LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
Bandugu akuna icho kitu msiote mchana akuna wakubwa akuna konjera yyte ohh mala USA anataka kumruusu lkn asipige pale na pale yote mapicha picha tu elimikeni Iran wakubwa kidunia ktk technology vita ni technology kuwa na jesh kubwaaaa au bondia kuwa na mwiri mkubwaa ndio kupata ushindi embu ona tyson na Bruno kama mwili ndio nguvu saaii tyson tushazika😆😆 mywether ajawai pigwa japo anakamwili kadogo. Si kila kitu ni akili ndio muimu. Na vita ni technology ndio inashinda sio kuwa na jesh kubwaa maviuma viuma makubwa mimeri mindege kama ayana technology bola ya kisasa ayana nafasi yyte ayakupi ushindi sababu adi sasa Iran anaonekana m'babe ki technology zaid Western yote. Kwaiyo sijui amapewa ruusa wapi, iyo vita media tu uyo USA mwenyewe atii mguu Iran sasa mnataka atoe ruhusa ikiwa yeye uwezo ana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
 
Nyie imbeni kwaya eti Israel atashambulia Nuclear site, Iran leo katest Nuclear kisha kuwa na Nuclear official.
 
BIG NEWS 🚨 Israel has reportedly planned to strike Iran's nuclear and oil facilities.

US said Israel has a right to defend itself proportionately.

US preparing for more sanctions against Iran.

Will Iran lose everything to Israel? Iran is more scared now as Israel remains silent.

According to analysts, Israel's response would be more severe than what people are thinking.

Endless line of cars for gas station in Tehran, they know that Iran's Oil & Gas Infrastructure isn't going to last long if Israel will retaliate.

View attachment 3116894

Naona war mongers baada ya Putin kuwaangusha mno:

IMG_20220302_115525_094.jpg


Sasa mko mashariki ya kati mna bet.

Mshindwe na mlegee, kwa jina la Yesu!

imhotep FYI.
 
Awa tim jehova w bongo. awapendi ukweli wao wanataka wasikie tu Iran kunawaka moto ili waje kusifia Israel kila sifa yani uko walipo wanakiu mbaya pesa ya bando ipo tayali lkn chakuandika apa awana so Israel inavyochelewa kupeleke mauwa tehran ndio nao wanazidi kupank wanataka tehran kuwake. nao waje wakiwashe apa😂😂😂 kobaz watimue mbio wwbaki wao wakitetema kiyuhani wawapongoze jamaa zao.😂 sasa kunabadhiyao tim jehova nao si wanajua kiuu za wenzao ndio awa wanawaletea chai na makopa y miogo lkn jehova wanashangilia wanawapa kaawa na kitumbua wao sawa tu. Akitokea kina sisi tukioji mbona mnawapa wenzenu chai n makopa. badalayake wanatushambulia sisi mm mwenyewe nimechuniwa n mwajuma wangu . Tangu ile siku Israel kumewaka ety kosa nilimuongepea kuwa Israel apigiki so ugomvi utaisha tu akiona live tehran kunawaka moto. Mniombee jamani
 
Bandugu akuna icho kitu msiote mchana akuna wakubwa akuna konjera yyte ohh mala USA anataka kumruusu lkn asipige pale na pale yote mapicha picha tu elimikeni Iran wakubwa kidunia ktk technology vita ni technology kuwa na jesh kubwaaaa au bondia kuwa na mwiri mkubwaa ndio kupata ushindi embu ona tyson na Bruno kama mwili ndio nguvu saaii tyson tushazika😆😆 mywether ajawai pigwa japo anakamwili kadogo. Si kila kitu ni akili ndio muimu. Na vita ni technology ndio inashinda sio kuwa na jesh kubwaa maviuma viuma makubwa mimeri mindege kama ayana technology bola ya kisasa ayana nafasi yyte ayakupi ushindi sababu adi sasa Iran anaonekana m'babe ki technology zaid Western yote. Kwaiyo sijui amapewa ruusa wapi, iyo vita media tu uyo USA mwenyewe atii mguu Iran sasa mnataka atoe ruhusa ikiwa yeye uwezo ana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Sijakuelewa! Kwamba Marekani akipigana na Iran,Iran atashinda kwa kuwa yuko vzr ki technology au? Kwa maneno mengine Marekani anamwogopa Iran sio?
 
