LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
Iran anatakiwa kuwa mwangalifu sana. Anatafutwa kwa muda mrefu sana. Lilianzia kwenye maandamano ikashindikana kuuangusha utawala wa iran. Sasa akawekewa mtego kwenye ubalozi. Nae kaingia kingi.

Ukiipiga Israel ni sawa na emeipiga marekani. Matajiri watoa maamuzi wa Marekani wana asili ya Israel. Hivyo watatumia kila aina ya resouces. Kwenye ishu ya Israel kwa mmarekani hakuna mrengo wa chama.

Kwanini Iran ni threat. Ni ukweli kuwa Iran kwenye technologia ya silaha anakuwa kwa kasi kubwa. Ni hatari mtu kama huyu kuachwa aendelee kukua kwani mrengo wake unajulikana. Hivyo kila sababu ya kumcheleweshwa lazima itafutwe

Iran anatakiwa ajifunze kwa China. Wachina wao hawataki hizi papara za kujitutumua. Kati ya kitu ambacho angetakiwa kufanya ni kuwa na mazungumzo ya hapa na pale huku akiwndelea kujiimarisha kiuchumi na kiulinzi.
Pia swala la kufadhili makundi ya mbalimbali yanayoendelea kufanya vita nchi nyingine litamgharimu. Irani hajakuwa kiasi cha kuanza kufanya anayofanya.

Me naona anaingia kwenye mtego.
Umechambua deeply sana mkuu, kwa jicho la kiufundi nimekuelewa vizuri.
 
Mkuu wa jeshi la Iran ameionya Israel isijaribu kujibu maana itakutana na zahma. Tayari marekani amemwambia Netanyahu hawashiriki kuishambulia Iran. Nchi za kiarabu ambapo kuna kambi za wamerikani zimetoa taarifa kuwa hawataruhusu marekani kutumia anga zao kuipiga Iran.

Iran imetoa ONYO nchi yeyote itakayoruhusu ardhj yake au anga kuishambulia Iran basi itakutana na majibu mazito. Kila mtu anaogopa.
Jordan na Saudi Arabia zinatoa anga na ilo anga linatumika kwa defense ya Israel tegemea ndege za US UK France pia German anaweza kuja kusupport defence ya Israel sas hapo Israel anauwezo mkubwa wa kwenda kupiga nuclear sites zote za Iran na akijua nyumban huku anausalama wa anga kwa mifumo yake mingi alonayo imara ila pia kwa support ya west
 
Iran anatakiwa kuwa mwangalifu sana. Anatafutwa kwa muda mrefu sana. Lilianzia kwenye maandamano ikashindikana kuuangusha utawala wa iran. Sasa akawekewa mtego kwenye ubalozi. Nae kaingia kingi.

Ukiipiga Israel ni sawa na emeipiga marekani. Matajiri watoa maamuzi wa Marekani wana asili ya Israel. Hivyo watatumia kila aina ya resouces. Kwenye ishu ya Israel kwa mmarekani hakuna mrengo wa chama.

Kwanini Iran ni threat. Ni ukweli kuwa Iran kwenye technologia ya silaha anakuwa kwa kasi kubwa. Ni hatari mtu kama huyu kuachwa aendelee kukua kwani mrengo wake unajulikana. Hivyo kila sababu ya kumcheleweshwa lazima itafutwe

Iran anatakiwa ajifunze kwa China. Wachina wao hawataki hizi papara za kujitutumua. Kati ya kitu ambacho angetakiwa kufanya ni kuwa na mazungumzo ya hapa na pale huku akiwndelea kujiimarisha kiuchumi na kiulinzi.
Pia swala la kufadhili makundi ya mbalimbali yanayoendelea kufanya vita nchi nyingine litamgharimu. Irani hajakuwa kiasi cha kuanza kufanya anayofanya.

Me naona anaingia kwenye mtego.
Maneno meeeeeeengi, Israel Kama ana ubavu ajibu.Simple tu
 
Kaa na kukaririshwa na mabeberu kwamba wana nguvu za kijeshi wakati ni mapunga tu. Iran kashusha mvua ya makombora ndani ya ardhi ya matapelei wa kizayuni na hakuna kitu atafanya Israel.
Mvua gani wakati zote zimekuwa intercepted! Wewe useme Israel kaingia gharama ya interception tu.
 
Screenshot_20240414_111049_Chrome.jpg

Je hawa jamaa hawapiganii ndani ya nchi Ingine
 
Only few reached targets Israel air security is strong war escalation is a serious offense in my opinion I do believe Israel will retaliate strongly
US imeiomba Israel isifanye shambulio lolote Iran maana itahatarisha amani ya mashariki ya kati na kuleta vita nyingine kubwa.
 
Mkuu wa jeshi la Iran ameionya Israel isijaribu kujibu maana itakutana na zahma. Tayari marekani amemwambia Netanyahu hawashiriki kuishambulia Iran. Nchi za kiarabu ambapo kuna kambi za wamerikani zimetoa taarifa kuwa hawataruhusu marekani kutumia anga zao kuipiga Iran.

