Umesema kweli mkuu.Hapa JF ni darasa zuri sana kama utakuwa una nia ya kujifunza.Kwani mtu atakuwa na interest gani kuleta taarifa kama hizi,sioni.Halafu ni vema tukatamani kujifunza,kuliko kudhani kila tusichokijua hakipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema kweli mkuu.Hapa JF ni darasa zuri sana kama utakuwa una nia ya kujifunza.Kwani mtu atakuwa na interest gani kuleta taarifa kama hizi,sioni.Halafu ni vema tukatamani kujifunza,kuliko kudhani kila tusichokijua hakipo.
Siku zinaenda!Miezi kadhaa mbele zitakua zinatembea hashtags za #Justice_For_Iran. Nimekaa Pale.
Kibaya zaidi yule kiongozi mkuu wa Hamas yaliyokuwa yanasemwa yamemuua kibabe kumbe yuko hai kwenye tunnels humo humo Gaza badoKapigwa kipigo cha mbwa koko hasira kaenda kuua raia kama mia
Wanashikishwa ukuta na Hamas wanaenda kulipua makazi ya raia na shule , wanapakwa mafuta na Hezbollah wanaenda kulipua Beiruti ,makazi ya raia as If Hezbollah siku hizi wanaishi Beiruti
Hezbollah nao wameanza kujificha tena nyuma ya watoto. Lebanon is the next gazaIDF wao kama ni vidume kweli wawasake Hamas na Hezbollah walipo wazitwange na si kulenga makazi ya raia na kuua wanawake na watoto .
Ni indication ya failure hiyo
Safi sana hi ya mgalatia 😄 Mimi toka lini ni kawa mgalatia, soma nilicho andika usirukie kujibu kabla hujaelewa. Hio habari ni 💯Umeitoa wapi hii wewe mgalatia?
au ndio mithali 31:4-8 imekulewesha?
Israel imeshapata njia mbadala ya kujilinda na makombola kutoka Iran??Wazee wenzangu leo nasikia Israel kamua liwe na liwe nasikia atapiga Iran leo, haya yetu macho.
Si ajabu mpaa asubuhi kesho tutapata jibu.
Mimi upande wangu naona nyau anataka kuimaliza Israel, sababu kipigo atakacho pokea tokea Iran kitakuwa ndio mwisho wa Israel.
Mimi sehemu nilipo lazima nipate habari kabla yenu, sa si msubiri kelele za niniSource ya habari ni kijiwe cha kahawa au?