Baada ya Israel kutangaza ipo mbioni kushambulia Iran kama kisasi baada ya Israel kupigwa makombora 200 na Iran wiki moja iliyopita, jeshi la Iran limetoa kauli rasmi kua lipo tayari kushambulia Israel maradufu na haitaacha kuwafunga mkono Hezbollah ndani ya Lebanon na HAMAS upande wa Palestine.
Screenshot_20241007-102033.png
 
Kwahiyo amekili wazi kwazi kwamba anafadhili magaid ndo maana prince Salman wa Saud amekaa kando na hawa watu
 
BIG NEWS 🚨 Israel has reportedly planned to strike Iran's nuclear and oil facilities.

US said Israel has a right to defend itself proportionately.

US preparing for more sanctions against Iran.

Will Iran lose everything to Israel? Iran is more scared now as Israel remains silent.

According to analysts, Israel's response would be more severe than what people are thinking.

Endless line of cars for gas station in Tehran, they know that Iran's Oil & Gas Infrastructure isn't going to last long if Israel will retaliate.

View attachment 3116894
Sitegemei kuona shambulio lolote la maana la Israel kwenda Iran ikiwa USA hajakuwa tayari kuingia vitani na IRAN.Tukumbuke IRAN ameonyesha uwezo wa kupiga ISRAEL targets kwa usahihi mzuri kabisa.Uharibifu wa makombora ya juzi ni ukumbusho makubwa yanaweza kuwatokea.Tukumbuke IRAN wana maelfu kadhaa ya makombora ya Hypersonic ambayo hayazuiliki na yana destructive power kubwa zaidi ya hizo ballistic missile za juzi.Hivi ingekuwa na IRAN na wao wanapiga hovyo kwenye makazi ya watu ,ile juzi maelfu mangapi ya raia wa Israel wangeathirika?Israel na western media walijaribu kuficha ukweli na kudanganya mabomu yalizuiwa lakini TIK TOK ikawaumbua.Kuna raia wengi wa Israel walirekodi live makombora yakishambulia kambi za jeshi na makao makuu ya MOSSAD.Hata BBC ikabidi na wao waone aibu waende na ukweli halisi.Jionee mwenyewe.


View: https://www.youtube.com/watch?v=jdETV6WATa4&t=5s
 
Kitu pekee ambacho Israel ataweza dhidi ya Irani,ni kumfatilia mtu moja moja na kumuua-hana uwezo wa kuishambulia Irani maana siku akifanya hivyo ndio itakuwa mwisho wake kwenye ramani ya Dunia.
Wewe Umezaliwa Mwaka Gani? Ukumbuki Israel Alishawahi kushambulia vinu vya Nyuklia vya Irani? Au Ulikuwa Ujazaliwa?
 
We know Aljazeera wapo vitani na wao.. Qatar ndio wafadhiri wa Hamas and ndio wana say yote.. Israel anatakiwa aifumue na Qatar pia.. Israel hatakiwi kabisa kudeal na muslim countries hakuna anayempenda ipo katika quran kabisa.

Huo uongo wa Aljazeera na list ya kipumbavu wampelekee Allah... aandae makahaba kwenye ndanguro lake Firdaus .. The Pimp Allah
 
We know Aljazeera wapo vitani na wao.. Qatar ndio wafadhiri wa Hamas and ndio wana say yote.. Israel anatakiwa aifumue na Qatar pia.. Israel hatakiwi kabisa kudeal na muslim countries hakuna anayempenda ipo katika quran kabisa.

Huo uongo wa Aljazeera na list ya kipumbavu wampelekee Allah... aandae makahaba kwenye ndanguro lake Firdaus .. The Pimp Allah
Abraham accords hairuhusu hili
 
Back
Top Bottom