LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
Ayatollaah na dela lake na midevu kama beberu tutaifunga kamba na kuivuta kwa Humvee na lazima tumbinue, uchi kabisa na ataliaaa kama Sadam Hussein, na atakaa uchi infront of Mosad na hivi sasa halali kwake analala kwenye handaki
 
Ayatollaah na dela lake na midevu kama beberu tutaifunga kamba na kuivuta kwa Humvee na lazima tumbinue, uchi kabisa na ataliaaa kama Sadam Hussein, na atakaa uchi infront of Mosad na hivi sasa halali kwake analala kwenye handaki
Umechanganyikiwa mzee umeanza kuchamba 🤣 🤣 🤣 Muyahudi wa Kwamtogole
 
🤣 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 👇

1713191395430.png
 
Stori imebadilika kutoka kwenye
"kama wanaweza warushe hata jiwe moja kwenye ardhi ya Mzayuni uone watakachofanywa"
Kwa ss kauli inayobamba ni
"wamepiga ndio lkn hatujaumiaa "

Kweli Muajemi akiahidi anatimizaaa
 
mzee kutangaza vita sio rahisi kama mke wako anavokuambia naenda sokoni, vita ni suala lingine kabisa mzee, wenzako wanaangalia uchumi zaidi, pia anaangalia je hayo mashambulizi yamemuathiri kitu gani? kama makombora karibu yote yametungiliwa hayajafika hata anga la israel sasa je kipi kimpeleke vitani? ila kama akiona kuna umuhimu wa kuingia vitani ataingia tuu.. sababu israel yupo hapo middle east ki nguvu kama isingekua nguvu asingekua hapo
Ninacho mkubari mimi Iran akisema nitapoga
 
Back
Top Bottom