kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Na ccmTanzania itapigana na nani sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ccmTanzania itapigana na nani sasa?
Hiyo ni mind game mzee. Biden ameiongea kimkakati lakini hamaanishiNetanyahu navyomjua mie tokea depo sio wa kuambiwa Stop.. haha
Tena hao ni wachumba tu,Huyo Hamas tu ambacho ni kikundi cha wahuni wakishindwa watawaweza waajemi...........
Mwanaume kashaanza mambo kama yeye mwanaume kweli anatakiwa ajibu na yeyeTena hao ni wachumba tu,
Hamas washasambaratishwa hadi chooni unaongea nini wewe.
Iran atapigwa vizuri tu,pale ni jeshi kwa jeshi.
Sio hao malaya unataja wanajificha kwa watoto na wake zao.
Kwani aliyeanza ni nani? Si myahudi auMwanaume kashaanza mambo kama yeye mwanaume kweli anatakiwa ajibu na yeye
Uislamu umeanza lini? Na vita zimeanza lini? Wafia dini kama nyinyi mmatakiwa kuwa jelaDini ya uislamu isingekuwepo basi ni wazi kwamba kusingekuwa na vita humu duniani
Ww3 ni Russia, NATO, China labda wakiipogana.Kwamba, hii vita inaweza kupeleka WW3?
Ndo Wammalize sasa.Iran anatakiwa kuwa mwangalifu sana. Anatafutwa kwa muda mrefu sana. Lilianzia kwenye maandamano ikashindikana kuuangusha utawala wa iran. Sasa akawekewa mtego kwenye ubalozi. Nae kaingia kingi.
Ukiipiga Israel ni sawa na emeipiga marekani. Matajiri watoa maamuzi wa Marekani wana asili ya Israel. Hivyo watatumia kila aina ya resouces. Kwenye ishu ya Israel kwa mmarekani hakuna mrengo wa chama.
Kwanini Iran ni threat. Ni ukweli kuwa Iran kwenye technologia ya silaha anakuwa kwa kasi kubwa. Ni hatari mtu kama huyu kuachwa aendelee kukua kwani mrengo wake unajulikana. Hivyo kila sababu ya kumcheleweshwa lazima itafutwe
Iran anatakiwa ajifunze kwa China. Wachina wao hawataki hizi papara za kujitutumua. Kati ya kitu ambacho angetakiwa kufanya ni kuwa na mazungumzo ya hapa na pale huku akiwndelea kujiimarisha kiuchumi na kiulinzi.
Pia swala la kufadhili makundi ya mbalimbali yanayoendelea kufanya vita nchi nyingine litamgharimu. Irani hajakuwa kiasi cha kuanza kufanya anayofanya.
Me naona anaingia kwenye mtego.
Miezi kadhaa mbele zitakua zinatembea hashtags za #Justice_For_Iran. Nimekaa Pale.Jino kwa jino,unyonge hautakiwi.Iran chapa kaziiiiii
Ni kweli ulio wazi kwamba dini ya kiislam inafundisha watu ujinga lakini Israel pia inaua wapalestina kwa mgongo wa dini kwamba mungu wao amewatuma.Dini ya uislamu isingekuwepo basi ni wazi kwamba kusingekuwa na vita humu duniani
Hizo ni propaganda makombora mengi yametua.
Wameshindwa kummaliza hezbollah na walibondwa 2006 wataweza kupigana na iran? Unapigana na mtu mwenye mawe kwa miaka zaidi ya miaka 70 halafu unajiita una jeshi kweli?Miezi kadhaa mbele zitakua zinatembea hashtags za #Justice_For_Iran. Nimekaa Pale.