiuliza Iran kufadhili Ugaidi duniani mfano vikundi vya kigaidi kama Hamas, Hezbollah na Houthi. Wananufaikaje?
Kupunguza nguvu ya USA na kutengeneza Balance of powerNajiuliza Iran kufadhili Ugaidi duniani mfano vikundi vya kigaidi kama Hamas, Hezbollah na Houthi. Wananufaikaje?