Morogoro kaskazini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2020
- 2,392
- 9,187
Kichapo kilikuwa kikali sana zile drone zilikuwa za kuizuga mifumo ya ulinzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila siku tunawaambia humu hizo Air defense za Israel zipo tu kujilinda na vikombora vya Hamas, ona sasa wanavyoaibishwa,Kuna kambi ya jeshi la anga ya Israeli imechakazwa yote Israeli ililopoka kuwa imetibua asilimia 99% ya shmbulizi kumbe ngoma ilikuwa bado mbichi
Kila siku tunawaambia humu hizo Air defense za Israel zipo tu kujilinda na vikombora vya Hamas, ona sasa wanavyoaibishwa,
View: https://twitter.com/Kanthan2030/status/1779291726894735513
Jamaa hawa amini macho yao.
Iran alijua ataangaliwa tu⚡️BREAKING:
Iranian Armed Forces are monitoring Jordan's movements. If they engage, they will be the next target.
Israel imelipua drones ila hakuna hata missile moja iliyolipua ndani ya nchi yake.Kuna kambi ya jeshi la anga ya Israeli imechakazwa yote Israeli ililopoka kuwa imetibua asilimia 99% ya shmbulizi kumbe ngoma ilikuwa bado mbichi
Hizo ni cruise missile au zile drone
View: https://twitter.com/DrEliDavid/status/1779308085263134801
Hata Iran hawakuamini kama Israel wana System kama hii
Hiyo page intoa taarifa huko...Kamuangalia msemaji wa jeshi la Israel kuna taarifa anazitoa ambazo zinapingana na wewe.
Drone zilirushwa ili kuichosha mifumo ya ulinzi. Israel imepatuwa ulinzi na UK, USA, France na Israel yenyewe ina Iron dome.Hizo ni cruise missile au zile drone