LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
Hitler alipigwa na USSR pekee. Britain na France walikuwa wamechoka ile mbaya.
USA alikuwa akipambana na Japan.
Sorry
Wote walishirikiana kumpa kipondo kikali mno ndugu yao.

US licha ya kushughulishwa na Pacific Theater, lakini bado alikuwa committed na kuanza kumshinda kwanza mnazi kabla ya mjapan.

Muingereza nae alishiriki vizuri tu kumpa kipondo ndugu yake. Hali yake ilikuwa mbaya ndio, lakini hasa hasa 1940 mpaka 1942 au 43 baada ya hapo meza ilimgeukia mnazi. Kiufupi mnazi mambo alianza kuharibu baada ya kufungua front nyengine mashariki (uvamizi dhidi ya USSR/Operation Barbarossa) wakati bado alikuwa anamshughulikia muingereza.

USSR alibanwa nae na wanazi mwanzoni.

Ufaransa yeye alipokea kipondo na kibano na kukaliwa kimabavu mpaka majeshi ya washirika yalipokwenda kuikomboa mwaka 1944. Na USSR akawasukuma wanazi kutoka eneo lake.

Baada ya hapo ikawa ni zamu ya wanazi kuchakazwa.


Na walimchakaza.
 
What if bajeti ni kubwa kulingana na kwamba silaha zote muhimu ananunua, na huku mwenzake silaha zote muhimu anatengeneza mwenyewe, kuwa na bajeti kubwa kimatumizi si tatizo
Kutengeneza au kununua sio shida kwa sababu at the end kinachotafutwa ni ubora wa kile ulichonacho na kinavyoweza ku impact(end results) kwa sababu mara kadhaa huyo Iran drone zake zilishafeli so kutumia bajeti kubwa kununua ni nzuri na salama kuliko huyo Iran ambaye hata ivyo sio silaha zake zote anatengeneza mwenyewe.
 
Mesopotamia ni utawala kabla ya utawala wa uajemi. Wewe unaongelea utawala mimi naongelea kabila.

Tunaongelea Chaldeans mwanagu. Ibrahim ni Chaldean. Soma historia ya Chaldean.
Ni waajemi pekee walikuwa wanaabudu Mungu mmoja. Ndiko Ibrahimu alitoa imani yake.
 
Wote walishirikiana kumpa kipondo kikali mno ndugu yao.

US licha ya kushughulishwa na Pacific Theater, lakini bado alikuwa committed na kuanza kumshinda kwanza mnazi kabla ya mjapan.

Muingereza nae alishiriki vizuri tu kumpa kipondo ndugu yake. Hali yake ilikuwa mbaya ndio, lakini hasa hasa 1940 mpaka 1942 au 43 baada ya hapo meza ilimgeukia mnazi. Kiufupi mnazi mambo alianza kuharibu baada ya kufungua front nyengine mashariki (uvamizi dhidi ya USSR/Operation Barbarossa) wakati bado alikuwa anamshughulikia muingereza.

USSR alibanwa nae na wanazi mwanzoni.

Ufaransa yeye alipokea kipondo na kibano na kukaliwa kimabavu mpaka majeshi ya washirika yalipokwenda kuikomboa mwaka 1944. Na USSR akawasukuma wanazi kutoka eneo lake.

Baada ya hapo ikawa ni zamu ya wanazi kuchakazwa.


Na walimchakaza.
Mzee aliye mkamua Hitler ni USSR pekee. Tueleze hao unaowataja walimpigaje NAZI? Ufaransa na Uingereza tayari walikuwa wamechoka.
 