Iran imetoa ONYO nchi yeyote itakayoruhusu ardhj yake au anga kuishambulia Iran basi itakutana na majibu mazito. Kila mtu anaogopa.
Patamu hapa
 
Iran anatakiwa kuwa mwangalifu sana. Anatafutwa kwa muda mrefu sana. Lilianzia kwenye maandamano ikashindikana kuuangusha utawala wa iran. Sasa akawekewa mtego kwenye ubalozi. Nae kaingia kingi.

Ukiipiga Israel ni sawa na emeipiga marekani. Matajiri watoa maamuzi wa Marekani wana asili ya Israel. Hivyo watatumia kila aina ya resouces. Kwenye ishu ya Israel kwa mmarekani hakuna mrengo wa chama.

Kwanini Iran ni threat. Ni ukweli kuwa Iran kwenye technologia ya silaha anakuwa kwa kasi kubwa. Ni hatari mtu kama huyu kuachwa aendelee kukua kwani mrengo wake unajulikana. Hivyo kila sababu ya kumcheleweshwa lazima itafutwe

Iran anatakiwa ajifunze kwa China. Wachina wao hawataki hizi papara za kujitutumua. Kati ya kitu ambacho angetakiwa kufanya ni kuwa na mazungumzo ya hapa na pale huku akiwndelea kujiimarisha kiuchumi na kiulinzi.
Pia swala la kufadhili makundi ya mbalimbali yanayoendelea kufanya vita nchi nyingine litamgharimu. Irani hajakuwa kiasi cha kuanza kufanya anayofanya.

Me naona anaingia kwenye mtego.
Tunasema " amejaa kwenye mfumo"
 
Hukusikia kuwa kasaidiwa na Marekani,Uingereza na Jordan kupopoa makombora powerfull ipi unayosemea
Hakuna nchi ambayo haina ally kwenye vita, utakuwa punguani kudhani kwamba hata Iran yupo kivyake kwenye vita. Ana support ya Syria, Yemen, Iraq na Russia. If anything urusi atasaidia hasa kwenye defence systems.
 
US imeiomba Israel isifanye shambulio lolote Iran maana itahatarisha amani ya mashariki ya kati na kuleta vita nyingine kubwa.
Us anataka Iran ipunguzwe nguvu sasa sio baadae maana Iran anapata nguvu kila kukicha huko mbeleni hawata muweza hawata mpa support israel ku attack Iran ila watamsaidia kujilinda
 
Jordan na Saudi Arabia zinatoa anga na ilo anga linatumika kwa defense ya Israel tegemea ndege za US UK France pia German anaweza kuja kusupport defence ya Israel sas hapo Israel anauwezo mkubwa wa kwenda kupiga nuclear sites zote za Iran na akijua nyumban huku anausalama wa anga kwa mifumo yake mingi alonayo imara ila pia kwa support ya west
Unachekesha kweli. Hizo drones na missiles jana zimerushwa kutokea Iran zaidi ya km 2000 wameanza kuzuia kuanzia Iraq mpaka Jordan kwani huko kote zilipopita hakuna ulinzi?
 
Kaingia kingi kipi? Ulitaka Iran apigwe tukio halafu akae kimya?. Westerners waache kujiona superior sana, mwisho wao upo karibu sana.
Iran anatakiwa kuwa mwangalifu sana. Anatafutwa kwa muda mrefu sana. Lilianzia kwenye maandamano ikashindikana kuuangusha utawala wa iran. Sasa akawekewa mtego kwenye ubalozi. Nae kaingia kingi.

Ukiipiga Israel ni sawa na emeipiga marekani. Matajiri watoa maamuzi wa Marekani wana asili ya Israel. Hivyo watatumia kila aina ya resouces. Kwenye ishu ya Israel kwa mmarekani hakuna mrengo wa chama.

Kwanini Iran ni threat. Ni ukweli kuwa Iran kwenye technologia ya silaha anakuwa kwa kasi kubwa. Ni hatari mtu kama huyu kuachwa aendelee kukua kwani mrengo wake unajulikana. Hivyo kila sababu ya kumcheleweshwa lazima itafutwe

Iran anatakiwa ajifunze kwa China. Wachina wao hawataki hizi papara za kujitutumua. Kati ya kitu ambacho angetakiwa kufanya ni kuwa na mazungumzo ya hapa na pale huku akiwndelea kujiimarisha kiuchumi na kiulinzi.
Pia swala la kufadhili makundi ya mbalimbali yanayoendelea kufanya vita nchi nyingine litamgharimu. Irani hajakuwa kiasi cha kuanza kufanya anayofanya.

Me naona anaingia kwenye mtego.
 
Us anataka Iran ipunguzwe nguvu sasa sio baadae maana Iran anapata nguvu kila kukicha huko mbeleni hawata muweza hawata mpa support israel ku attack Iran ila watamsaidia kujilinda
Hata jana usiku Biden kasema wataisaidia Israel kwenye defence systems tu, hawaafiki Israel kuishambulia Iran coz italeta vita.
 
Back
Top Bottom