Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna tofauti kuubwa sana kati ya wasoma Biblia na wasomaji wa neno la Mungu katika Biblia.Chunguza hata magari, bajaji na mabasi utaona bendera za israel
Umechanganyikiwa mzee umeanza kuchamba 🤣 🤣 🤣 Muyahudi wa KwamtogoleAyatollaah na dela lake na midevu kama beberu tutaifunga kamba na kuivuta kwa Humvee na lazima tumbinue, uchi kabisa na ataliaaa kama Sadam Hussein, na atakaa uchi infront of Mosad na hivi sasa halali kwake analala kwenye handaki
Afadhari Israel ni monolithic ..hao madogo wa Rwanda wapo busyndio maana wote walijificha makabatini na kwenye mahandaki. Israel na Rwanda kijeografia ni vinchi vya level ya mkoa😂
Uyahudi ni kiroho au kimwili?kwa sababu Yesu ni myahudi
Rwanda tenandio maana wote walijificha makabatini na kwenye mahandaki. Israel na Rwanda kijeografia ni vinchi vya level ya mkoa😂
Hahahahaha wamebaki wanabweka kama mbwa kokoStori imebadilika kutoka kwenye
"kama wanaweza warushe hata jiwe moja kwenye ardhi ya Mzayuni uone watakachofanywa"
Kwa ss kauli inayobamba ni
"wamepiga ndio lkn hatujaumiaa "
Kweli Muajemi akiahidi anatimizaaa
Israel kazabuliwa 🤣 🤣 🤣 🤣 👇👇 Kimbelembele kwisha. Waajemi siyo waarabu mzee.
View: https://x.com/ShaykhSulaiman/status/1779686273013215552
Hahahaha naona Putin kacheka sana baada ya Israel kuufyata 😁😁😁View attachment 2964352
❗️Iranian FM Hossein Amirabdollahian informed Russian Foreign Minister Sergey Lavrov of the objectives and tactics of Tehran's military operation in Israel during a Monday phone call — Iran’s Foreign Ministry
Ninacho mkubari mimi Iran akisema nitapogamzee kutangaza vita sio rahisi kama mke wako anavokuambia naenda sokoni, vita ni suala lingine kabisa mzee, wenzako wanaangalia uchumi zaidi, pia anaangalia je hayo mashambulizi yamemuathiri kitu gani? kama makombora karibu yote yametungiliwa hayajafika hata anga la israel sasa je kipi kimpeleke vitani? ila kama akiona kuna umuhimu wa kuingia vitani ataingia tuu.. sababu israel yupo hapo middle east ki nguvu kama isingekua nguvu asingekua hapo
The WORLD needs this war to happen!!!may be
Israel kazabuliwa 🤣 🤣 🤣 🤣 👇👇 Kimbelembele kwisha. Waajemi siyo waarabu mzee.
View: https://x.com/ShaykhSulaiman/status/1779686273013215552
Mbona hukuwahi kulinganisha eneo la Israel na Gaza panapompelekesha Israel sasa wanaingia mwezi wa sabaHamna nchi inaitwa Palestina na haijawahi kuwepo.....
Rudia hii ramani mpate aibu kwenye dini yenu nyote
![]()
Linganisha na eneo la gaza na Israel ili ufurahi na kuumwa zaidiHamna nchi inaitwa Palestina na haijawahi kuwepo.....
Rudia hii ramani mpate aibu kwenye dini yenu nyote
![]()