Ndio maana mada nyingi za humu nishaacha kuchangia , nilikuja kugundua kuna level kubwa ya ignorance na illiteracy .
Sikuhizi nasoma comments na kuperuzi tu ,comments za kijinga na kitoto kabisa.
Hamna taifa vumilivu kama Iran , sidhani kama kuna taifa lingeweza kuvumilia upuuzi na provocations zinazofanywa na Israel miaka yote hii , kuua wanasayansi wake nk
I wish JF waongeze kipengere cha umrri ili unaposoma comment mtu ujue kabisa ni katoto au mtu mzima ndo kacomment
 
Mzee aliye mkamua Hitler ni USSR pekee. Tueleze hao unaowataja walimpigaje NAZI? Ufaransa na Uingereza tayari walikuwa wamechoka.

Wote walishirikiana kumpa kichapo ndugu yao. Tokea kuanzia kuigomboa France kasome kuanzia uvamizi wa majeshi ya washirika huko Normandy. Mpaka kuingia Ujerumani. Kasome Operation Grenade, Operation Lumberjack, Operation Undertone na Operation Charitable bila kusahau Operation Plunder na nyenginezo. Uvamizi wa Allied Forces dhidi ya Ujerumani ulianza walipovuka Mto Rhine wakamkanda mnazi. USSR nao walimkanda vibaya mnazi na walikuwa wa kwanza kuingia Berlin. Ila walishirikiana wote kutembeza kichapo.
 
Wote walishirikiana kumpa kichapo ndugu yao. Tokea kuanzia kuigomboa France kasome kuanzia uvamizi wa majeshi ya washirika huko Normandy. Mpaka kuingia Ujerumani. Kasome Operation Grenade, Operation Lumberjack, Operation Undertone na Operation Charitable bila kusahau Operation Plunder na nyenginezo. Uvamizi wa Allied Forces dhidi ya Ujerumani ulianza walipovuka Mto Rhine wakamkanda mnazi. USSR nao walimkanda vibaya mnazi na walikuwa wa kwanza kuingia Berlin. Ila walishirikiana wote kutembeza kichapo.
Nimekuomba uweke proof namna UK na France walivyofanya katika hili hujaniwekea mpaka sasa.

USSR ndio waliingia na kukaa ndani ya Ujerumani miaka kadha. Mpaka ukasainiwa mkataba wa jeshi la USSR kutoka.
Nime maelezo kutoka Ufaransa na UK.
 
Nimekuomba uweke proof namna UK na France walivyofanya katika hili hujaniwekea mpaka sasa.
Umezisoma hizo Operations?


Wote walishirlkiana kuikanda Ujerumani
USSR ndio waliingia na kukaa ndani ya Ujerumani miaka kadha
USSR aliingia kwa mashariki na Allied Forces wengine wakaingilia kwa magharibi. Na wote waliioccupy Germany.

iligawanywa na US, USSR, UK na France katika occupation zones nne kama makubaliano ya Yalta Conference yalivyosema.


Mpaka ilipokuja kugawanywa kuwa Ujerumani mbili, East Germany ikawa ya kikomunisti na West Germany ikawa pamoja na Western bloc katika Cold War.
 
Hapana mimi siwezi kukubali uwongo wa wazi kwa kiasi hiki.

images (1) (29).jpeg


Ipo hivi kama haufahamu, kwenye huu ulimwengu kuna watu mijusi wanaoishi kwenye mapango, hawa ni watu wenye akili sana maana wapo mda mrefu sana kwenye hii Dunia.

Sasa ili kuhakikisha wanatutawala pasipo sisi kujua kuchukua nafasi za viongozi wetu wa kisiasa/ shape shifting na kujifanya kama ndio viongozi wetu kumbe sio. Wao kufanya maamuzi baina yao kwa ukificho mkubwa sana.

Mfano hai ni kwenye huu mgogoro wa Iran na Israel, yaani hivi vitisho vyote ni kutuhadaa tu wakati wenyewe wanaendelea na agenda zao za siri. Embu ona nyuma ya pazia walichofanya, wamediscus namna Iran italipiza kisasi kwa Kukubaliana wote kupitisha makombora juu ya anga za nchi nyingine ambapo wao watayatungua. Alafu huku kwenye media wanaduhadaa kama walikuwa hawajui kwamba makombora yatapitishwa angani kwao.

images (1) (30).jpeg
 
Umezisoma hizo Operations?


Wote walishirlkiana kuikanda Ujerumani

USSR aliingia kwa mashariki na Allied Forces wengine wakaingilia kwa magharibi. Na wote waliioccupy Germany. Mpaka ilipokuja kugawanywa kuwa Ujerumani mbili, East Germany ikawa ya kikomunisti na West Germany ikawa pamoja na Western bloc katika Cold War.
Bado hujanionesha. Mzee
Uigereza tayari na Ufaransa tayari zilikuwa zimeshindwa na Hitler.
Hitler aliamu sasa kwenda kupambana na USSR baada ya kuwadhoofisha UK na Ufaransa. Kwanza aliwachakaza Poland na wakampatia njia ya kuingia USSR.

Ndipo USSR ilisubiri wakati wa majira ya baridi na kuwachinja wanajeshi wa Hitler na huo ndio ulikuwa mwisho wa Hitler.

Sasa nioneshe wafaransa walivamiwaje na Hitler na wakashinda. Waingereza walivamiwaje na Hitler wakashinda.
 
Umezisoma hizo Operations?


Wote walishirlkiana kuikanda Ujerumani

USSR aliingia kwa mashariki na Allied Forces wengine wakaingilia kwa magharibi. Na wote waliioccupy Germany.

iligawanywa na US, USSR, UK na France katika occupation zones nne kama makubaliano ya Yalta Conference yalivyosema.


Mpaka ilipokuja kugawanywa kuwa Ujerumani mbili, East Germany ikawa ya kikomunisti na West Germany ikawa pamoja na Western bloc katika Cold War.
Kwanza taarifa yako uliyoiweka kutokea wikipedia inaonesha Hitler alikuwa ameungana na USSR. Sijaone ukweli wake.

1713176386121.png


Fafanua ukweli wa hiki.
 
Umezisoma hizo Operations?


Wote walishirlkiana kuikanda Ujerumani

USSR aliingia kwa mashariki na Allied Forces wengine wakaingilia kwa magharibi. Na wote waliioccupy Germany.

iligawanywa na US, USSR, UK na France katika occupation zones nne kama makubaliano ya Yalta Conference yalivyosema.


Mpaka ilipokuja kugawanywa kuwa Ujerumani mbili, East Germany ikawa ya kikomunisti na West Germany ikawa pamoja na Western bloc katika Cold War.
Soma kuhusu "Operation Barbarossa" ndio utajua kiini cha mambo.
The Holy Roman Emperor and Crusader (Catholic) waliamua kuivamia USSR ili waendeleze kueneza dini yao kwa upanga kama walivyofanya hapa Tanganyika.

Lengo kubwa na "Holy Roman Empire" ilikuwa ni:-
  1. Acquiring the oil reserves of the Caucasus
  2. Agricultural resources of various Soviet territories, including Ukraine and Byelorussia
  3. Create more Lebensraum (living space) for Germany
  4. Extermination of the native Slavic peoples by mass deportation to Siberia
  5. Germanisation, enslavement, and genocide
Sasa tuoneshe huko Ufaransa na Uingenera Hitler alifanyaje.
 
Wale wayahudi wa Sumbawanga, mliokuwa mnasema hakuna kombola lililopiga Israel. Ujumbe huo na video hiyo hapo chini.


Iranian ballistic missile - 'Kheybar Shekan' carries out an evasive maneuvre in its final stage

One second before impact, the missile carries out an evasive maneuvre by quickly boosting upwards and then down again.

Only a few of these missiles were used, but its shows the sophistication of Iran's missiles, and why they got through.



 
Si ndo maana kanasaidiwa ...jambo like wazi kwamba katafutika
ndio maana wote walijificha makabatini na kwenye mahandaki. Israel na Rwanda kijeografia ni vinchi vya level ya mkoa😂
 
Back
Top Bottom